Afya na kinga
Ushauri juu ya magonjwa sugu ni bure pia tunatoa suluhisho la magonjwa mbalimbali,karibuni
01/10/2021
Click WhatsApp link https://wa.me/message/D24LWUDUTTO5H1 andika neno tuba tukupe ushauri na tiba sahihi ya PID
NB! Kwanzia tarehe 01/10/2021 mpaka tarehe 08/10/2021. Utaipata kwa punguzo Anatic herbal soap. Tuma neno tiba kwenda namba 0747979041 WhatsApp, SMS calls
01/10/2021
Wahi mapema kupata tiba ya tatizo lako kwa kutumia tiba bora na za uakika.
_tz
za kiume
28/09/2021
Tupigie au tuma SMS WhatsApp namba 0747979041 tukupe tiba na ushauri nzuri
kiume
26/09/2021
#0747979041.*HORMONAL IMBALANCE NI NINI.?*
> za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa
vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, Mvurugiko wa homoni
kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo
Estrogen,
Progesterone na
Testosterone.
Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.
VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI
Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni
kutokana na maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula
kulingana na makundi ya damu.
🖐 *Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni* ni:
Uwepo wa sumu mwilini
Unbalanced Lifestyle (mtindo mbovu wa maisha)
Umri ukienda sana
Kukoma kwa hedhi
Kutofanya mazoezi
Uzito mkubwa
Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
Msongo wa mawazo
Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
Upungufu wa lishe mwilini
Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
Utoaji wa mimba
Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
Bara (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya
Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa
ZA MVURUGIKO WA HOMONI.
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia
magonjwa yasiyo ambukiza kadri umri unavyo songa mbele.
🖐 *Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye* changamoto ya mvurugiko wa
homoni ni k**a vile:
Ukavu ukeni
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Kutoa jasho usiku
Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
Upungufu wa hamu la tendo la ndoa
Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7.
(heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati
wa hedhi
Uchovu wa mara kwa mara
Hasira za mara kwa mara
Kukosa usingi
26/09/2021
*HORMONAL IMBALANCE NI NINI.?*
> za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa
vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, Mvurugiko wa homoni
kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo
Estrogen,
Progesterone na
Testosterone.
Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.
VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI
Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni
kutokana na maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula
kulingana na makundi ya damu.
🖐 *Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni* ni:
Uwepo wa sumu mwilini
Unbalanced Lifestyle (mtindo mbovu wa maisha)
Umri ukienda sana
Kukoma kwa hedhi
Kutofanya mazoezi
Uzito mkubwa
Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
Msongo wa mawazo
Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
Upungufu wa lishe mwilini
Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
Utoaji wa mimba
Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
Bara (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya
Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa
ZA MVURUGIKO WA HOMONI.
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia
magonjwa yasiyo ambukiza kadri umri unavyo songa mbele.
🖐 *Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye* changamoto ya mvurugiko wa
homoni ni k**a vile:
Ukavu ukeni
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Kutoa jasho usiku
Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
Upungufu wa hamu la tendo la ndoa
Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7.
(heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati
wa hedhi
Uchovu wa mara kwa mara
Hasira za mara kwa mara
Kukosa usingizi
Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
Maumivu ya viungo.
23/09/2021
Pia ushauri ni bure, zipo tiba pia za matatizo mbalimbali, na k**a unataka kujua chanzo na visababishi by tatizo lako,mtindo bora wa Maisha ilikuzuia madhara makubwa basi Tupigie au wasiliana nasi kwa namba hapo juu.
23/09/2021
MAAMBUKIZI katika via vya uzazi kwa kawaida hujulikana k**a PID, kitaalamu kirefu chake ni Pelvic Inflammatory Disease, kwa Kiswahili maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi.
PID, ni maambuki yanayoathiri viungo vya uzazi vya mwanamke na hutokana na mchanganyiko mbalimbali wa magonjwa ya zinaa, hasa yaliyosababishwa na bakteria wa Pangusa (Chlamydia-ugonjwa huu tutaujadili siku zijazo) au kisonono.
Ugonjwa wa PID unapokaa muda mrefu bila kutibiwa, unaweza kusababisha uharibifu mkubwa usiobadilika katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, hasa katika mfuko wa kizazi (uterus), vifuko vya mayai (Ovaries) na mirija ya mayai (fallopian tubes).
Ugonjwa huu unapokaa muda mrefu mwilini bila kutibiwa humfanya mwanamke kupatwa na ugumba. Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuka na ugonjwa huu.
Ugonjwa wa kisonono pamoja na pangusa (Chlamydia) ndio vyanzo vikuu vya maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke.
Mwili wa mawanamke unapokuwa na afya kamili, mlango wa kizazi huwa na nguvu ya kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.
Hata hivyo, wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia, hasa kisonono na pangusa, mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake, hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.
Hapa kuna mambo ambayo huwafanya wanawake kupatwa na tatizo hili kwa urahisi, mambo hayo ni: Moja, kuwa na wapenzi wengi ama kutoka nje ya ndoa, pili; kuanza mambo ya mapenzi mapema hasa chini ya miaka 20, tatu; kupiga bomba ukeni kwaweza kusaidia vimelea kuingia ndani na kusababisha maambukizi katika viungo vya uzazi.
Tupigie, au tuma SMS ,whattsapp kwenda namba 0747979041 kupata tiba
ya uzazi
23/09/2021
MAAMBUKIZI katika via vya uzazi kwa kawaida hujulikana k**a PID, kitaalamu kirefu chake ni Pelvic Inflammatory Disease, kwa Kiswahili maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi.
PID, ni maambuki yanayoathiri viungo vya uzazi vya mwanamke na hutokana na mchanganyiko mbalimbali wa magonjwa ya zinaa, hasa yaliyosababishwa na bakteria wa Pangusa (Chlamydia-ugonjwa huu tutaujadili siku zijazo) au kisonono.
Ugonjwa wa PID unapokaa muda mrefu bila kutibiwa, unaweza kusababisha uharibifu mkubwa usiobadilika katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, hasa katika mfuko wa kizazi (uterus), vifuko vya mayai (Ovaries) na mirija ya mayai (fallopian tubes).
Ugonjwa huu unapokaa muda mrefu mwilini bila kutibiwa humfanya mwanamke kupatwa na ugumba. Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuka na ugonjwa huu.
Ugonjwa wa kisonono pamoja na pangusa (Chlamydia) ndio vyanzo vikuu vya maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke.
Mwili wa mawanamke unapokuwa na afya kamili, mlango wa kizazi huwa na nguvu ya kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.
Hata hivyo, wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia, hasa kisonono na pangusa, mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake, hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.
Hapa kuna mambo ambayo huwafanya wanawake kupatwa na tatizo hili kwa urahisi, mambo hayo ni: Moja, kuwa na wapenzi wengi ama kutoka nje ya ndoa, pili; kuanza mambo ya mapenzi mapema hasa chini ya miaka 20, tatu; kupiga bomba ukeni kwaweza kusaidia vimelea kuingia ndani na kusababisha maambukizi katika viungo vya uzazi.
Tupigie, au tuma SMS, au wattsapp kwenda namba 0747979041 kupata tiba
ya uzazi
22/09/2021
*MADHARA YA BAADHI YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO!*
Izi njia ndizo zinazofanya uzazi kuwa wa shida sana, na sasa ivi matumizi yameongezeka siyo kwa walio olewa, wasiolewa ata baadhii ya wanafunzi wanatumia izi nji.......... sasa leo jifunze kidogo juu ya
*MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*
✅Usumbufu Hedhi,
Inaweza ukafunga hedhi au ikawa inatoka nyingi, nyeusi, mabongebonge au inatoka kidogo.
✅Kuumwa Kichwa Mara Kwa Mara
✅Kizunguzungu
✅Kichefuchefu
✅Kuongezeka Uzito(Unene/Kitambi)
✅Kupotea Hamu Ya Tendo La Ndoa
✅Uvimbe Kwenye Kizazi
*MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA.*
✅Huathiri Mfuko Wa Uzazi Kwa Ndani Na Kusababusha Uvimbe
✅Kuongeza Uzito wa ute utokao Ukeni Na Kuzuia Mimba Kutunga ✅Kuumwa Kichwa Mara Kwa Mara
✅Kupata Kichefuchefu
✅Kutopata Hedhi kwa Baadhi Ya Wanawake
✅Kubadilisha Mwendo Wa Damu
✅Kuathiri Ini Kidogo Kidogo
✅Kupata Kisukari
✅Kupata Ugonjwa Wa Moyo
✅Kupooza Upande Mmoja Wa Mwili
✅Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa
*MADHARA YA NJIA KITANZI*
✅Damu inakuwa inatoka mara kwa mara ata k**a haupo kwenye hedhi.
✅Kutoboa Mfuko Wa Uzazi
✅Kuongezeka Kwa Upana Wa Uke
✅Kitanzi Kinawezafyatuka Na kusababisha Upasuaji
✅Kupoteza Hamu Ya Tendo La Ndoa
✅Kusumbuliwa na infection k**a Pid ,UTI au fangasi
✅Kupata saratani ya shingo ya kizazi.
*MADHARA NJIA YA KIJITI*
✅Husababisha Kansa
✅Huchanganyikiwa Akili
✅Shinikizo La Juu La Damu
✅Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa
✅Ukavu Ukeni
✅Kupoteza Hamu Ya Tendo La Ndoa
*USHAURI NA MSAADA*
K**a Umepatwa Na Moja Ya Matatizo Hayo Apo Juu Ikiwemo *Ugumba au PID* na magonjwa mengine ya uzazi,tuwasiliane kwa ushauri na tiba ukae sawa
Kumbuka k**a hupati *ujauzito na ulikua mtumiaji mzuri wa Uzazi wa Mpango,* wala usihangaike kutafuta mchawi kwa waganga,shida ni izo njia ata k**a ulitumia mara moja Tu.
✨Kwa Msaada Zaidi, Wasiliana nami ...0747979041
22/09/2021
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Mlimani City
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |