Afya Ndo Mtaji

Afya Ndo Mtaji

Share

AFYA BORA NDO HULETA AMANI NA UPENDO MAISHANI MWAKO, ni wajibu wako kujali afya.

14/08/2024

Tunaendelea na ofa ya Vipimo mwili mzima kwa wakazi wa Dar es salaam kwenye kituo Chetu Kwa Tsh. 20,000/=tu.
Kumuona daktari ni bure

Photos from Afya Ndo Mtaji's post 03/04/2022

KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE?

Hizi ndizo sababu kuu👇
🔸Kutokana na ongezeko la uchafuzi wa mazingira, hewa, maji, chakula na matumizi ya vitu vya viwandani. Ongezeko la joto duniani na mionzi angani.
Imepelekea mwili wa binadamu kuwa na sumu zinazopelekea;
👉Kansa
👉Kisukari
👉Shinikizo la damu
👉Magonjwa ya moyo, Figo, ini, Mapafu, bandama,n.k
🔸Ratiba ngumu ya kula ambapo mlo haujakamilika na hakuna matunda wala mbogamboga
🔸Matumizi ya dawa za kemikali.
🔸Unywaji pombe na uvutaji sigara
🔸Ni tiba ya magonjwa bila OPARESHENI mfano TEZI DUME na UVIMBE.

✍️Shirika la afya duniani ,WHO kwa tafiti zake inashauriwa kila binadamu kula aina 7 za MATUNDA na aina 7 za MBOGAMBOGA kila siku. Kutokana na uhaba na gharama za uandaaji wa mlo huu, ikapendekezwa kutumia VIRUTUBISHO LISHE ambavyo ni mbadala wa huo mlo.

KAZI ZA VIRUTUBISHO LISHE
1. Husafisha mwili( kuondoa sumu na kutibu maradhi yatokanayo na sumu )
2. Kujenga mwili kwa kurudishia seli zilizokufa
3. Kukinga mwili kwa kuongeza kiwango cha CD4 cells ambazo ndo kinga ya mwili.

✍️Virutubisho lishe vimepewa jina SUPPLEMENTS kwa sababu huongeza vitu vilivyokosekana mwilini. Ni tiba mbadala kwa watu walioathirika na matumizi ya dawa za kemikali.

NANI HUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE?
👉Kila mmoja anatakiwa kutumia virutubisho lishe kwa ajili ya kujenga afya bora ya mwili.

⭐️Makundi ya watu wafuatao ni muhimu sana kutumia virutubisho.
👉(a)Wazee, hawa wanahitaji kutumia HIGH CALCIUM AND PROTEIN kwa ajili ya mifupa na kuongeza kiwango cha protini

👉(b)Wanawake wajawazito na wanaotarajia kupata ujauzito. Hawa hutakiwa kutumia FOLIC ACID na PROTEIN kwa wingi.

👉(c)Wagonjwa wa KISUKARI, KANSA, VIDONDA VYA TUMBO, PRESHA, TEZI DUME, MVURUGIKO WA HOMONI, MATATIZO YA UZAZI, n.k
👉Kama ni muhanga wa haya mogonjwa tupigie simu sasa upate ratiba ya VIRUTUBISHO LISHE.
📞Mawasiliano: 0782012448
Virutubisho lishe hutibu magonjwa sugu ambayo dawa nyingine hushindwa kutibu kutokana na mwili kuzoea mfumo huo wa tiba.

🔶Ni muhimu sana kutumia virutubisho lishe.
Shirika la ETIC linaloandaa na kusambaza VIRUTUBISHO LISHE duniani kote limekuandalia vitutubisho vya aina zote. Huna haja ya kuhangaika jinsi ya kupata maana kuna tawi nchini TANZANIA, na kushirikiana na mawakala wake nchi nzima imekuwa rahisi huduma kufikia watu wengi.

📞Namba ya mawasiliano: 0782012448

📲Piga simu ili upate ushauri wa kiafya, hata k**a umesumbuliwa na ugonjwa sugu umekata tamaa, muda wa kupona ndo sasa ukitumia VIRUTUBISHO LISHE.

Kwa njia ya watsapp wasiliana na wahusika kupitia hii link👇
https://wa.me/message/BQNAINXX7MF4J1

Afya kwetu ndo kipaumbele.

Imeandaliwa na kuletwa kwako na;

Photos from Afya Ndo Mtaji's post 21/03/2022

🔨USIPUUZIE UJUMBE HUU UNAHUSU KILA MTU🔨

🤔Je ni mara ngapi umekuwa ukiumwa unakimbilia kutumia dawa bila kufanya VIPIMO?

Hii ni hatari sana kwa afya yako k**a unatumia dawa bila kufanya vipimo kujua unaumwa nini na yaweza kupelekea kujaza mwili sumu za madawa hivo kudhoofisha afya ya mwili, na kuathiri viungo vya mwili.

🤔Je umewahi jiuliza kwa nini baada ya kutumia dawa fulani unapata nafuu na ugonjwa unajirudia baada ya muda. Hii inatokana na kutopata matibabu sahihi au mwili kuzoea dawa fulani hivo isiweze kufanya kazi kabisa.

NINI CHA KUFANYA?
🔷Hakikisha umefanya vipimo kabla ya kuanza matumizi ya dawa yoyote ili ujue unatibu kitu gani na sio kutibu dalili za ugonjwa fulani kumbe una ugonjwa mwingine.

🔷Ni vema pia kutumia TIBA MBADALA/ VIRUTUBISHO LISHE kwa lengo la;
1. Kuondoa sumu za madawa na sumu za vyakula mwilini.
2. Kuongeza kinga ya mwili ili kukabiliana na maradhi sugu
3. Kurudhisha seli za mwili zilizokufa hivo kujenga mwili
4. Kutibu mwili ndo hatua ya mwisho ya VIRUTUBISHO LISHE. Kwa mtu yoyote ambae matibabu ya hospitali ( Pharmaceuticals ) hayakumpa matokeo anatakiwa kutumia TIBA MBADALA au FOOD SUPPLEMENTS.

🔶Ili kufanikisha zoezi hili ETIC CLINIC imeandaa mpango wa HUDUMA KWA JAMII ili kuwezesha watu wengi kufanya vipimo na kujua afya zao kwa gharama nafuu.

Huduma hizi ni k**a ifuatavyo;
👉Vipimo mwili mzima
👉Ushauri wa Daktari bure
👉Matibabu kwa kutumia VIRUTUBISHO LISHE.

🌟🔈Usipitwe na ofa ya Vipimo mwili mzima kwa 20,000/= tu katika WIKI YA HUDUMA KWA JAMII.

📞Namba ya huduma ni 0782012448

✍️Wahi mapema
AFYA KWETU NDO KIPAUMBELE.

17/01/2022

Benefits of ENERGY CUP

🔸Alkaline Balance: Neutralizes acidity of the body and clears acidic waste.
🔸Micro-molecular activity: Electrolysis changes de-clusters big water molecules for easier absorption, pe*******on and improved circulation.
🔸Anion Exchange: Rich in negative ions and improves the circulation of oxygen.
🔸Anti-oxidant: Electrolysis and inherent negative potential reduces the water generating more active hydrogen to eliminate free radicals.

Key Functions

🔸Anti-Aging
🔸Boosts Immunity
🔸Weight Loss
🔸Neutralises acidity
🔸Treats Ulcer and related illnesses
🔸Neutralizes the effect of alcohol or smoke on our organs
🔸Reduces Blood Cholesterol: 🔸Esterification
🔸Anti-cancer
🔸Energy Booster
🔸Eliminates Chlorine
Place your order for the cup...

Contact information: +255782012448

Direct watsapp: https://wa.me/message/BQNAINXX7MF4J1

06/01/2022

Hii ndo sabuni yenye viwango vya hali ya juu kwanza inarutubisha ngozi na kuifanya kuwa nyororo na laini. Huzibua vinyweleo vya ngozi, inawafaa wenye ngozi kavu sana, inaondoa mabakabaka na kufanya ngozi iwe na rangi moja. Inang’arisha ngozi bila kuchubua. Inaitwa CLASSIC GOAT MILK SOAP na ishawafikia wengi Tanzania na duniani kote. Weka oda yako sasa https://wa.me/message/BQNAINXX7MF4J1 na uweze kupata sabuni yako.

11/12/2021

CHUKUA TAHADHARI KABLA YA HATARI

🔵KWA NINI WATU WANAUMWA??
👉Soma mpaka mwisho itakusaidia na uwasaidie wengine.
🔻Sababu zinazopelekea watu kuumwa ni;

1. Lifestyle:( Ratiba ngumu ya kazi, ukosefu wa mazoezi ya mwili )
2.Medication:( matumizi ya madawa ya kemikali )
3.Poor diet:( ulaji mbovu ikiwa ni matunda/ mbogamboga kidogo, mafuta mengi, vyakula vya viwandani )
4.Environment:( mazingira ya mioshi, mionzi na kemilaki )

Je nini cha kufanya?🤔
👉Tafiti zinaonesha binadamu anatakiwa kula aina 7 za matunda na aina 7 za mbogamboga kila siku kwa ajili ya afya bora na kinga ya mwili. Uhalisia ni kwamba hili haliwezekani kutokana na;
- Upatikanaji ni shida
- Gharama za bajeti hii ziko juu kuliko uwezo wa wengi.

