Afya360.

Afya360.

Share

Virutubisho Tiba

09/09/2022

Detox tea ni zaidi ya chai ni dawa Pia kwasababu inamchanganyiko wa mimea dawa 13 kila moja ikiwa na kazi yake
Ondoa sumu mwilini huku ukitibu mwili pia

Have you detoxed today?
Taste ya hii detox tea ni nzuri unaweza kuongeza ndimu ili kuongeza taste
Detox tea unaweza kuinywa ikiwa ya baridi au ya moto,hivyo unaweza kuibeba hata kazini
Wakati unatumia hii detox utashangaa rangi ya mkojo kubadilika hata k**a unakunywa maji kiasi gani utaona rangi haibadiliki mpaka unapomaliza week moja mbele na zaidi inategema na kiwango cha uchafu ulio mwilini.
Asilimia kubwa uchafu utatolewa kwa njia ya haja ndogo,jasho pamoja na haja kubwa .
Detox tea hii haikufanyi uhare zaidi inasaidia changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kuanzia gesi tumboni,vidonda vya tumbo,kukosa choo au kupata Choo kigumu
Wakati unatumia detox tea hii choo kinakua kilaini(texture na shape sahihi ya choo)kutakuwa na ongezeko la speed ya mmeng’enyo wa chakula hivyo kuondoa shida ya kukosa choo au kupata choo kigumu

09/09/2022

One of the best ways of detoxing😉
Inasaidia kuondoa sumu kwenye ini na figo pamoja na system nzima ya mmeng’enyo wa chakula
👉🏼wenye vidonda vya tumbo
👉🏼shida ya gesi tumbo kujaa gesi
👉🏼shida ya acid nyingi tumboni
👉🏼food intoxication
Benefits
1. Regulates the function of Microcirculation, edema, Lymphatic function and capillary filtration, fragility and permeability.
2. Reduce capillary permeability and capillary resistance
3. Alleviate the acute hemorrhoids symptoms (Swelling, bleeding) and reduces seizure frequency 4. Relieve pain heavy legs, swelling and spasms
4.Extend the norepinephrine - induced venus contraction time to increase various tension.
5.Reduce blood viscosity and improve blood circulation to prevent microcirculation stasis.
6.Improve the lymph circulation, speed up the return of tissue fluid and reduce swelling.
7.Reduce pain symptoms of hemorrhoids and varicose veins.
8.Very effective in dissolving and eliminating die uric acid deposits within the joints that cause
urinate arthritis. So good for excess uric acid (gout)
9.Good for kidney stones
10.Excellent blood alkalizer in spite of its acid taste.
11.Good for eye conditions. Because of its richness in carotenoids. It prevents muscular
degeneration of the retina which causes blindness in people over the age of 65 years.
12.Strong antioxidants - it neutralizes free radicals
13.Helps in prevention and treatment of cancer
14.Good for arteriosclerosis hardening of arteries
15.Assist in weight loss due to its detoxifying properties.
16.Strong antitoxin - Neutralizes die action of a variety of toxic substances,
such as nitrosamines; found in cured meats.
17.Good for skin condition - contributes to the
formation of collagen, fibrous tissue necessary
for wound healing.
18.Good for stroke and heart diseases by
preventing the free radicals from damaging the
artery walls leading to plaque formation.
19.It treats autoimmune disorders.
20.Good for liver and kidney diseases prevention 26. It fights free radicals thus delay aging
21.Improve sleep quality and memory
22.Good for those suffering from anemia

17/08/2022

This detox never disappoints!!
Hii tea haijawahi kumuacha mtu salama.Inafanya kazi kwa kila anaetumia✅

Ukianza kutumia utagundua
🎯mwili unakuwa na nguvu zaidi
🎯kujisikia mwepesi
🎯inaondoa shida ya gesi
🎯inaondoa shida ya harufu mbaya ya kinywa
🎯inasaidia kuweka sawa sukari kwenye damu pamoja na shinikizo la damu(BP)
🎯inaondoa homa mwilini

Sina hakika k**a unaniamini..Lakini nina uhakika asilimia mia baada ya kuitumia utaniamini
Kuipata piga simu no 0685 152 252 au nitafute WhatsApp kupitia link kwenye bio au kwa namba hizo hizo
Karibu sana

17/08/2022

Haya ni MAAJABU kwasababu hii sio KAWAIDA!!

📌Faida 10 za kutumia TeDivina PEKE YAKE..(zipo nyingi ila hizi ni 10 tu)

✅Faida ya 7 inauwezekano wa kuokoa GHARAMA kubwa sana!!

📌Mafuta mabaya sio tatizo tena mbele ya TeDivina..INAONDOA

📌Sumu na madhara yake makubwa sana! Hii ndo kiboko yake!! HUAMINI jaribu leo ili ujionee

📌Ngozi iliyo zeeka kabla ya wakati..SIO TATIZO TENA kwa TeDivina

📌Inaweka sawa uwiano wa homoni na kuepusha madhara makubwa sana ya mvurugano wa homoni(Hormonal imbalance)

📌 Pressure ni gonjwa SUGU.lakini TeDivina inasaidia kuweka sawa uwiano wa pressure

📌Kisukari Je!? Pia ni gonjwa SUGU. TeDivina ni adui wa kisukari..inasaidia kuweka sawa uwiano wa sukari!

📌Matatizo ya figo ni tatizo KUBWA sana.. TeDivina inasaidia sana kwenye FIGO na mfumo mzima wa mkojo

📌Vipi kuhusu kinga ya mwili..Kinga ni MUHIMU sana.. TeDivina ina PANDISHA kinga ya mwili

📌Pengine hujui.. TeDivina inasaidia pia kupunguza uzito

📌Maumivu wakati wa hedhi,uchovu uchovu wa mwili na usingizi wa tabu..hivi vyoote vimepata adui.. TeDivina

📌 MAAMUZI ni yako

✅Kuipata Piga simu no 0685 152 252..au WhatsApp kwa namba hiyo hiyo au njoo inbox..Karibu sana

15/08/2022

DETOXIFICATION.
VYANZO VYA SUMU

A. Sumu itokanayo na shughuli za kimetaboli za Mwili na kusababisha free radicals ambazo huathiri mwili

B. Sumu itokanayo na Mazingira ya nje ya mwili k**a;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa
BAADHI YA Dalili za Sumu nyingi Mwilini
1.Uzito mkubwa na Haupungui kirahisi (Ukipungua Unarudi tena Haraka)
2.Kuchoka sana bila sababu ya msingi
3.Kukosa Usingizi (Stress hasa Usiku)
4.Kushuka Uwezo Wa Kufikiri
5.Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara.
6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka)
7. Harufu mbaya mwilini, kinywani,pumzi na kwenye haja kubwa.
8. Kupata Gesi na Choo Kigumu au Kukosa Choo kabisa Kwa Siku Kadhaa
9.Maumivu makali ya Misuli
10. Ngozi Kukosa Nuru
11. Kuwa Sensitive sana na Harufu na Kuhisi Harufu nyingi zinakuumiza
12. Kuwa na Hamu kubwa ya Vyakula hasa vyenye Mafuta Mengi, Sukari/Chumvi Nyingi.
13. Kubadilika kwa rangi ya ngozi, au ulimi au mkojo kuwa na unjano.

MADHARA KADHAA YA SUMU MWILINI

1.kuondoa  hamu ya tendo la ndoa
2.Magonjwa ya figo
3.Magonjwa ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya  pressure
7.Mvurugiko wa homoni
Te divina detox tea ni multi organ detox tea ambayo ina viambata asili vinavyotibu mwili pia
Kuipata Piga 0685 152 252

15/08/2022

Ili kuelewa vizuri..soma post ya nyuma..Post kabla ya post hii
Inaendelea
👇

4.PRESIMNON LEAVES-Husaidia kuweka uwiano sawa wa sukari na shinikizo la damu.Nzuri kwa matatizo ya macho na kuongeza kinga ya mwili

5.MASHMALLO LEAVES-Husaidia kuongeza madini ya calcium,vitamin B,Iron

6.MALVA LEAVES-Husaidia kutibu na kurepair tissue zilizo haribika,kuongeza ufanisi wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,kusaidia kupambana na uzee kwa kuzalisha seli mpya,husaidia watu wenye changamoto ya kukosa usingizi usiku.

7.MYRRH-Husaidia kusafisha mfumo wa mzunguko wa damu,kupambana na maambukizi haswa kwenye damu,kupambana na vichakaza seli

8.CHAMMOMILE-Husaidia kuleta muscle relaxation,watu wenye shida ya kupanda uso,maumivu wakati wa hedhi,husaidia watu wanaokosa usingizi usiku.

9.REISH MUSHROOM-Husaidia kuongeza kinga ya mwili,husaidia kupambana na maambukizi ya virusi,husaidia matatizo ya mapafu,husaidia matatizo ya moyo,husaidia kupunguza mafuta mabaya mwilini,husaidia kuweka uwiano sawa wa mzunguko wa damu.

10.SIBERIAN CHAGA-Husaidia watu wenye changamoto ya asthma,nzuri kwa ajili ya kuondoa maumivu ya viungo,maumivu ya misuli,changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

11.RED CRANBERRY-Hutumika k**a antibiotic husaidia kupambana na maabukizi ya bacteria k**a Ecoli,husaidia watu wenye UTI chronic,maumivu ya meno,vidonda vya tumbo,mawe kwenye figo,mafundo fundo kwenye koo

12.HOLY THISTLE-Husaidia kupambana na changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,maumivu ya tumbo,kukosa choo,kupambana na bacteria wabaya tumboni na kuweka Ph ya tumbo sawa

13.MICRO FIBRE-Husaidia kuondoa tatizo la choo kigumu

Dondoo muhimu!
.Maji safi na salama kwa kunywa yanahitajika
.Tumia maji ya kutosha kipindi unatumia detox hii
.Pima uzito wako kabla na baada ya kumaliza kufanya detox
.Ni vizuri ukiandaa chai usiku kabla ya kulala,lakini unaweza kuandaa muda wowote utakao kufaa
.Hakikisha inachuja kwa masaa 8 kwa ajili ya matokeo mazuriBaada ya kuandaa mchanganyiko wa chai,utatunza kwenye jokofu
.Baada ya kuandaa chai yako hakikisha unaloweka majani ndani ya chai

Kuipata Piga 0685 152 252

15/08/2022

Kwanini utumie te divina detox tea

💪🏿Chai kikombe Kimoja, Faida Nyingi💪🏿

Chai ya Divina Detox:

🎯Boresha usingizi na utulivu
🎯Kurekebisha viwango vya sukari kwenye damu
🎯Boresha matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji
🎯Huondoa ugonjwa wa matumbo(kuvimbiwa, kuhara)
🎯Pambana na virusi- kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia virusi
🎯Hupambana na fangasi - k**a vile candida - kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia ukungu(fungus)
🎯Husaidia kusafisha utumbo mkubwa na kuondoa shida ya choo kigumu
🎯Hupunguza msongo wa mawazo na kuweka mfumo wa hormones sawa
🎯Kurekebisha shinikizo la damu
Kuboresha mfumo wa kinga kutokana na baadhi ya viungo kuwa na mali ya kupambana na oxidant
🎯Changamsha shughuli za T-cell hivyo kuongeza kinga ya mwili
🎯Boresha kupunguza uzito na kupunguza unene
🎯husaidia kusafisha ini na figo
🎯Hupunguza maumivu ya tumbo haswa la hedhi
🎯Punguza uchungu na uchungu kutokana na viambato vya kuzuia uvimbe
🎯Kupunguza homa
Kuboresha afya ya moyo na mapafu
🎯Huboresha kumbukumbu kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye ubongo
🎯Huongeza ufanisi kwenye mmeng’enyo wa chakula na kuondoa shida ya gesi tumboni
🎯 Huboresha mzunguko wa damu mwilini
🎯 Husaidia sana kuondoa chunusi na kufanya ngozi ing’ae na kuwa soft ina collagen ya kutosha
🎯 Huzuia vidonda vya tumbo
🎯Hupunguza maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (UTI's)
Boresha afya ya tumbo kwa kuongeza bacteria wazuri tumboni
🎯 Hupunguza kichefuchefu
🎯Inaondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu

VIAMBATA 13 MUHIMU NDANI YA DETOX TEA
Baadhi ya viambata hivyo na kazi zake mwilini
1.GINGER-Anti-inflammatory & analgesic contents.Husaidia kutibu mafundo fundo kwenye koo,maumivu ya kichwa,maumivu ya viungo na changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

2.PAPAYA-Papain hii inasaidia sana kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kupambana haswa na minyoo na bacteria washambulizi tumboni

3.BLESSED THISTLE-Kupambana na maambukizi mwilini,kuondoa vichakaza seli(free radicals),kuondoa homa ya manjano,kupambana na mashambulizi na magonjwa kwenye ini
Inaendelea post inayofuata

03/08/2022

Kwanini utumie te divina detox tea

💪🏿Chai kikombe Kimoja, Faida Nyingi💪🏿

Chai ya Divina Detox:

🎯Boresha usingizi na utulivu
🎯Kurekebisha viwango vya sukari kwenye damu
🎯Boresha matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji
🎯Huondoa ugonjwa wa matumbo(kuvimbiwa, kuhara)
🎯Pambana na virusi- kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia virusi
🎯Hupambana na fangasi - k**a vile candida - kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia ukungu(fungus)
🎯Husaidia kusafisha utumbo mkubwa na kuondoa shida ya choo kigumu
🎯Hupunguza msongo wa mawazo na kuweka mfumo wa hormones sawa
🎯Kurekebisha shinikizo la damu
Kuboresha mfumo wa kinga kutokana na baadhi ya viungo kuwa na mali ya kupambana na oxidant
🎯Changamsha shughuli za T-cell hivyo kuongeza kinga ya mwili
🎯Boresha kupunguza uzito na kupunguza unene
🎯husaidia kusafisha ini na figo
🎯Hupunguza maumivu ya tumbo haswa la hedhi
🎯Punguza uchungu na uchungu kutokana na viambato vya kuzuia uvimbe
🎯Kupunguza homa
Kuboresha afya ya moyo na mapafu
🎯Huboresha kumbukumbu kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye ubongo
🎯Huongeza ufanisi kwenye mmeng’enyo wa chakula na kuondoa shida ya gesi tumboni
🎯 Huboresha mzunguko wa damu mwilini
🎯 Husaidia sana kuondoa chunusi na kufanya ngozi ing’ae na kuwa soft ina collagen ya kutosha
🎯 Huzuia vidonda vya tumbo
🎯Hupunguza maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (UTI's)
Boresha afya ya tumbo kwa kuongeza bacteria wazuri tumboni
🎯 Hupunguza kichefuchefu
🎯Inaondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu

VIAMBATA 13 MUHIMU NDANI YA DETOX TEA
Baadhi ya viambata hivyo na kazi zake mwilini
1.GINGER-Anti-inflammatory & analgesic contents.Husaidia kutibu mafundo fundo kwenye koo,maumivu ya kichwa,maumivu ya viungo na changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

2.PAPAYA-Papain hii inasaidia sana kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kupambana haswa na minyoo na bacteria washambulizi tumboni

3.BLESSED THISTLE-Kupambana na maambukizi mwilini,kuondoa vichakaza seli(free radicals),kuondoa homa ya manjano,kupambana na mashambulizi na magonjwa kwenye ini.

4.PRESIMNON LEAVES-Husaidia kuweka uwiano sawa wa sukari na shinikizo la damu.Nzuri kwa matatizo ya

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam