Darala La Afya Na Mahusiano

Darala La Afya Na Mahusiano

Share

Darasa la afya ya uzazi na mahusiano kwa wanawake na wanaume

16/10/2024

NI NINI HUSABABISHA HEART FAILURE

Kushindwa kwa moyo ni hali ya maisha ambayo moyo hauwezi kusukuma damu ya kutosha kukidhi mahitaji ya mwili. Haimaanishi moyo umeacha kufanya kazi kabisa, inamaanisha umekuwa dhaifu sana na mgumu kufanya kazi yake.

AINA ZA HEART FAILURE

Kuna aina 2 kuu;
โ— Kushindwa kwa moyo kwa upande wa kushoto
โ— Kushindwa kwa moyo kwa upande wa kulia

- Kushindwa kwa moyo kwa upande wa kushoto huathiri ventrikali ya kushoto ya moyo, na inaweza kuwa kushindwa kwa moyo wa systolic au diastoli. โ€ข
- Kushindwa kwa moyo kwa upande wa kulia hutokea wakati moyo hauwezi kusukuma damu kwenye mapafu. Mara nyingi husababishwa na kushindwa kwa moyo kwa upande wa kushoto.

NINI HUSABABISHA HEART FAILURE ๐Ÿ’” - Ugonjwa wa ateri ya moyo: Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye moyo kwa sababu ya mishipa nyembamba
- Shinikizo la juu la damu: Shinikizo la damu lisilodhibitiwa hufanya moyo kufanya kazi kwa bidii zaidi
- Mshtuko wa moyo: Huharibu sehemu za misuli ya moyo, na kuathiri uwezo wake wa kusukuma damu.
- Cardiomyopathy: Ugonjwa wa misuli ya moyo, aidha maumbile au kutokana na maambukizi
- Ugonjwa wa moyo wa Valvular: Vali za moyo zilizoharibika au zenye hitilafu
- Hali sugu k**a vile kisukari, VVU na matatizo ya tezi dume
- Mimba
- Unene kupita kiasi
- Uzee.

Kwa ushauri +255 769 364 845

14/10/2024

FAHAMU BAADHI YA VITU VINAVYOWEZA KUCHANGIA MAGONJWA YA FIGO

โœ”๏ธ Ktokunywa Maji Sawa na kiwango kinachohitajika katika Mwili wako

โœ”๏ธ Magonjwa k**a Kusukari, na shinikizo la juu la Damu (High blood pressure) n.k

โœ”๏ธ Matumizi ya Pombe

โœ”๏ธ Kunywa Dawa Kupita Kiasi tofauti na maelekezo kutoka Kwa mtaalamu wa Afya (drug overdose)

โœ”๏ธ Matumizi ya Sigara, au Tumbaku pia

NAMNA SAHIHI YA KUWEZA KUJILINDA

โœ”๏ธ Kunywa Maji kila Siku angalau kuanzia liter 2-3 Kwa siku

โœ”๏ธ Tumia matunda na mboga mboga Kwa wingi

โœ”๏ธ Punguza matumizi ya chumvi nyingi kwenye chakula

โœ”๏ธ Punguza matumizi ya Pombe Kwa wingi

โœ”๏ธ Tumia Dawa kulingana na maelekezo uliopewa na mtaalamu wa Afya

โœ”๏ธ Epuka matumizi ya Sigara

18/08/2024

Hatua Rahisi Za Kupunguza UZITO Haraka Na Milele Bila Kulazimika Kujinyima Chakula

Inawezekana Umekua Ukijaribu Kutumia Mbinu Mbalimbali Kupunguza UZITO Na Kitamb...

Au Labda Ni Manyama Uzembe Ndio Kitu Kinacho Kukosesha Raha Kabisa...
Kiasi Kwamba Hata Mwili Wako Umepoteza Mvuto Kabisa...