👉Shirika la afya duniani WHO lilipendekeza kuwepo tiba mbadala ambazo zitaupatia mwili virutubisho ikiwemo lishe zote za matunda na mbogamboga.

🤨Ndipo shirika la ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC lilianzishwa mwaka 2001 likiwa na mfumo mbadala na wa kisasa wa matibabu kutumia VIRUTUBISHO LISHE( Food Supplements ) pamoja na mashine/ vifaa vya kimatibabu kwa ajili ya kukuza dhana ya ‘AFYA BORA HULETA AMANI NA UPENDO.’

😊Shirika limefanikiwa kuwa mkombozi wa watu wengi wenye maradhi sugu. Kuna shuhuda nyingi za waliopona;
▪️Kisukari
▪️Presha
▪️Vidonda vya tumbo
▪️Matatizo ya uzazi kwa kina mama
▪️Matatizo ya uzazi kwa kina baba
▪️Pumu
▪️Kansa
▪️Matatizo ya ngozi
▪️Matatizo ya macho
▪️Stroke
➡️Na maradhi mengine mengi baada ya kuugua kwa muda mrefu na kutumia matibabu kadhaa bila mafanikio.

🔵KAZI KUU ZA VIRUTUBISHO LISHE
1. Kuosha mwili( Kuondoa sumu mwilini )
2. Kujenga mwili ( Kurudishia seli zilizokufa )
3. Kukinga mwili ( Kuongeza nguvu CD4 cells kuzalisha kinga ya mwili )
4. Kutibu mwili ( Kuua bakteria na wadudu wa maradhi )
✊Hizi sababu kuu nne ndo zimepelekea VIRUTUBISHO LISHE kuchukua nafasi kubwa katika matibabu na kuleta matokeo ndani ya muda mfupi.

🔵HUDUMA ZITOLEWAZO NA ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC
🔸Vipimo mwili mzima: Shirika kina madaktari kwa ajili ya kupima kujua chanzo cha tatizo na hatua tatizo limefikia. Lengo ni kutibu chanzo cha tatizo na sio kutuliza ugonjwa ili lisijirudie tena.

🔸Ushauri wa daktari: Baada ya vipimo daktari humshauri mgonjwa kulingana na majibu ya vipimo; kurekebisha mfumo wa ulaji, maisha, matibabu, na kupewa mwongozo mpya.

🔸Matibabu: Baada ya mgonjwa kuwa amepimwa na kupata ushauri wa daktari, anaandikiwa dozi yake ili aanze kutumia ( Dozi ni Virutubisho lishe husika kwa ugonjwa uliobainika kwenye vipimo )

🔴TAHADHARI; Usiendelee kutumia dawa za kemikali bila vipimo maana unatibu usichokijua na kujaza sumu mwilini zitakazoleta tatizo baadae
Usikae muda mrefu bila kucheki afya yako k**a unaona mabadiliko na dalili fulani mwilini.

👉Fika na kadi yako ya uanachama kituoni ili upate huduma haraka na kwa punguzo la gharama.
✍️Kama huna kadi ukifika utapewa kadi maalum ya kutumia.

_Karibu uhudumiwe maana ndo kazi yetu_
👉Ukiguswa na chochote piga simu ufike kituoni;
Namba: 📞0782012448
📞0629703036

NIKUTAKIE AFYA NJEMA👋

# ETERNAL, Health Consultant
Shanghai ETERNAL Biological Tech. Co. Ltd

Photos from Afya Ndo Mtaji's post 21/11/2021

HII NDO TIBA YA NGOZI YENYE CHUNUSI, UPELE, HARARA na ALAMA za kwenye ngozi. Kuirudishia ngozi mwonekano asilia na kung’arisha bila kuchubua.
# # ALOE SOAP tiba ya ngozi

Zinakaa 3 pieces kwa 25000/= tu
Ukitaka 1 ni 10,000/=

Kwa mawasiliano: 0782012448
Location: Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Zanzibar

# Afya@UREMBOASILIA ...Tz

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam