Zack holdings

Zack holdings

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Zack holdings, Beauty, cosmetic & personal care, ilala, Dar es Salaam.

17/02/2023

Hii ni kwa kila ambaye amekuwa akitafuta suluhisho la chunusi, ambaye amekuwa akitafuta bidhaa natural, isiyo na madhara, yenye ubora na ingredients nzuri kwa ngozi na ambayo ataitumia kila siku k**a bidhaa yake ya kupaka usoni.

☘Hii ni serum ambayo inaondoa aina zote za chunusi na inafanya kazi kwa haraka ndani ya siku tano hadi wiki mbili tu chunusi zinabaki ni historia.

☘Ni nzuri kwa aina zote za ngozi zote ikiwemo oily skin, combination skin, normal skin na dry skin.

☘Huondoa zile chunusi kubwakubwa ambazo ndani zinakuwa na usaha au majimaji, hizi huwa ni bacterial acne zinasababishwa na bacteria.

☘Huondoa zile chunusi ndogondogo ambazo mara nyingi hutokea kwenye paji la uso na kidevuni, ambazo ukizikamua huwa zinatoa k**a uchafu mweupe na mara nyingine huwa hazitooi kitu, hizi huitwa closed / open comedones (Whiteheads and blackheads).

☘Huondoa vipele vidogo vidogo (Rashes) na kulainisha ngozi.

☘Haichubui wala kubadili rangi ya ngozi.

🌿Imetengenezwa na natural ingredients ambazo hazina madhara kwa ngozi k**a vile Willow bark extract salycylic acid na hydrating rose water.

📦Utaipata kwa Tshs 17,000 na k**a upo Dar es salaam utaletewa hadi ulipo delivery ni bure kabisa. K**a upo mkoani pia tunatuma kwa uaminifu sana.

📞Ili kuweka oda yako tupigie kwa namba 0718 930 852

05/08/2022
05/08/2022

Kwa matatizo ya chunusi za aina zote serum hii ni nzuri sana na inafanya kazi kwa ngozi za aina zote.

🌿Huondoa zile chunusi kubwakubwa ambazo ndani zinakuwa na usaha au majimaji, hizi huwa zinasababishwa na bacteria.

🌿Pia huondoa zile chunusi ndogondogo ambazo mara nyingi hutokea kwenye paji la uso na kidevuni, ambazo ukizikamua huwa zinatoa k**a uchafu mweupe na mara nyingine huwa hazitooi kitu, hizi huitwa closed / open comedones (Whiteheads and blackheads).

🌿Huondoa vipele vidogo vidogo (Rashes) na kulainisha ngozi.
Haichubui wala kubadili rangi ya ngozi.

☘Imetengenezwa na natural ingredients k**a vile Willow bark extract. Pia ina Aloe vera, Tea tree essential oil, rose water na ingredients nyingine nzuri kwa ngozi yako.

📦Bei yake ni Tshs 17,000 na kwa wateja wetu wa Dar es salaam wataletewa hadi walipo delivery ni bure kabisa. K**a mteja yupo mkoani pia tunatuma kwa uaminifu sana.

📞Wasiliana nasi kwa namba 0764466476 kwa whatsap au simu ya kawaida au tutumie message kwa facebook ili uweze kuletewa serum yako.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Culinary Team

Attire

Address


Ilala
Dar Es Salaam
1383