Basi Ujumbe Huu Ni Wa Kwako...
Labda Umeshatumia Gharama Kubwa Kununua Madawa Mbalimbali...
Lakini Hujaona Mafanikio Yoyote...
Tunakuelewa Sana Jinsi Unavyo Pambana Kua Kurudisha Mwili Wako Kwenye Muonekano Wake Wa Asili...

Tumekua na Uzoefu Wa Muda Mrefu Katika Kuwasaidia Watu...
Kuondona na Uzito Na Kitambi Ndani Ya Muda Mfupi...
Na Tayari Zaidi Ya Watu 2999+ Wamenufaika na Program Hii Rahisi..

Ya Kupunguza Uzito Bila Kulazimika Kujinyima Kula..
Unaweza Kuwasiliana nasi Kwa Njia Ya WhatsApp Kwa Kugusa Link Hapo Chini

Na Tutakujibu Ndani Ya Muda Mfupi tu Ili Kukusaidia Kuanza Program...
Na Utapungua Uzito Kulingana Na Mwili Wako Pamoja Na Matokeo Unayohitaji..

Au Tupigie Moja Kwa Moja Kwa Namba

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž +255769 364 845

06/08/2024

UJUMBE MUHIMU: Kwa WANAUME Wote Ambao WANAWAHI KUMWAGA... & Mashine Zao Zinasimama KWA ULEGEVU...

Wakimaliza ROUND 1 HAWAWEZI KUENDELEA...

Na pia WANAKOSA HAMU Ya TENDO...

Fahamu SIRI Iliyowasaidia Zaidi Ya Wanaume 2,900...

Kukaa DKK 45 BILA KUMWAGA...

KUSIMAMISHA Mashine Kwa UIMARA MKUBWA Mno...

KURUDIA BAO Zaidi ya TATU...

KUUNGANISHA MABAO...

Na KURUDISHA HESHIMA ILIYOPOTEA Ndani Ya SIKU 3 Tu! (100% GUARANTEED)

BOFYA HAPA Sasa Hivi KUIFAHAMU
>> wa.me/+255769364845

KUMBUKA: SIRI Hii HAITOKUWEPO mtandaoni muda wote.

CHUKUA HATUA Sasa hivi KABLA haijaondoloewa mtandaoni.

Uwe na wakati mzuri ๐Ÿ˜Š

23/01/2024

4. Inaerekebisha sukari mwilini.
Wale ambao wanakabiliwa na ugonjwa wa kisukari, vitunguu saumu ni msaada mkubwa sana kwao. Vitunguu saumu husaidia kurekebisha viwango vya sukari ndani ya damu.Ina maana kwa wewe ambae huna tatizo la sukari husaidia mwili kupambana wenyewe ili usipate hilo tatizo kwani sukari huchochea upungufu wa nguvu za kiume .

5.Inapambana na UTI na inaboresha afya ya figo.

Juice safi ya vitunguu saumu ina uwezo wa kupunguza ukuaji wa bakteria wa E. Coli ambao husababisha maambukizo ya njia ya mkojo (UTI). Pia husaidia kuzuia maambukizi ya figo. Vitunguu saumu hupunguza maambukizo kwenye vidonda, kukuza ukuaji wa nywele, afya ya mfupa na afya ya ini. Ili kuleta matokeo mazuri ni vizuri zaidi kitunguu saumu kitumiwe kikiwa kibichi.

6.Inazuia saratani na vidonda vya tumbo.

Kwa sababu ya kiwango kikubwa cha vioksidishaji, vitunguu saumu hulinda mwili dhidi ya shida za mapafu, kibofu cha mkojo, tumbo, ini na saratani ya utumbo mpana. Kuwemo kwa antibacterial ndani ya kitunguu saumu huzuia vidonda vya tumbo.

Vile vile Vitunguu saumu vina uwezo wa kuzuia kikohozi na maambukizo ya mafua.

:
Umekuwa na changamoto ya afya ya uzazi kuwahi kufika,dhakari kulegea ,kukosa hamu ya tendo ,tuwasiliane 0715 336 438

23/01/2024

Ni muhimu kwa wanaume kuelewa kwamba nguvu za kweli za kiume haziwezi kupatikana kwa kutumia dawa za kemikali au njia nyingine za nje. Badala yake, inatokana na vyakula vya kila siku tunavyotumia.

Kitunguu swaumu
Kitunguu saumu, kinachojulikana kwa maudhui yake ya allicin, ni ya manufaa kwa kusaidia mzunguko wa damu wenye afya katika viungo vya uzazi. Hii ni muhimu sana kwa kudumisha stamina wakati wa kushiriki tendo , kwani mtiririko mzuri wa damu kwenye uume ni muhimu. Kitunguu saumu kina viambata mbalimbali vyenye uwezo wa kipekee, vikiwemo vile vinavyosaidia katika kutanuka kwa mishipa ya damu (inayojulikana k**a vasodilation) kwa kubadilisha polisulfidi kuwa sulfidi hidrojeni katika chembe nyekundu za damu. Sifa hizi hufanya kitunguu saumu๐Ÿง„ kuwa kiungo chenye nguvu na manufaa kwa afya kwa ujumla.

NAMNA YA KUBORESHA KITUNGUU SWAUMU KWAAJILI YA AFYA YAKO YA UZAZI.

1.Afya ya moyo:-

Allicin, kompaundi inayopatikana kwenye kitunguu saumu inazuia vioksidishaji vya LDL (cholesterol mbaya). Hii hupunguza kiwango cha cholesterol na inaboresha afya ya moyo. Matumizi ya vitunguu saumu mara kwa mara hupunguza matukio ya kuganda kwa damu na kwa hivyo husaidia kuzuia thromboembolism. Vitunguu saumu pia hupunguza shinikizo la damu hivyo ni nzuri kwa wagonjwa walio na shinikizo la damu. Soma zaidi juu ya jinsi ya shinikizo la damu linavyoathiri nguvu za kiume .

2.Huboresha afya ya Utumbo.
Hutibu shida za mmeng'enyo wa chakula. Ina faida kubwa kwa utumbo mkubwa na utumbo mdogo na hupunguza kuvimba. Ulaji wa vitunguu saumu husaidia kuondoa minyoo tumboni. Jambo zuri ni kwamba huua bakteria wabaya na hulinda bakteria wazuri kwenye utumbo.

3.Huongeza kinga ya mwili:-
Vitunguu saumu huongeza kinga ya mwili na huzuia uharibifu wa DNA. Zinc iliyo ndani ya vitunguu saumu hukuza kinga mwili. Vitamini C husaidia kupambana na maambukizo. Ina faida sana dhidi ya maambukizo ya macho na sikio kwa sababu ina antimicrobial.

ITAENDELEA .......

23/01/2024

Fahamu kwamba, Wanawake hawawezi kufika kileleni kirahisi k**a wafikavyo wanaume. Hivyo unahitaji kumpa muda zaidi mwanamke ili nae afike kileleni.

Nimekuandalia njia zitakazosaidia kumfanya mwanamke wako kufika kileleni .๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ

1.TENGENEZA MAZINGIRA

Ili kumfanya mwanamke afike kileleni mtengenezee mazingira ya msisimko. Wanawake hawasisimkwi na msisimko wa mwili tu, wanasisimkwa kiakili na kimwili ; viwili hivyo lazima viende pamoja. Hivyo, unatakiwa pia umsisimue kifikra.

Weka mazingira na hali inayovutia kimapenzi. Kitanda kizuri, godoro zuri na sehemu tulivu na yenye hali inayovutia kimapenzi humfanya ajisikie kupendwa na kutamani alale na wewe, hata wewe mwenyewe utajisikia starehe.

2.MCHEZEE
Ili kumfanya mke wako afike kileleni, k**a tulivobainisha hapo juu, unatakiwa umsisimue zaidi na zaidi. Hakika bila kumsisimua hafiki kileleni mapema . Wanawake wanahitaji kuchezewa muda mrefu kuliko wanaume.

Fahamu jinsi ya kumshika na fahamu sehemu sahihi zinazompa ashki ashki maana wanawake hutofautiana. Ukiona anapenda unachofanya, endelea zaidi na uwe unamuuliza au kuwe na mawasiliano.

3.MUDA.
Ni muhimu kwamba ujue ni muda gani yuko tayari kufika kileleni. Usimharakishee Bro Muache afurahie jinsi unavyomshika na kumbusu. Muda ukifika utajua tu kuwa sasa yuko tayari. Naam!โ€ฆโ€ฆni muda mwafaka wa kuicheza ile game .
:
Umekuwa na changamoto ya afya ya uzazi kuwahi kufika ,dhakari kulegea,kukosa hamu ya tendo ,tuwasiliane 0715 336 438

23/01/2024

.
๐Ÿ“คUCHUNGUZI HUFANYIKAJE ?
Uchunguzi hufanyika kutegemeana na hali ya ugonjwa .
Vipimo k**a vile CT scan hufanyika , k**a unapata tatizo la stroke , hii humsaidia daktari kuangalia ubongo wako na kujua k**a kuna damu ilovujia kwenye ubongo kuziba kwa mishipa n.k
Daktari pia atakuuliza maswali k**a vile :
๐Ÿง Ni kwa mjda gani umekua na ganzi
๐Ÿง Ni dalili zipi zingine unapata ?
๐Ÿง Ni lini kwa mara ya kwanza uligundua hili tatizo
๐Ÿง Ni wakati gani unapata ganzi zaidi ?
๐Ÿง Ni nini au wakati gani unapata unafuu
Daktari atafanya ukaguzi kwenye miguu yako kugundua k**a ni miguu yote ina shida , maeneo yapi hasa na kwa kiwango gani unapata mguso
Vipimo vingine vya zaidi ni k**a vile electromyography.
๐Ÿ“ค TIBA INAKUWAJE ?
Tatizo hili litaharibu sana uwezo wako wa kuumudu mwili unaposimama , yani balance . Kwahiyo swala la kuanguka hutokea sana
Mazoezi ya viungo , ni moja ya zoezi muhimu sana kumsaidia mtu wa namna hii
Ikiwa utaendelea kuwa na ganzi , basi ni hatari sana maana huwezi jua chochote hata k**a umekatwa , kuungua au umeng'twa na mdudu , kiufupi hata mguu uungue hutajua hadi ushtuke utakuta ushaungua vibaya sana
Tiba hasa ya tatizo hili , ni kutibu kwanza kisababishi cha shida hii ya ganzi . Mfano , itakupasa utibiwe kisukari ikiwa ndio sababu ya miguu yako kufa ganzi. Na k**a ni sababu nyingine basi unatakiwa upate suluhisho la kisababishi
๐Ÿ“œ Zingatia mambo k**a vile , kukagua miguu yako mara kwa mara na kuvaa viatu ambavyo hufunika vizuri miguu yako na viwe viatu imara ili kukukinga na ajali miguu isiumie maana hutojua hadi uone

MWISHO NA ASANTENI

23/01/2024

๐Œ๐ˆ๐†๐”๐” ๐Š๐”๐…๐€ ๐†๐€๐๐™๐ˆ ๐๐€ ๐Š๐”๐–๐€๐Š๐€ ๐Œ๐Ž๐“๐Ž ( ๐’๐š๐›๐š๐›๐ฎ ,๐”๐ฌ๐ก๐š๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐š ๐“๐ข๐›๐š)
SEHEMU YA 1

Mara nyingi unapokua na ganzi , basi ni vigumu sana kupata hisia za mguso (Loss of sensation)
Ganzi kwenye miguu yako huweza kuwa tatizo la muda mfupi au la muda mrefu kutokana na magonjwa sugu k**a vile kisukari.
Utaanza taratibu kupoteza hisia kwenye vidole na baadae hali hii huongezeka na kuwa mbaya zaidi. Kutafuta ushauri kwa daktari kutasaidia sana kupunguza kasi ya tatizo hili na msaada zaidi

๐Ÿ“ค DALILI ZA MIGUU KUFA GANZI NI ZIPI ?

Dalili kubwa zaidi ya kufa ganzi ni ile hali ya kutohisi mguso
Hili litaathiri swala zima la hisia za mguso na hata balance yako ya mwili , maana hautahisi eneo unaposimama dhidi ya ardhi ( footโ€™s position against the ground ) Unajua unaposimama unakua unamudu hiyo hali ya kusimama kwasababu unapata hisia za mguso kwamba umesimama na miguu yako imekanyaga ardhi.
Sasa ukiwa na ganzi usishangae ukaona unaanguka mara kwa mara ni kwasababu unakosa balance

Dalili zingine ni k**a vile :

Kupata hisia za k**a vile unachomwa na sindano
๐Ÿ•Š Miguu kukosa nguvu
๐Ÿ•Š Wakati mwingine muhusika atahisi vidole vyake na miguu inakua ya baridi sana

NINI HUSABABISHA GANZI KATIKA MIGUU?
Kwanza uelewe mwili wako una mishipa ya fahamu mingi sana , kuanzia kwenye vidole vyako vya miguu hadi kwenye ubongo na hurudi tena hadi kwenye vidole tena , kiufupi una mishipa ya fahamu mingi sana

K**a kuna shida yoyote kwenye mshipa wa fahamu mfano mshipa umeziba, pameumia, maambukizi ya vijidudu, au kubanwa kwa mshipa wa fahamu basi utapata ganzi kwenye mguu wako

BAADHI YA MAGONJWA /MATATIZO YANAYOWEZA KUPELEKEA UKAPATA GANZI KWENYE MIGUU NI K**A VILE :

๐Ÿ’ฆ Matumizi ya mara kwa mara ya pombe
๐Ÿ’ฆ Kisukari

๐Ÿ’ฆ Frostbite (Kupooza - ngozi na tishu za jirani hasa vidoleni)

Magonjwa katika mishipa ya damu
Mkanda wa jeshiMadhara baada kutumia madawa fulani kwa muda mrefu
Shida katika Spinal cord
Magonjwa katika moyo

16/01/2024

KWA NINI UNAPATA UTI SUGU

mgonjwa wa UTI

Maambukizi kwenye njia ya mkojo (UTI)ni maambukizi yanayoshika nafasi ya pili kuupata mwili mara nyingi zaidi. Wengi wameazna kuwa na UTI sugu kutokana na kuugua mara kwa mara. Maambukizi haya hufanya mtu kukosa raha na kwa baadhi ya watu hasa wanawake ni tatizo la kiafya linalojirudiarudia mara nyingi.

Kwa bahati mbaya ni kwamba tiba iliyozoeleka kwa UTI ni kutumia antibiotics ambapo bacteria wanaosababisha UTI wanaoitwa E.coli wameanza kuwa sugu dhidi ya hizi antibiotics. Na hivo kupelekea wagonjwa wengie kupata UTI sugu. Kwa upande mwingine kuna tiba asili ambazo unaweza kujitibu ukiwa nyumbani na ukapona ugonjwa huu pasipo kutumia vidonge vya antibiotics

UTI sugu Ni Kitu Gani?

UTI ni kifupi cha maneno urinary tract infection yaani maambukizi kwenye njia ya mkojo. Urinary tract infection ni mkusanyiko wa maambukizi eidha ya fangasi, virusi au bacteria ambayo yanatokewa kwenye njia ya mkojo ya mwanamke na mwanaume.

Tunaposema njia ya mkojo tunaongelea figo zote mbili, mirija inayotoa mkojo kutoka kwenye figo hadi kwenye kibofu cha mkojo huitwa ureter, kibofu chenyewe,na mrija wa kutoa mkojo nje kutoka kwenye kibofu.

Figo na Uzalishaji wa Mkojo

Kazi ya figo ni kuchuja maji yaliyopokwenye damu na kutoa maji yaliyozidi na takamwili. Baada ya hapo mkojo huifadhiwa kwenye kibofu na baadae kutolewa nje kupitia mrija wa urethra ambayo una misuli ya sphincter iliyopo kwenye uke na uume.

Bacteria wanaopatikana kwenye kinyesi ndio kwa kiasi kikubwa husababisha UTI. Bacteria hawa wanapoingia kwenye njia ya mkojo mwili kwa kutumia kinga yake huweza kuwadhibiti. Lakini inaposhindikana ndipo bakteria hawa husababisha madhara.

Kitendo cha kukukojoa mara kwa mara husaidia kusafisha bacteria waliojishikiza kwenye njia ya mkojo. Na pia tezi dume hutoa majimaji kwa mwanaume ambayo huzuia ukuaji wa bacteria wabaya. Japo kuna kinga kubwa ya mwili dhidi ya UTI lakini bado kuna hatari ya kuugua ugonjwa huu ndio maana tunatakiwa kuwa

15/01/2024

HEBU NIKWAMBIE......

usipo mfikisha anapotakiwa kufika
hasira,kununa,majibu yasiyo mazuri na dharau za chinichini huanza kujitokeza taratibu...

Ukiona hivyo usichukie au kuanza kugombezana sana UTAVUNJA MAHUSIANO YAKO BURE....

SIO KOSA LAKE HILO.
Nihali ya mwili kutopata hitaji lake la tendo la ndoa na mabadiliko ya homoni zake ndizo zinamfanya awe hivyo๐Ÿ˜”

MWANAUME jitahidi kumridhisha mwenza wako ipasavyo...

USIMTESE.
unaposhiriki nae.USIFURAHIE TENDO PEKE YAKO KWA KUWAHI FIKA KILELENI. Mfanye na mwenza wako afurahie tendo pia.

Nimekuandalia virutubisho lishe vizuri sana, ambavyo vinafanya kazi nzuri sana katika kukufanya uwe imara muda wote...

sio lazima uwe na changamoto

HATA WEWE USIE NA CHANGAMOTO, TUMIA KUBORESHA AFYA YAKO NA KUJIIMALISHA UWE IMARA ZAIDI........

๐Ÿš‰
NIPIGIE AU NITUMIE UJUMBE SAHIVI NIKUSHAURI NI PACKAGE GANI ITAKUFAA KUTOKANA NA BAJETI YAKO.

Mawasiliano:0769364845

13/01/2024

1.๐Ÿ† KUSHINDWA RUDIA TENDO BAADA YA BAO LA KWANZA.

2.๐Ÿ†KUFIKA KILELENI NIKIWA NIMECHOKA SANA NA MUDA MWINGINE KUSHINDWA KABISA KUFIKA.

3.๐Ÿ†KUTOA MBEGU CHACHE NA NYEPESI NA AMBAYO IMEPELEKEA KUSHINDWA KUMPATIA MWANAMKE UJAUZITO.

4.๐Ÿ† KUDHARAULIKA MBELE YA MWANAMKE NA KUWA NA MSONGO WA MAWAZO AMBAYO HUPELEKEA KUTO ELEWANA NA WANAWAKE NILO JALIBU KUWA NAO NA HIVYO KUWAONA WANAWAKE WOTE HAWAFAI.

๐Ÿ’ฆlakini baada ya kukutana na
Sis
sasa matatizo yote hapo juu๐Ÿ‘† yanaisha na kutengeneza mahusiano imara na so kubadili wanawake na kuwachukia.

KWAUSHAULI KARIBU
0769364845

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kahama
Dar Es Salaam
SHINYANGA