Urembo Natural Tz

Urembo Natural Tz

Share

we produce and sell natural skincare products

08/09/2023
07/09/2023

🌿 Tatizo la chunusi huweza kuwa kikwazo kwa wengi na huweza kumaliza pesa nyingi kununua bidhaa zotautitofauti. Kwa gharama nafuu ya Shilingi 17,000/= tu ya kitanzania tumeleta suluhisho la chunusi ambalo ni bidhaa natural inayofanya kazi kwa haraka kuondoa chunusi.
👍Bidhaa hii inafanya kazi kwa ngozi za aina zote hasa ngozi ya mafuta na ngozi za aina nyingine pia.
📦Bidhaa hii inapatikana kwa bei ya Tshs 17,000 /= tu na kwa wateja wetu wa dar es salaam tunawapelekea bidhaa mpaka mahali alipo bila gharama yoyote ya delivery.

27/08/2023

🌿 Tatizo la chunusi huweza kuwa kikwazo kwa wengi na huweza kumaliza pesa nyingi kununua bidhaa zotautitofauti. Kwa gharama nafuu ya Shilingi 17,000/= tu ya kitanzania tumeleta suluhisho la chunusi ambalo ni bidhaa natural inayofanya kazi kwa haraka kuondoa chunusi.

👍Bidhaa hii inafanya kazi kwa ngozi za aina zote hasa ngozi ya mafuta na ngozi za aina nyingine pia.

📦Bidhaa hii inapatikana kwa bei ya Tshs 17,000 /= tu na kwa wateja wetu wa dar es salaam tunawapelekea bidhaa mpaka mahali alipo bila gharama yoyote ya delivery.

Urembo Natural Tz we produce and sell natural skincare products

22/04/2022

Kwa matatizo ya chunusi za aina zote serum hii ni nzuri sana na inafanya kazi kwa ngozi za aina zote.

🌿Huondoa zile chunusi kubwakubwa ambazo ndani zinakuwa na usaha au majimaji, hizi huwa ni bacterial acne zinasababishwa na bacteria.

🌿Pia huondoa zile chunusi ndogondogo ambazo mara nyingi hutokea kwenye paji la uso na kidevuni, ambazo ukizikamua huwa zinatoa k**a uchafu mweupe na mara nyingine huwa hazitoi kitu, hizi huitwa closed / open comedones (Whiteheads and blackheads).

🌿Huondoa vipele vidogo vidogo (Rashes) na kulainisha ngozi.
Haichubui wala kubadili rangi ya ngozi.

☘Imetengenezwa na natural ingredients k**a vile Willow bark extract. Pia ina Aloe vera, Tea tree essential oil, rose water na ingredients nyingine nzuri kwa ngozi yako.

📦Bei yake ni Tshs 17,000 na kwa wateja wetu wa Dar es salaam wataletewa hadi walipo delivery ni bure kabisa. K**a mteja yupo mkoani pia tunatuma kwa uaminifu sana.

📞Wasiliana nasi kwa namba
0764 466 476 kwa whatsapp au simu ya kawaida ili uweze kuletewa serum ulipo.................................................................

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam