OKOA UZAZI
OKOAUZAZI02
22/04/2024
Je Unahangaika Kutafuta Ujauzito Bila Mafanikio Njoo Upate Suluhisho Wasiliana Nasi Sasa 0687544461
02/08/2023
Ni zipi sababu za utasa kwa mwanamke❓❓
Kwanza; Matatizo ya Ovulation hii ni sababu ya kawaida ya utasa kwaa mwanamke na sababu zifuatazo huchangia Kwa kiasi kikubwa katika tatizo hili.
UMRI WA MWAMKE
Kibailogia inakadiriwa kuwa mwanamke mwenge umri 40 na zaidi anauwezekano mkubwa wa kutopata mimba. Lakini pia kutopata mimba zaidi ya miezi sita mpaka mwaka ikiwa unaumri wa chini ya miaka 35 inakadiriwa kuwa ni tatizo hili.
KUTOFAUTIANA KWA HORMONE
Mwanamke anahormone inaitwa estrogen ikiwa imepungua sana au kuzidi kiasi hupelekea hormone kutobalance hivyo hupelekea tatizo la kutopata mimba na utasa.
UZITO NA UNENE KUPITILIZA
Mwanamke mwenye uzito kupita kiasi ni hatarii sana kwa afya yake ya UZAZI hupelekea kutopata mimba Kwa hiyo inatakiwa usiendekeze uzito uliopitiliza.
ATHALI ZA KEMIKALI NA MIONZI
Na huenda baadhi ya watu wamechukulia kawaida sana swala la kemikali za madawa mbalimbali lakini pia hata mionzi ni hatarii sana kwa afya Yako ya UZAZI hupelekea utasa.
UVUTAJI WA SIGARA, VILEVI NA MADAWA YA KULEVYA
Miongoni mwa sababu inayopelekea tatizo la utasa ni kutokana na athari za madawa ya kulevya , UVUTAJI wa sigara na matumizi ya pombe kupitiliza.
Hivyo basi;📌📌📌
👉K**a hujapata hedhi zaidi ya miezi mitatu au either Unapata chache au unapitisha n.k chukua hatua juu ya UZAZI wako ni dalili mbaya.
👉Ikiwa umepoteza mimba mbili au zaidi moja Kwa moja unahitaji tiba ya haraka.
Ikiwa unazaidi ya miezi sita unatafuta mtoto hupati sio kawaida chukua hatua.
👉K**a umekua na matatizo ya UZAZI k**a endometriosis,upasuaji wa nyonga ,Mirija kuziba au Maambukizi yeyote.
Fanya yafuatayo 👉👉
⚠️Kutiweza kupata ujauzito ni chanzo Cha unyanyasaji bila kujali sababu za tatizo, pia hupelekea migogoro katika familia kukosa amani na furaha katika familia na Kimsingi unahitaji msaada wa haraka kwa changamoto yeyote mojawapo Kati ya hizo karibu tukusaidie Sasa usiendelee kuteseka
K**a wewe haupati ujauzito basi naomba kabla ya yote nina maswali kadhaa ya kukuliza.
Nayo ni;
●Je, mzunguko wa siku zako upo sawa, yaani haubadilikibadiliki?
●Je, ulishawahi kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango?
●Je unapata maumivu yoyote ya tumbo chini ya kitovu?
●Je unasumbuliwa na P.I.D au U.T.I?
●Je unapata maumivu ya mgongo au kiuno au nyonga?
●Je unapata maumivu ya tumbo wakati unakaribia kuingia period?
●Je, unakosa ute ute sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa?
●Je, unapata mauimvu makali wakati wa tendo la ndoa au kutokwa damu baada ya tendo?
●Je unakosa hamu ya tendo la ndoa?
●Je unatatizo la mirija ya kuziba?
● Je, una uvimbe kwenye kizazi kwakujua au kutokujua?
●Je ulishawah kutoa mimba ambayo haikutolewa katika nmna salama?
Nijibu maswali haya niweze kukusaidia kumaliza tatizo lako.
K**a jibu la moja ya maswali hapo juu ni NDIYO basi ndicho kizuizi cha wewe kupata ujauzito na nahitaji nikusaidie leo
Piga 0687544461 upate suluhisho la kudumu , tutakusimamia tutakushauri🤝
Nikwambie tu huo ni uozo🙇🙇
Bado unaendelea kuteseka na PID, FANGAS, UTI ?
23/07/2023
Furaha kubwa ipo kwenye afya k**a huamini fatilia hili utagundua kwamba Kwa namna gani Magonjwa hupoteza amani na furaha pia.. ,
👉Unapoteza ufanisi wa kazi
👉Kupungua Kwa ubora a maisha
👉Kuongezeka Kwa garama ya matibabu
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata magonjwa mengine
👉Hupelekea kifo , mtu kupoteza maisha
upo vizuri kiafya basi unanafasi ya kuendelea kujiimarisha zaidi kupitia tiba zetu
K**a tayali upo ktk changamoto flani flani muda sahihi ni leo wa kuanza matibabu, tuamini tukusaidie
Tunamshukuru Sana mungu tunaendelea kugusa maisha ya watu wengi.🤝🤝
IMANI YAKO, NDIO UZIMA WAKO🫶🫶
0687544461
22/07/2023
Hivi Kwa nini uendelee kuteseka?
Suluhisho la kudumu lipo
0687544461
20/07/2023
Tunajali na Kuthamini Afya yako
Endapo unaona dalili hizi mapema wasiliana na mtaalam wa afya hizi ni dalili za fangas
♨️Kutokwa na uchafu
♨️Kuwashwa sana kwa uke na kwenye mlango wa uke.
♨️Maumivu wakati wa kukojoa au kujamiiana
♨️Kutokwa na uchafu usio wa kawaida
♨️Kuwashwa sana kwa uke na kwenye mlango wa uke.
♨️Maumivu wakati wa kukojoa au kujamiiana
♨️Kutokwa na Majimaji ukeni
Kwa nini afya ya uzazi wa mwanamke tunasema ipewe vipaumbele ni kwa sababu dalili yeyote ya tofauti ambayo unaliona ujue ni tatizo hilo na kibaya zaidi ni kwamba changamoto moja hupelekea kutokea kwa changamoto Ingine hivyo basi chukua hatua mapema juu yaafya Yako ya uzazi.
Ni Mtaalam wa Afya
0687544461.
19/07/2023
Kupata maumivu wakati wa hedhi kabla, baada na wakati wa hedhi sio kawaida
Chukua hatua juu ya uzazi wako.
Wasiliana na Mtaalam wa afya kupata suluhisho
Mtaalam wa afya
0687544461.
18/07/2023
Hivi unajua umuhimu wa Ute wa uzazi?
Mala ya mwisho kuupata ni lini?
17/07/2023
Moja ya Madhara makubwa ambayo utayapata k**a utaendelea kukaa na PID
Kwanza, Jiandae na kansa ya shingo ya kizazi, kadri muda unavyozidi kwenda uchafu wa PID huzalisha bakteria wa cansa ya shingo ya kizazi.
K**a ujuavyo matibabu ya kansa sio marahisi na wakati mwingine hamna kabisa kulingana na maisha na garama zake ni kubwa mno mpendwa niunakufa unajiona Sasa kwa nini ufike huko❓
Mwanamke kwa nini uruhusu hali hii mpaka kufikia huko❓
⚠️Unachotakiwa kufanya ni kuanza tiba bila kuchelewa kwa sababu madhara ya pid ni makubwa mno
Komesha, tokomeza PID inawezekana kabisa
Wasiliana na Mtaalam wa afya kupata huduma ya uhakika sasa, 0687544461
13/07/2023
Usiendelee kuteseka na hayo maumivu Karibu nikusaidie👌👌
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam