Afya yako

Afya yako

Share

Jari afya yako,

16/09/2021

*DALILI ZA KUKOSA CHOO AU HAJA KUBWA*

Kinyesi kuwa kigumu, kikavu na sio cha mara kwa mara
Mchafuko wa tumbo na kuja gesi ama vichomi visivyo isha
Mwili kuishiwa nguvu kua na uchovu sugu
Kichwa kugonga
Kukosa hamu ya kula
Maumivu ya kiuno.

*MADHARA YA KUKOSA CHOO*
Kuota nyamanya sehemu za njia ya haja kubwa, yaani bawasiri(haemorrhoid).
Kukosa hamu ya kula
Ini na figo kushindwa kufanya kazi vizuri
Mishipa ya damu kukak**aa au kuwa migumu na kusababisha matatizo ya moyo.
Saratani ya utumbo mpana
Kua na sumu mwilini pamoja na kuharibika kwa ngozi k**a kua na chunusi zisizoisha
Kutokwa na jasho lenye harufu mbaya sana.

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
Maumivu makali nyakati hujapata chakula - Kutapika Mara kwa Mara
- Uchovu wa mwili
- Kukosa hamu ya chakula
- Kupungua uzito
- Mwili kukosa nguvu - Tumbo kujaa gesi
- Kutapika damu
- Magonjwa ya Ngozi
- Chronic Constipation au kukosa haja kubwa

*DALILI ZA BAWASIRI*
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

*KWA USHAURI ZAIDI WASILIANA NAMI*

12/09/2021

*DALILI 10 ZA UPUNGUFU WANGUVU ZA KIUME,,*

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

👉uume mfupi yaani kibamia inaongeza saiz ya uume uitakayo yaani unene na urefu usiopungua nchi 9 adi 12.

K**A UMEKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A YOYOTE KATI YA HIZO AU ZOTE USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda whatsapp namba +255789258668 au piga simu usaidiwe mapema

Photos from Afya yako's post 23/07/2021

*UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU??* 👇👇
Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una dalili za kua na fangasi ukeni k**a zifuatazo;

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizi tunayo tiba inaitwa FEMICARE kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu eneo la siri.

Kwa msaada wa hitaji lako kuhusu tiba hii tupigiee,,

*"AFYA YAKO NI MTAJI WAKO, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA*

Photos from Afya yako's post 22/07/2021

🛑 *UJUE UGONJWA WA P.I.D*

Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

*_PID husababishwa na nini?_*

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

*Je mwanamke huambukizwaje PID?*

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

âś…Kufanya ngono isiyo salama.

âś…Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

âś…Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

âś…Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

âś…Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

*Dalili za PID ni zipi?*

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni :-

âś…Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu

âś…Kupata maumivu ya mgongo.

âś…Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.

âś…Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.

âś…Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

âś…Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.

âś…Kupata homa.

âś…Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na
Pia kutapika.

⏩Ugonjwa huu wa Pelvic Inflammatory Diseases *P.I.D* unakuwa kwa Kasi kubwa na baadhi ya wanawake hupata madhara makubwa baadae hususani Ugumba kutokana na kupuuzia matibabu. Ikiwa unaona dalili tajwa hapo juu jitahidi kuanza matibabu taratibu kabla haujapata madhara ambayo yanaweza kugharimu Maisha yako kwa ujumla.
#+255789258669 #

24/06/2021

Msambazaji

24/06/2021

Bado unasumbuliwa na UTI sugu,fangasi?

Photos from Afya yako's post 22/05/2021

International Tea Day May 21
The origins of tea stretch back more than 5 000 years, but its contributions to health, culture and socioeconomic development are still as relevant today.
International Tea Day is an opportunity to celebrate the cultural heritage, health benefits and economic importance of tea, while working to make its production sustainable “from field to cup” ensuring its benefits for people, cultures and the environment continue for generations.
BF Suma Pressure Free Tea(Relivin Tea) and GymEase Tea prevent you from Cardiovascular and cerebrovascular diseases.

07/05/2021

Habari za muda, je unautumiaje muda wako ziada, njoo kwenye mafunzo yatakoyo kupa fulsa ya kuanza biashara kubwa kwa mtaji mdogo utamiliki biashara kuubwa karibu upate mafunzo na uone K**a itakufaa sawa na K**a haito kufaa sawa.

Photos from Afya yako's post 15/02/2021

**UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI)
*
UGONJWA WA PID NI NINI??
~ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya uzazi wa mwanamke ambapo huhusisha maambukizi katika shingo ya kizazi (CERVICITIS),nyama katika mfuko wa uzazi (ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi (SALPINGITIS)

VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa wa PID hivyo nilivyotaja ndio vinaongoza Kwa umaarufu kusababisha ugonjwa wa PID
~pamoja na vimelea hao kuwa chanzo kikuu cha ugonjwa wa PID zipo njia KADHAA HATARISHI KUSABABISHA MAAMBUKIZI HAYA NAZO NI Ă·

*kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi(IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango
*Kufanya ngono isiyo salama
*Maambukizi ya njia za uzazi mara baada ya kujifungua au mimba kuharibika
*Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea wa PID
*Kupata maambukizi wakati wa kutoa mimba kwa njia isiyo salama

DALILI/VIASHIRIA VYA UGONJWA WA PID

Kuna dalili mbalimbali zinazoweza kuashiria ugonjwa huu wa PID miongoni mwa dalili hizo ni,

*Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
*Kupata maumivu wakati wa kukojoa
*Kupata homa na kuhisi kichefuchefu
*Kupata maumivu ya mgongo na kutapika
*Kutokwa na hedhi bila mpangilio
*kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kutokwa na uchafu(utoko)mweupe ukeni unaotoa harufu mbaya

NAMNA YA KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA PID
Pamoja na kuwepo kwa dawa za kutibu tatizo hili ni vyema ukajiepusha na vihatarishi vya kupata tatizo hili kwa kuzingatia yafuatayo,
*Epuka kufanya ngono isiyo salama.
*Jiwekee tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara hasa kizazi
*Usifanye mapenzi mara baada ya kujifungua au mimba kutoka mpaka utakapohakikisha shingo ya uzazi imefunga vema
*Kuwahi kuonana na daktari unapoona dalili za ugonjwa
*Kuwa msafi na kula lishe bora
TIBA YA UGONJWA HUU
Fermicare cleanser+refinerd yunzel essence+zaminaco plus dozi tatu mfululizo kwa Kila dawa
Note:
Uonapo dalili za ugonjwa huu wahi kupata matibabu kwani ugonjwa huu ni mkubwa huweza kusababisha ugumba ikiwa hautapata tiba vizuri
K**a unasumbuliwa na tatizo Hili kwa msaada zaidi 0789258669/0711940429
Barikiwa Sana

*

12/02/2021

REFINED YUNZHI ESSENCE CAPSULES.
• Enhance immunity system.
• Improve energy and vitality.
• Enhance appetite and reduce illness.
• Increases white blood cells and lymphocytes.
• Reduces chemotherapy side effects.
• Reduces pain during the episode of serious immune challenge.
• Strong cancer treatment.
• Due to polysaccharide enhances cell growth.
• Rises female libido and enhances cell growth.
• It is an anti-dysmenorrhea - cleanses and avoids painful or difficult menstruation.
• It maintains the strength and the elasticity of the skin.
• Strengthens blood vessels.
#0789258669

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00