mambo yote herbs

mambo yote herbs

Share

pure natural female/male product
Beauty product
support both female/male reproductive system

Photos from mambo yote herbs's post 05/12/2022

Feedback ya yoni hiyo

02/12/2022

Jamani hii face cream ni nzuri yaan mpka nashindwa kuielezea

✨Inasaidia kusafisha uso inatoa takataka zote usoni

✨Na haichubui yaan mtu mwenye rangi yoyote ile anatumia yaan hii face cream inachokifanya inaondoa dead skin inakuacha na ka mng’ao fulani hii ka ki staa

✨Inaharufu nzuri iliyopoa haikeli

✨Inaondoa vipele vidogo vidogo usoni pia k**a una weusi chini ya macho inasafisha kabisa

✨K**a una utango utango na mba usoni inasafisha kila kitu

✨Umepaka cream imekukataa jamani naomba uikimbilie yoko face cream haitakuangusha

✨Wenye chunusi sugu tafuta hii cream utanishukuru

Bei yake ni sh elfu 15

Call/ whatsapp:0769826193/0718105674

Tupo sinza kumekucha karibu na hotel ya fine travellers

Photos from mambo yote herbs's post 01/12/2022

Yoni pearls zimetengenezwa kutibu magonjwa mbalimbali yanayohusu afya ya uzazi wa mwanamke

Kwa matokeo mazuri inabidi utumie dose husika kulingana na tatizo lako

Yoni pearls ni ya uhakika na ina majibu mazuri yakukuacha mdomo wazi kabisa

Inasaidia magonjwa yafuatayo;
👉Kutibu pid
👉Kuzibua mirija
👉Kutibu ovarian cyst
✨kubana uke
✨kuondoa harufu mbaya
✨kuondoa uchafu
✨kuondoa miwasho
✨kusaidia kushika mimba
✨kuondoa maumivu ya period
✨kuondoa uvimbe wa fabroid
✨kuondoa bacteria wa fangasi
✨kuongeza ute wakati wa tendo la ndoa
✨kubalance hormone
✨kupunguza tatizo la PCOS
✨kupunguza endometriosis
✨ina maintain PH ya uke

Bei ni sh 10000 kwa dose moja zinakuwa tatu

Call\whatsapp:0769826193/0718105674

NB:hairuhusiwi kutumia na wajawazito

30/11/2022

K**a kwa bibi kumelegea kwa sababu zozote zile k**a

👉Uzazi
👉Umri
👉Infection

Vaginal tightening gel ni nzuri mno kurudisha maumbile kurudi k**a mwanzo

Vaginal tightening gel mbali ya kubana vjay inasaidia matatizo mbalimbali k**a vile

✨kutibu fangasi

✨kuondoa harufu ukeni

✨kutibu uti

✨kubalance ph ya uke

Note:kutibu infection inabidi utumie pc nne

Pc moja ni sh elfu 5

Call/whatsapp:0769827193/0718105674

Photos from mambo yote herbs's post 30/11/2022

Haya jaman watoto wa mama mkwe wanasema suala ya ukavu limekuwa changamoto.

Suluisho lipo jamani k**a unataka kuwa na wet p***y tumia hiyo package

Bei yake ni sh elfu 35

Tunapatikana sinza kumekucha karibu na hotel ya fine travellers

Call/whatsapp:0769826193/0718105674

Photos from mambo yote herbs's post 30/11/2022

K**a mwanaume unapata changamoto ya kutungisha mwanamke wako mimba kutokana na sababu mbalimbali

Male Fertility Tea inasaidia vitu vifuatavyo

✨Inaongeza wingi wa mbegu za kiume

✨Inaongeza ubora wa mbegu za kiume

✨Inaongeza nguvu kwenye mbegu kuiwezesha kusafiri kwa wepesi

✨Inarekebisha hormone za mtumiaje

✨Inaondoa uchovu

✨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa

✨Inaondoa sumu kwenye figo

✨Inatibu vericocele

✨Inaongeza stamina yaan inaweza kwenda zaidi ya round moja

Bei yake ni sh elfu 20000

Note:hii lazima ikurudishie heshima nyumbani

Call/whatsapp:0769826293/0718105674

Tupo sinza kumekucha

Photos from mambo yote herbs's post 30/11/2022

K**a unachangamoto ya ukavu ukeni tuna package nzuri ya kumaliza tatizo hilo kabisa

Bei take ni sh elfu 35

Tunapatikana sinza kumekucha karibu na hotel ya fine travellers

Call/whatsapp:0769826193/0718105674

30/11/2022

Haya mafuta yametengenezwa na 100% natural product

K**a unasumbuliwa na infection za mara kwa mara naomba tumia haya mafuta ya yoni oil yanasaidia sana kuzuia infection kwasababu ni antibacterial na anti inflammatory

K**a unasumbuliwa na harufu mbaya ukeni pia haya mafuta ni mazuri sana jamani hutosikia harufu yaan yanakuacha fresh siku nzima

Pia yanaondoa miwasho,yanasaidia kubalance ph ya uke on top of that unaweza kuyatumia k**a s*x l**e especially k**a unakuwa mkavu sana wakati wa s*x

✨Unatumia kwa kupaka kidogo tu mwenye mashavu ya uke

✨Unaweza kuweka kwenye panty liner

Pia unaweza kutumia wakati wa kuweka yoni pearls

Bei yake ni sh elfu 15

Call/whatsapp:0769826193/0718105674

Tunapatikana sinza kumekucha na Tabata segerea kwa bibi

29/11/2022

Jinsi ta kutumia Tighnening Stick:
👉Osha stick kwa sekunde 10
👉Ingiza nusu ya stick kwenye uke na uiashe kwa sekunde 15-30
👉Ukimaliza itoe na osha uke kwa maji safi
👉Osha Stick iache ikauke na uitunze kwenye box lake

29/11/2022

Chai hii inasaidia matatizo yote katika mfumo wa uzazi wa mwanaume

Male Fertility Tea inasaidia vitu vifuatavyo

✨Inaongeza wingi wa mbegu za kiume

✨Inaongeza ubora wa mbegu za kiume

✨Inaongeza nguvu kwenye mbegu kuiwezesha kusafiri kwa wepesi

✨Inarekebisha hormone za mtumiaje

✨Inaondoa uchovu

✨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa

✨Inaondoa sumu kwenye figo

✨Inatibu vericocele

✨Inaongeza stamina yaan inaweza kwenda zaidi ya round moja

Bei yake ni sh elfu 20000

Note:hii lazima ikurudishie heshima nyumbani

Call/whatsapp:0769826293/0718105674

29/11/2022

Hi combo ya clean kit inakuwa na yoni oil na yoni soap

Yoni soap inasaidia
👉Kubalance ph ya uke
👉Kuondoa harufu uken
👉Kukuacha fresh siku nzima

Inatumika kwa kuosha nje kwenye mashavu ya uke

Yoni oil inasaidia
👉Kukukinga na infection za mara kwa mara kwasababu ni antibacteria

👉Ku moisturize vjay
👉Pia inatumika k**a s*x lubricant

Bei ni sh elfu 20

Call/whatsapp:0769826193/0718105674
Tupo sinza kumekucha

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Sinza Kumekucha Near Fine Travellers Hotel
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 19:00
Tuesday 09:00 - 19:00
Wednesday 09:00 - 19:00
Thursday 09:00 - 19:00
Friday 09:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 19:00