doctaizacktz

doctaizacktz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from doctaizacktz, Health/Beauty, ilala, Dar es Salaam.

24/09/2024

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.▶️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.▶️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.▶️Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.▶️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.▶️Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6.▶️Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.

7.▶️Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.

8.▶️Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.▶️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.▶️ Kupata kikokozi kisichoisha

11.▶️Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.▶️Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.▶️Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki

14.▶️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.▶️Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.

16.▶️Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.

17.▶️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

18.▶️Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

19.▶️Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

20.▶️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.

21.▶️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.

22.▶️Kichefuchefu na kutapika.

Wasiliana nasi kwa msaada wa haraka +255749898518

20/09/2021

K**A WEWE UNACHANGAMOTO YA MIWASHO SEHEMU YA HAJA KUBWA,
KUOTA KINYAMA
AU KUTOKA DAMU WAKATI WA HAJA KUBWA *(BAWASIRI)* KWA MDA MREFU BILA SULUHISHO SIKILIZA VIZURI.

▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.

▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.

▶️Asilimia 92% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.

▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.

🚫Hakikisha unabofya link pale profile yetu, Uingie whtspp yetu kwa maelezo zaidi tafadhali. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala
Dar Es Salaam
12345