Afya na Priscilla
Natatua changamoto za uzito mkubwa na mfumo wa uzazi.
HABARI YAKO.
*ZIJUE FAIDA ZA UYOGA MWEKUNDU*
Hiki ni
kirutubisho lishe chenye faida nyingi sana kwa afya zetu za mwili ,
Tafiti nyingi zimefanyika na
Vyuo k**a vya Marekani, vya Uingereza ,Japan , China n.k
Vimeketa Tafiti na shuhuda tele , hizi zifuatazo ni baadhi tu ,
UYOGA MWEKUNDU UNATIBU MAGONJWA ZAIDI YA 60 yawe Sugu , kuambukizwa au kutokuambukizwa.
Oda Sasa
*Soma kwa utulivu FAIDA ZA KUTUMIA UYOGA MWEKUNDU Rafiki yangu*.
1️⃣ni 100% asili haina kemikali na rahisi kuyeyushika ,pia inafyonzeka mwilini asilimia 99%
2️⃣Inapandisha Kinga kwa haraka sana , nzuri kwa wagonjwa wote pamoja wale wenye VVU inapandisha CD4
3️⃣Inaupa mwili kuwa imara kujitibu na magonjwa nasio kutegemea madawa kemikali,
4️⃣Inasaidia kuondoa madhara ya Mionzi (chemotherapy)
5️⃣Inaongeza hamu ya kula chakula na tendo
6️⃣ni nzuri kwa mwenye kutaka kuboresha afya ya mzunguko wa damu, moyo na ubongo yani "Cardiovascular System"
7️⃣Inazuia Changamoto za magonjwa ya Moyo n.k,
8️⃣Inatibu mishipa ya fahamu iliyopata Changamoto,
9️⃣Inasaidia mfumo wa upumuaji na changamoto zake k**a ugonjwa wa pumu ,n.k
🔟Inasaida mfumo wa ngozi na kuondoa athari za ngozi
1️⃣1️⃣Inasaida na kulinda utendaji kazi wa figo zako zifanye kazi vizuri,
1️⃣2️⃣Ni imara kushindana na Virusi ,fungus na bacteria ,
Nb:- ilitoa msaada mkubwa sana kwenye mlipuko wa janga la dunia la Covid 19 mnamo 2020
1️⃣3️⃣inaondoa uchofu na kurejesha Uchangamfu wa mwili
1️⃣4️⃣Inapandisha CD4 katika damu kusaidia wenye HIV VVU,
1️⃣5️⃣Inasaidia kupambana na madhara na athari za kisukari hadi mgonjwa kuziepuka
1️⃣6️⃣Inasaidia damu iliyoganda kiyeyuka
1️⃣7️⃣Inaondoa sumu mwilini ,ikitoa suluhisho kwa INI
1️⃣8️⃣ni tiba ya magonjwa ya ini k**a hepatitis, fatty liver na ini lilioungua
1️⃣9️⃣Inasaidia kukarabati watu wenye changamoto za Upungufu wa damu
2️⃣0️⃣Ni nzuri sana kwa afya ya mmeng'enyo wa chakula tumboni kuboresha uchapakazi bora
*FAIDA ZIKO TELE ,SHUHUDA ZIKO TELE, SABABU UYOGA HUU UPO KWA MATUMIZI TIBA YA BINADAMU KWA MIAKA 5,000+ UNAJINA MAARUFU CHINA 🇨🇳 k**a MUSHROOM OF IMMORTALIT
Kwa ushauri na suluhisho
📞 255713999994/0788888846.
11/06/2023
*NAKUKUMBUSHA TU HAYA MAMBO YA MUHIMU KUYAFANYA IKIWA UNA UMRI WA MIAKA 40+ NA UNAPENDA KUWA NA AFYA IMARA ZINGATIA SANA*
*WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA*
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol
4. Kiwango cha Hormones
5. Tezi dume
7.Saratani
*PUNGUZA*
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi
*Tumia zaidi:*
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili K**a zaituni, samaki, N**i na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda
*VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:*
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako
*VITU VITATU MUHIMU SANA:*
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.
*MAMBO MATATU YA MSINGI:*
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako
*VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:*
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo ...
*UMEBARIKIWA.
*Mshauri wa afya Priscilla
0713999994.
25/05/2023
Najua hii changamoto wengi wanazipitia tuwasiliane nikusaidie.
25/05/2023
Afya njema ni suluhisho la maisha bora.
Leo tujikumbushe kuhusu bawasiri
Bawasiri ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa na unaweza ukawa uvimbe damu na hata muwasho pia!!!
Lakini kuna aina mbili za bawasiri
1.bawasiri ya ndani (internal hemerrhoids) ambapo hii mara nyingi huonyeshwa kwa kutoka damu kwenye njia ya haja kubwa
2.bawasiri ya nje (external hemorrhoids) ambapo hii inawe za kuoneshwa kwa kuvimba sehemu ya nje ya haja kubwa ama kutokwa na nyama kwenye njia ya haja kubwa!!
Sasa ni nini sababu ya bawasiri?
1.kupata Choo kigumu kwa muda marafu
2.kuharisha
3.kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile
4.mama mjamzito anaweza pata bawasiri
5.kutokunywa maji mengi ya kutosha
Dalili za tatizo hili la bawasiri ?
1.kutokwa nyama nje ya haja kubwa
2.uvimbe kwenye njia ya haja kubwa
3.maumivu wakati wa kukaa (yaan njia ya haja kubwa inakuwa na maumivu).
4.vipele kwenye njia ya haja kubwa
5.miwasho kwenye njia ya haja kubwa
Unewezaje jiepusha?
1.kunywa maji mengi kuanzia Lita na kuendelea kwa siku.
2.usipuuze kupata haja kubwa.
3.epuka kukaa muda mrefu chooni.
4.kutumia vyakula vyenye fiber k**a vile maparachichi mapapai n.k yaan vyakula vyenye kamba kamba.
Kwa Elimu zaidi nitafute Basi kwa .*,0713999994
28/02/2023
16/01/2023
29/07/2022
Karabati. Mwili wako kwa kutumia NMN coffee
*SUMA FIT KIT*
Pata Package Full ya Kupunguza Uzito na kuweka afya yako katika hali ya ubora na rejesha mvuto wako wa asilia.
*FAIDA ZAKE*
1. Inaondoa sumu mwilini
2. Inaondoa Gesi mwilini (tumboni)
3. Inaondoa Acid Mwilini
4. Inaondoa Mafuta MABAYA mwilini
5. Inaondoa Kiungulia
6. Inatibu madonda ya Tumbo
7.Inaondoa bacteria Wabaya Tumboni na kusaidia kukua kwa bacteria wazuri kwa ajili ya mmeng'enyo wa chakula
8. Huongeza Probiotics
9. Husaidia Kupunguza Mwili, kuondoa kabisa Vitambi, Manyama uzembe
10. Kuondoa Makunyanzi kwenye ngozi na Mazimoro
11. Husafisha Figo na INI
12. Husaidia wenye matatizo ya choo kigumu
¶ HAIHITAJI DIETY
¶ HAIHITAJI MAZOEZI
¶ HAISABABISHI MATATIZO YA KUHARA
¶ HAINA MADHARA KIAFYA
¶ NI YA ASILIA
¶ IMETHIBITISHWA NA MAMLAKA ZA AFYA NA UBORA WA BIDHAA TANZANIA NA DUNIANI
TFDA, CGMP, HALLAL.
*MATOKEO MAZURI BAADA YA SIKU 30 ZA KWANZA.*
*WhatsApp au Piga simu 0713999994
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam