Mnali Supplements company
Health
01/01/2021
Kwakweli hakuna kitu kinakera k**a U.T.I zisizoisha yaani unatumia dawa unapona wiki moja, wiki inayofuata inarudi tena, mpaka kila sehemu wanakukariri na kila wakikuona wanasema yule wa U.T.I kaja.
Leo nimekuandalia somo rahisi sana la jinsi ya kuondokana na tatizo hilo kwa kutumia mmea wa mchaichai tu!
Andaa majani ya mchaichai ya kujaa kwenye glass,
Yaoshe vizuri kisha yaweke kwenye chupa ya chai iliyotupu,
Chemsha maji yawe k**a ya chai,kisha weka kwenye chupa ya chai uliyoweka mchaichai wako,kisha funika na baada ya nusu saa anza kunywa.
Unaweza kuweka tangawizi ukipenda lkn sio lazima,pia usiweke sukari kunywa hivyohivyo.
hakikisha kila siku unamaliza lita moja na kila siku tumia majani mapya.
Ukitumia kwa wiki moja tu UTI utakuwa unaisikia kwa majirani tu.
KWA WALE WANAOSUMBULIWA NA UCHAFU AU HARUFU MBAYA KWA BIBI, UVIMBE MAUMIVU, PERIOD AMBAZO HANIZA MPANGILIO, NA WASIOPATA WATOTO,KISUKARI,TB,MACHO,KIFUA,PRESHA,MWILI,MIFUPA,KANSA,N.K TUNATIBU KWA GHARAM NAFUU
nitumie ujumbe WhatsApp kwenye namba 0786201011.
21/04/2020
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam