fay.cosmetics_tz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from fay.cosmetics_tz, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.
22/11/2023
13/06/2023
Cerave moisturiser ‼️‼️‼️
Hello dear customer's k**a una ndoto ya kuwa na glowing skin ni muhimu sana kutumia moisturiser laazivyo glowing skin utaisikia tu kwa jirani.
Kwa nini utumie moisturiser ?
🥝 inasaidia kuhydrate ngozi (unyevu nyevu)
🥝inazuia ngozi kupatwa na chunusi
🥝inazuia mikunjo (wrinkles)
🥝inakinga ngozi dhidi ya mionzi ya jua
Cerave moisturiser zimetengenezwa na ingridients 3
1. Ceramides
2.Niacinamide
3.Hyrulonic acid
Ingridients hizi ni nzuri kwa ngozi aina zote including sensitive , acne prone na oily skin.
Cerave AM moisturiser‼️‼️‼️
Hii ni special kwaajili ya kupaka mda wa asubuhi , inasaidia kutunza unyevu nyevu kwenye ngozi, na pia ina spf 30 hivyo ni 2 in 1 hauhitaji tena kupaka sunscreen
Cerave PM moisturiser ‼️‼️‼️
Hii ni special kwaajili ya usiku...hii mostly inasaidia ku repair ngozi k**a tunavyojua wakati wa usiku ni wakati mzuri kwa ngozi kujiponya ...inasaidia kutuliza irritations zote kwenye ngozi.
K**a una madoa ,chunusi ,oily skin , umeathirika na vipodozi vikali trust tumia hizi products
Cerave moistutiser 89mls 60,000/-
☎️ 0653 183080
02/05/2023
Combo moja matata sana kwa wale wanaopenda glowing skin...usisite kutupigia
Ushauri wa ngozi ni bureee
0653 183080
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam