Double H Cosmetics
Sellers of quality and original cosmetics in a reasonable prices. Major Distributor PORTIA M products
Your beauty is our biggest concern. Stay cute
11/07/2026
Pata ngozi yenye kuvutia na yenye afya kwa kutumia Moroccan Argan Oil Body Lotion!
✳️Lotion hii imeboreshwa na Vitamin C & E ili kuipa ngozi yako lishe muhimu, kuinyumbulisha, na kuifanya ing'ae vizuri.
✳️Ni suluhisho bora kwa ajili ya kulainisha na kurekebisha ngozi yako, ikikuacha na mwonekano wa asili na wenye mvuto.
💰Inapatikana kwa Tsh25, 000/= tu
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Unahangaika na matatizo ya ngozi k**a michirizi, chunusi, hyperpigmentation, au sunburn?
✅Double H Cosmetics tunakuletea bidhaa bora kutoka HarLeen M kwa ajili ya kila changamoto ya ngozi
🧴 Tamanu Skin Care Oil - kwa michirizi na chunusi.
💧 Soothing Toner - kwa kubalance pH na kufunga pores.
✨ Moisturizing Lotion - kwa ajili ya anti-aging na kunyonyesha ngozi.
☁️ Face Cream - kwa ngozi zenye mafuta na normal skin.
📍Zote zinapatikana dukani kwetu kwa bei ya jumla na rejareja
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Je, unatafuta mng'ao wa asili na ngozi yenye afya?
Tunakuletea mkusanyiko wa serums kutoka Portia M, suluhisho kamili kwa mahitaji ya ngozi yako!
✨ VitaGlow Serum: Huongeza mng'ao wa asili (radiance) na kuondoa madoa ya jua na chunusi.
🌹 Rejuvenate+ Serum: Inarudisha uhai wa ngozi, inaimarisha (plumping/firming), na kuboresha texture ya ngozi.
💧 HyaluGlow Serum: Ikiwa na Hyaluronic Acid na maji ya n**i, inatoa unyevu (hydration) wa kina kwa ngozi laini na yenye afya.
Chagua inayofaa kwa ngozi yako na uanze safari ya ngozi yenye kuvutia leo!
💰Zinapatikana kwa Tsh35,000/= tu kila moja
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Ukiwa na siku nzuri, siku mbaya, mawazo au furaha, ngozi yako inastahili kutunzwa!
✳️Tunakuletea Vaseline Golden Hour Glow, mshirika wako bora wa kuifanya ngozi yako kuwa na unyevu wa kutosha na mwonekano wa kung’aa (glowing) muda wote.
Ni wakati wako wa kujipatia ngozi yenye mvuto na afya.
💰Inapatikana kwa bei ya Tsh35, 000/= tu wahi sasa ujipatie
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Je, unajua siri ya ngozi laini na yenye afya?
✨ Body butters hizi ndiyo suluhisho unalohitaji! Zimebuniwa mahususi kukupa unyevu wa kudumu na kuifanya ngozi yako kung'aa.
📍Zote zinapatikana Double H Cosmetics kwa bei nafuu kabisa
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
07/07/2026
Sabasaba ni zaidi ya maonesho, ni sherehe ya ubunifu, biashara na maendeleo ya Watanzania. 🇹🇿
Katika safari hiyo, Double H Cosmetics tunaendelea kukupa bidhaa bora za urembo na utunzaji wa ngozi zinazokusaidia kuonekana mrembo, kujisikia vizuri na kujiamini kila siku.
📌Heri ya Sabasaba! Tuweke uzuri na maendeleo kwenda sambamba.
Jiunge na wateja wetu wanaofurahia matokeo ya bidhaa za Harleen M! Kutoka ngozi iliyochoka na kavu hadi ngozi nyororo na yenye afya.
📍Upo tayari kubadilisha mwonekano wako?
📞Wasiliana nasi kwa 0788 222 922 ujipatie bidhaa yako pendwa
03/07/2026
Pata combo hii ya Dove inayokupa huduma kamili ya mwili
🧴 Refreshing Body Wash – Husafisha na kuacha ngozi ikiwa laini na yenye unyevunyevu.
🫧 Exfoliating Body Polish – huondoa seli zilizokufa na kuifanya ngozi iwe nyororo.
🌿 Dove Men+Care Deodorant – ulinzi dhidi ya jasho na harufu mbaya.
💰Zote hizi unajipatia kwa Tsh 52,000 tu! Usikose ofa hii.
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Furaha ya mteja ndio kipaumbele chetu! ✨
Tunaungana na mteja wetu huyu kusema asante kwa kutuamini na kufurahia huduma zetu.
Tunajivunia kutoa huduma bora na bidhaa za uhakika kwa ajili ya urembo na ngozi yako.
Karibu Double H Cosmetics ujipatie bidhaa bora zaidi!
Kwa mahitaji ya bidhaa bora za urembo
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Sinza Kumekucha
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |