doctaizacktz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from doctaizacktz, Health/Beauty, ilala, Dar es Salaam.
24/09/2024
*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.▶️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.▶️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.▶️Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.▶️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.▶️Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.▶️Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.▶️Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.▶️Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.▶️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.▶️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.▶️Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.▶️Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.▶️Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.▶️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.▶️Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.▶️Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.▶️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.▶️Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.▶️Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.▶️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.▶️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.▶️Kichefuchefu na kutapika.
Wasiliana nasi kwa msaada wa haraka +255749898518
20/09/2021
K**A WEWE UNACHANGAMOTO YA MIWASHO SEHEMU YA HAJA KUBWA,
KUOTA KINYAMA
AU KUTOKA DAMU WAKATI WA HAJA KUBWA *(BAWASIRI)* KWA MDA MREFU BILA SULUHISHO SIKILIZA VIZURI.
▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.
▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.
▶️Asilimia 92% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.
▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.
🚫Hakikisha unabofya link pale profile yetu, Uingie whtspp yetu kwa maelezo zaidi tafadhali. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam
12345