Mr_Afya
jali afya yako
27/10/2021
Anza safari yako ya kupungua uzito sasa💪🏾Ondoa sumu mwilini na mafuta yasiyohitajika ili uweze kuwa na afya bora na kuruhusu mifumo mbalimbali ya mwili kufanya kazi vizuri kwa kutumia program yetu ya C9
Faida zake ni k**a ifuatavyo:
✅Kusafisha sumu mwilini(Detoxifying)
✅Kuyayusha mafuta yaliyozidi
✅Kuzuia mwili usitengeneze mafuta mabaya
✅Kupunguza na kucontrol appetite ya kula ovyo
✅Kuimarisha mwili usikonde na kudhoofika
✅Kuusaidia mwili usibaki na manyama uzembe baada ya kupungua
Start your weight loss journey now👉🏾+255659557568
26/10/2021
Kam kunadalili yeyote imekugusa apo wasiliana nami. Piga/sms/WhatsApp no 0659557568 kwa msaada
16/10/2021
Kila baada ya kumaliza, nilipatwa na hasira kwa kuwa nilipoitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.
Msongo mkubwa wa mawazo uliniandama hasa zikinijia fikra za kuachwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa nilikua simtoshelezi
Mwanzo alinivumilia lakini ilifika kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa likawa kero kubwa kwake kwani ilifikia hatua hata nikimuhitaji hataki nimsogelee kwakua alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.
Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr five seconds"
Natambua kuniita hivo alikua hafanyi utani bali alikuwa akifikisha ujumbe kuwa alidhiki.
Basi hadi ugwadu wote unakata akiniambia hivo.
Kiukweli niliteseka sana.
Kazi zikawa hazifanyiki.
Mchezo wa kupiga puli wakati nipo shule ndio uliosababisha yote haya.
Sikujua kufanya mchezo ule nilikua najiandalia madhara makubwa baadae.
Tatizi langu kubwa lilikua ni kumaliza kabla safari haijafika mwisho.
Nikiupanda tu mnazi dakika tano nyingi, Chali.
Hali ilizidi kuwa mbaya baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika mbili tu.
Nikaanza kuona dalili zote za Jiko langu kunikacha.
Sikua na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.
Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kununua mitishamba fulani ya kimasai lakini mwisho wa yote tatizo liliendelea kubaki pale pale.
Kwa kujaribu jaribu nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.
Siku moja wakati naperuzi mitandaoni nikapata kusoma makala moja toka kwa kusoma nikapata kufahamu kitu ambacho kimepata kurudisha heshima ya nyumba yangu.
Sasa hivi baada ya kumaliza uniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini humuuliza, "vipi tuendelee?"
Furaha imerejea, siku hizi eti huniita, "Shupavu wao"
Tatizo kubwa tunalopata wengi tuliopitia mchezo wa kujichua ni kulegea kwa misuli ya mtaimbo jambo ambalo husababisha kuwahi kumaliza gemu mapema wakati mwenzio ndio kwanza kipapa kimepata joto.
Katika makala ile nilipata kujua mbinu zote za kurejesha utimamu wa mtaimbo.
Ili kutatua changamoto yako inayo kukuta wasiliana na kwa kupiga simu/sms/whatsapp namba:
Follow ukurasa wetu wa Instagram kwa maelezo zaidi
+255659557568
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Victoria
Dar Es Salaam