Tabasam.afya ya uzazi
Tunawasaidia wanawake wenye changamoto ya kushindwa kupata ujauzito ili waweze kupata ujauzito, na lkuzuia mimba kutoka.
20/03/2022
DALILI ya mirija ya uzazi kiziba
20/03/2022
DALILI
20/03/2022
P Kuna swali gumu zaidi ambalo karibia wajawazito wote huwa wanajiuliza
" Itakuwaje k**a Ujauzito utaharibika / utatoka ? "
Hilo ni swali ambalo Wajawazito karibu wote huwa wanajiuliza , na wanawasiwasi kwamba je ni kweli atafikia hatua ya kujifungua bila mtoto wake kudhurika ?
Mimba nyingi huharibika kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito na wengine mimba zao hutoka hata kabla hawajagundua k**a wao ni wajawazito 🤝
Vipi kwako ? Ulikua na wasiwasi ?
Au ni mjamzito una wasi wasi sasa hivi?
Au tayari umeshapata Huna mashaka
Usijiulize peke yako na Wala usiwe na mashaka.
Wasiliana nasi kwa msaada juu ya tatizo la mimba kuharibi/ kutoka tuweze kukusaidia
+255752423541
Jambo hili ni muhimu sana k**a mwanamke kulifahamu.
Hedhi ni Hali ya kawaida kabisa kwa mwanamke mwenye afya njema ya uzazi.
Lakini hedhi pia ni lugha ya kukuambia Hali yako ya kiafya.
Hedhi yako huweza kubadilika kulingana na mabadiliko mbalimbali mwilini mwako.
Mabadiliko hayo yanaweza kuletwa na:
*Magonjwa
*Lishe
*Mazingira
* Mabadiliko ya Vichocheo mwilini (homoni)
*Uvimbe katika via vya uzazi.
N.k
Unachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua mapema uonapo mabadiliko hayo kwani mabadiliko mengine huambatana na madhara na madhara mengine huwa ni nakubwa Sana. Yanapokomaa yatakugharimu Sana katika kuyatatua.
Usipuuze kwakuwa sasa una mtoto au hata watoto.
Tunza afya yako ili uweze kulea familia yako na uishi kwa furaha na amani.
Wasiliana nasi kwa namba
+255752423541
Upate msaada zaidi.
Tembelea ukurasa wetu wa Instagramafya_ya_uzazi ili ujifunze mengi zaidi.
Karibu Sana...
FAHAMU kwamba hedhi ni kitu cha kawaida kwa mwanamke ambaye ana afya njema hasa kwa upande wa uzazi.
Lakini hedhi pia ni kugha ya kukwambia wewe Hali yako ya kiafya kwa usalama wa afya yako.
Pale unapokuta unapata mabadiliko katika mfumo wako wa hedhi jua kwamba Kuna Mambo yamebadilika mwilini mwako, ambapo yanaweza kuwa ya kawaida ambayo hayana madhara au yanaweza kuwepo madhara, hayo madhara yanaweza kuwa ya kawaida au hata makubwa.
Mabadiliko ya hedhi huletwa na Magonjwa
Lishe
Mazingira
Mvurugiko wa homoni
Uvimbe kwenye via vya uzazi
Na mambo mengine.
Unachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua dhidi ya changamoto hizi na si kukaa huku ukijipa Moyo kwamba ni swala la kawaida.
Kumbuka unavyochukua muda mwingi kufanya maamuzi ndivyo unavyozidi kulipa muda tatizo kuzidi kukomaa hivyo litakuwa tatizo kubwa lenye kukugharimu Sana pia.
Endelea kutufuatilia uzidi kujifunza mengi yahusuyo afya ya uzazi.
Piga namba
+255752423541
Kwa msaada, pia tembelea ukurasa wetu wa Instagramafya_ya_uzazi kujifunza zaidi.
USICHO KIJUA NI KWAMBA.....
DITOX PEKEYAKE NDO FULL DOZI AMBAYO INAONDOA TATIZO KUANZIA KWENYE CHANZO CHAKE NA KUKUACHA UKIWA SAFI KABISA........
ANZA DETOX PROGRAM YAKO LEO.. NA UZURI NI KWAMBA HUA TUNAKUFUATILIA MPAKA UTAKAPO PONA KABISA....
NA HATA UTAKAPO KUA MJAMZITO MPAKA UTAKAPO JIFUNGUA.......💃
NIMEBAKIWA NA PACKAGE CHACHE MNO
ILI KUPATA SULUHISHO NIPIGIE SASAIVI
watthap +255752423541
USISAAU KU FALLOWafya_ya_uzazi afya_ya_uzazi afya_ya_uzazi
17/02/2022
FAHAMU ZAIDI KUHUSU HOMONI
UPUNGUFU WA HOMONI YA PROGESTERONE
Hii ndio aina kubwa zaidi ya mvurugiko wa homoni inayowasibu wanawake wengi sana wa rika zote. Vyanzo mara nyingi huwa ni mfumo wa ulaji pamoja na matumizi ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango. Dalili zake ni pamoja na:
— Premenstrual syndrome (Hali inayomkumba mwanamke wiki moja hadi mbili kabla ya kuona siku zake k**a uchovu, miwasho sehemu za siri, vipele vyekundu au vyeusi hasa usoni, pamoja na mabadiliko ya mood)
— Kutoka kwa mimba
— Kuongezeka uzito ghafla
— Wasiwasi (Anxiety)
— Kukosa usingizi
— Maumivu au Vimbe kwenye maziwa
— Kupata Kizunguzungu mara kwa mara
— Ugumba
UPUNGUFU WA ESTROGEN
Aina hii ya mvurugiko wa homoni ipo zaidi kwa wanawake wanaopitia ukomo wa hedhi kutokana na umri (menopause). Wanawake wembamba huathiriwa zaidi na upungufu huu wa homoni ya estrogen kuliko wanawake wengine. Dalili zake ni :
— Ukavu ukeni
— Maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa— Bladder Infections
— Homa za vipindi
— Kuvuja jasho usiku
— Matatizo ya kukumbuka
— Kujisikia mvivu na mzito kufanya mambo au kazi
ONGEZEKO LA ESTROGEN
Unaweza ukawa na estrogen ya ziada k**a utakuwa umetumia vidonge/matibabu ya homoni za kutengenezwa maabara/zisizo za asili ambavyo mara nyingi hupewa wanawake wanaopitia menopause. Dalili kuu ni pamoja na:
— Tumbo kujaa gesi/kuvimba/kukaza
— Kuongezeka uzito ghafla
— Mabadiliko ya hisia mara kwa mara (Mood swings)
— Wasiswasi (Anxiety) au Msongo wa mawazo
— Kukosa usingizi
— Vipele vyekundu usoni
— Kuota kwa vinyama/vipele kwenye via vya uzazi
— Kuvimba kwa maziwa
— Utakaji mwingi wa damu wakati wa hedhi
— Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
— Kupoteza kumbukumbu na uzito wa kufikiria
UTAWALA WA ESTROGEN (Estrogen Dominance)
Hali hii hutokea pale mwili unaposhindwa kutengeneza homoni ya progesterone ya kutosha kuweza kuleta uwiano na estrogen. Dalili zake:
— Premenstrual syndrome (Hali inayomkumba mwanamke wiki moja hadi mbili kabla ya kuona siku zake k**a uchovu, miwasho sehemu za siri, vipele vyekundu au vyeusi hasa usoni, pamoja na mabadiliko ya mood)
— Kutoka kwa mimba
— Kuongezeka uzito ghafla
— Wasiwasi (Anxiety)
— Kukosa usingizi.
17/02/2022
Mungu akupe tabasamu mwaka huu... Amen 🙏.............pia nawakumbusha k**a unataka mwaka muda Wa kubeba mimba ni mwezi huu na ujao tu... Ikiwezeka mchakato uanze haraka iwezekanavyo k**a lengo ni mwaka huu kweli
15/02/2022
*HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*
:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.
*VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
👉Utoaji wa mimba
👉Uwepo wa sumu mwilini.
👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
👉uzito mkubwa
👉Msongo wa mawazo.
👉Kutofanya mazoezi.
👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
👉Kukoma kwa hedhi.
*Dalili za kuvurugika kwa homoni*
👉Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
👉Kutoshika mimba.
👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
👉Kuongezeka uzito.
👉Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
👉Kupoteza kumbukumbu.
👉Hasira za Mara kwa Mara.
👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
👉Uke kuwa mkavu.
👉kutoka jasho jingi usiku.
👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.
*Madhara ya kuvurugika kwa homoni*
👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
👉Kuwa mgumba.
👉U.t.I Mara kwa Mara.
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
👉saratani.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwenge
Dar Es Salaam
16103