Urembo Natural Tz
we produce and sell natural skincare products
08/09/2023
07/09/2023
🌿 Tatizo la chunusi huweza kuwa kikwazo kwa wengi na huweza kumaliza pesa nyingi kununua bidhaa zotautitofauti. Kwa gharama nafuu ya Shilingi 17,000/= tu ya kitanzania tumeleta suluhisho la chunusi ambalo ni bidhaa natural inayofanya kazi kwa haraka kuondoa chunusi.
👍Bidhaa hii inafanya kazi kwa ngozi za aina zote hasa ngozi ya mafuta na ngozi za aina nyingine pia.
📦Bidhaa hii inapatikana kwa bei ya Tshs 17,000 /= tu na kwa wateja wetu wa dar es salaam tunawapelekea bidhaa mpaka mahali alipo bila gharama yoyote ya delivery.
🌿 Tatizo la chunusi huweza kuwa kikwazo kwa wengi na huweza kumaliza pesa nyingi kununua bidhaa zotautitofauti. Kwa gharama nafuu ya Shilingi 17,000/= tu ya kitanzania tumeleta suluhisho la chunusi ambalo ni bidhaa natural inayofanya kazi kwa haraka kuondoa chunusi.
👍Bidhaa hii inafanya kazi kwa ngozi za aina zote hasa ngozi ya mafuta na ngozi za aina nyingine pia.
📦Bidhaa hii inapatikana kwa bei ya Tshs 17,000 /= tu na kwa wateja wetu wa dar es salaam tunawapelekea bidhaa mpaka mahali alipo bila gharama yoyote ya delivery.
Urembo Natural Tz we produce and sell natural skincare products
22/04/2022
Kwa matatizo ya chunusi za aina zote serum hii ni nzuri sana na inafanya kazi kwa ngozi za aina zote.
🌿Huondoa zile chunusi kubwakubwa ambazo ndani zinakuwa na usaha au majimaji, hizi huwa ni bacterial acne zinasababishwa na bacteria.
🌿Pia huondoa zile chunusi ndogondogo ambazo mara nyingi hutokea kwenye paji la uso na kidevuni, ambazo ukizikamua huwa zinatoa k**a uchafu mweupe na mara nyingine huwa hazitoi kitu, hizi huitwa closed / open comedones (Whiteheads and blackheads).
🌿Huondoa vipele vidogo vidogo (Rashes) na kulainisha ngozi.
Haichubui wala kubadili rangi ya ngozi.
☘Imetengenezwa na natural ingredients k**a vile Willow bark extract. Pia ina Aloe vera, Tea tree essential oil, rose water na ingredients nyingine nzuri kwa ngozi yako.
📦Bei yake ni Tshs 17,000 na kwa wateja wetu wa Dar es salaam wataletewa hadi walipo delivery ni bure kabisa. K**a mteja yupo mkoani pia tunatuma kwa uaminifu sana.
📞Wasiliana nasi kwa namba
0764 466 476 kwa whatsapp au simu ya kawaida ili uweze kuletewa serum ulipo.................................................................
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam