Afya na kilimo

Afya na kilimo

Share

kilimo
afya ya uzazi
tiba ya maradhi mbalimbali

04/08/2022

WhatsApp 0784085078

02/08/2022

Usikubali matatizo yako yakuugua yakakupa stress usiumie

♦️Bado Kuna suluhisho la tatizo lako

♦️😥 Usipoteze matumaini

♦️Tumekuja na ufumbuzi wa matatizo/changamoto unazopitia

♦️ WASILIANA NASI KWA MSAADA/USHAURI NA UTATUZI WA TATIZO LAKO

📞0784978348

02/08/2022

Vile tabasam litakavyokua,,baada yakupona infection zilizokusumbua kwa mda mrefu😍😍😍😍

Yote yanawezekana ,,tumia products zetu ,na uishi maisha yenye amani,baada yakupona kabisa

Usikate tamaa umefika penye suluhisho Sasa🔥

WASILIANA NASI KWA MAELEKEZO ZAIDI NA USHAURI/KWA CHANGAMOTO YA AFYA INAYOKUKABILI

0784978348

01/08/2022

Love your self
Live healthy 🍎

01/08/2022

DALILI ZA MTU ASIEKUWA NA UWIANO SAWA WA HOMONI ( Hormones imbalance)

♦️Kupungua au kuongezeka kwa mapigo ya moyo kuliko kawaida( tachycardia)

♦️Kuhisi/kuwa mchovu Sana(fatigue)

♦️ Kupata choo kigumu(constipation)

♦️Kuwa na matatizo ya period kwa wanawake ,mfano maumivu makali wakati wa period,,tarehe kubadilika badilika,,nakua na period inayopitiliza siku,,na inayotoka kidogo Sana ama kwa siku chache kuliko kawaida

♦️Kuwa na cholesterol nyingi Sana kwenye damu kuliko kawaida

♦️Kua na mawazo ,kujisikia vibaya mda mwingi ,kukasirika kasirika ,kujihisi mkiwa Sana /upweke (depression & anxiety)

♦️Kuwa na machunusi/skin oil(acnes)
♦️Kuumwa kichwa/ kipanda uso(migraine)

♦️kuongezeka au Kupungua kupita kiasi kwa uzito

♦️Kuwashwa mwili bila sababu

Hizi nikati ya dalili chache za homoni imbalance

WASILIANA NASI KWA changamoto ya afya ULIYOKUA nayi tukusaidie

📞0784085078

29/07/2022

Je wajua faida za papai???

Zifuatazo Ni Kati ya faida chache za papai

🍎Papai ina vitamin A na C ambayo inaingiza afya katika mwili

🍎Lakini pia ina Anti oxidants mfano Beta-carotene ambayo husaidia ktk kupunguza kupata saratani ya via vya uzazi kwa vijana hasa saratani ya korodani

🍎Ina Zeaxanthin (antioxidant) ambayo inakazi yakuchuja miale hatari ya jua

==>inaaminika pia kua antioxidant hiyo husaidi ktk afya ya macho na kuzuia udhoofu wa misuli

🍎Pia Katika papai Kuna enzyme (protelytic enzyme)amabae anasaidia kuua bacteria na minyoo pamoja na wadudu hatari ndani ya tumbo( mfumo wa kumengenya Chakula)

🍎Lakini pia katika papai Kuna vitamin K amabayo husaidia afya ya mifupa

🍎Pia Kuna vitamin nyingine nyingi K**a vitamin E na madini mengine mengi pia.

WASILIANA NASI KWA CHANGAMOTO YA AFYA ULIYOKUA NAYO TUKUSAIDIE
0784978348

29/07/2022

JE UNAJUA UVIMBE UNATIBIKA BILA KUFANYIWA UPASUAJI??!

🍎WASILIANA NASI UNAFIKISHIWA HUDUMA POPOTE ULIPO

📞0784978348

29/07/2022

Chukua hatua mapema WASILIANA NASI

0784978348

29/07/2022

Endapo utaona dalili hizi usipuuze!!

kadri utakavyowahi mapema itakua Bora zaidi

🔥Kwa changamoto za afya tucheki ,,
🔥Pata products nzuri kutoka kwetu zitakazomaliza kabisa tatizo lako
📞0784978348

29/07/2022

Zifaham njia ya maambukizi ya PID

Kwa changamoto za maradhi ya uzazi WASILIANA NASI

📞0784978348
MARADHI YA UZAZI kwa wanawake]
MARADHI YA UZAZI kwa wanawake]

29/07/2022

ya MAISHA yako iko MIKONONI mwako !! Sasa !!

+ Uishi maisha yenye furaha na afya tele

Tunasema HAPPY! LIVE HEALTHY 🍎
MORE MONEY! more life💪

28/07/2022

More money 💰💸,,more life ,,😇 Live healthy 🍎🍎🍎🔥🔥🔥🔥

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam