official dr Masou'd
tuna wasaidia wagonjwa mbalimbali kupitia mimea tiba asili
26/11/2022
20/11/2022
DALILI ZA MWANAUME WENYE UPUNGUFU WA TESTOSTERONE HORMONE*
1.🖇️ *KUPUNGUA UWEZO WA KUFANYA TENDO ZA NDOA.*
2.🖇️ *KUPATA UGUMU WA KUSIMAMISHA UUME*
3.🖇️ *KUPUNGUA KIASI CHA UZALIASHWAJI WA MBEGU ZA KIUME(MANII)*
4.🖇️ *KUNYONYOKA KWA NYWELE*
5.🖇️ *MWILI KUWA NA UCHOVU*
6.🖇️ *KUPUNGUA KWA UJAZO WA MISULI YA MWILI.*
7.🖇️ *KUONGEZEKA KIASI CHA MAFUTA MWILINI(Fat)*
-dalili kubwa ni pale Mwanaume anapoonekana kuwa na Matiti Makubwa *(gynecomastia)*.
8.🖇️ *MIFUPA KUWA MYEPESI(Osteoporosis)*
9.🖇️ *KUKOSA RAHA YA AKILI
10.🖇️ *KUPOTEZA KUMBUKUMBU.*
11.🖇️ *KUPUNGUA KWA SIZE YA UUME NA KORODANI*
12.🖇️ *KUPUNGUA KWA WINGI WA DAMU.*
Mfumo wako wa uzazi ukiwa haufanyi kazi vizuri, utapata madhara yafuatayo:⤵
▶Dharau
▶Kushindwa kumridhisha mwanamke. Hili tatizo linampelekea kutoka nje ya ndoa na baadae kuachika
▶Kushindwa kupata mtoto
▶Kushindwa kupata ladha kamili la tendo la ndoa
▶Kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa
▶Uume kusimama kwa ulegevu
▶Fujo kila kukicha. Shida hamzitatuwi k**a watu wazima, na mara nyingi hamuelewani hata kidogo.
▶Kutoka nje ya ndoa (jinsia zote).
- Ndoa kusambaratika, na kurandaranda kila sehemu. Unajishushia heshima mwenyewe bila kujitambua.
▶Uume kusinyaa na kupoteza ubora na ukak**avu
KUWA MAKINI NA VITU VIFUATAVYO:
▶Uvutaji wa sigara, na utumiaji wa dawa za kulevya
▶Pombe (aina yeyote).
▶Masturbation (Kujichua/kupiga punyeto)
▶Kula vyakula vyenye kuharibu mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System).
▶Uzito mkubwa/ kitambi
▶Tatizo la Kutokupata choo vizuri (Constipation)
▶Tatizo la Tezi dume
▶Matatizo ya moyo
▶Kisukari (Diabetes)
▶Stress(Msongo wa mawazo)
▶Pressure
▶Cholesterol
▶Hormonal imbalance
▶Kukaa kwa muda mrefu
▶ Bawasiri(Kuota kinyama sehemu ya haja kubwa )
▶️ngiri/hernia
Msaada (+255743549126)(whatsapp/call)
20/11/2022
KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI/ACID REFLUX (GERD) wengi katika watu husumbuliwa na changamoto hii Zifuatilie dalili zifuatazo ⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.
Kwa msaada zaidi ( 0743549126 / call/ whatsapp)
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Pangani Street Dar Es Salaam
Dar Es Salaam