Afya msingi wangu

Afya msingi wangu

Share

karibun tujifunze aina mbalimbali za magonjwa na tiba(dawa)katika ukurasa huu wa" Afya msingi wangu"

11/05/2026
11/05/2026

Kuna aina nyingi ya changamoto zinazo sababisha maumivu upande wa kushoto....je ww ni muhanga wa changamoto hiii

11/05/2026

👇👇👇

15/07/2024

Changamo zinazopatika kwenye mfumo mzima wa chakula k**a

Kiungulia ni nini?
Kiungulia ni hisia inayowaka kwenye kifua ambayo inaweza kusambaza koo na shingo. Inaweza kuonyesha hali mbalimbali za afya, ikiwa ni pamoja na

Ugonjwa wa reflux ya gastroesophageal (GERD)
Reflux ya asidi, au
Mimba.
Inahisi k**a kuungua sana nyuma ya mfupa wako wa kifua, katikati kabisa ya kifua chako. Muda wa kiungulia unaweza kuanzia dakika chache hadi saa chache

19/02/2024

Pona bawasili kwa siku chache bila kujirudia rudia

19/02/2024

K**a wewe ni muhanga wa tatizo hili na umefanyiwa upasuaji na ikarud au umetumia dawa lkn pia baada ya muda tatizo liko pale ple

Usisiste kuwasiliana nasi simu no 0747-797007

16/02/2024

JE,,wajua sababu za Maumivu upande wa kushoto....

Dalili za Maumivu ya Tumbo upande wa kushoto, Sababu na Matibabu
Maumivu ya tumbo upande wa kushoto mara nyingi husababishwa na gesi, lakini wakati mwingine inaweza pia kuwa matokeo ya hali mbaya zaidi k**a vile diverticulitis, appendicitis, Au vidonda vya tumbo, ambayo yanahitaji matibabu ya haraka. Kuna dalili nyingine nyingi ambazo zitasaidia kutofautisha kati ya maumivu ya kawaida ya gesi na kitu kikubwa ambapo unapaswa kutafuta huduma ya dharura.

Sababu zingine za maumivu ya tumbo upande wa kushoto
Ikiwa sio kwa sababu ya gesi, hapa kuna sababu kadhaa za maumivu ya tumbo upande wa kushoto -

Appendicitis
Ingawa maumivu ya appendicitis kwa kawaida husikika upande wa kulia wa mwili, maumivu ya awali mara nyingi huanza karibu na kitovu cha tumbo na yanaweza kutafsiriwa vibaya kuwa yanatoka upande wa kushoto.

Diverticulosis
Ni kuvimba kwa mifuko ya diverticula kwenye utumbo mkubwa na ni mojawapo ya sababu za kawaida za maumivu upande wa kushoto.

Mawe kwenye figo
Mawe ya figo, pia inajulikana k**a nephrolithiasis, ni amana za kalsiamu au uric acid ambazo hujilimbikiza kwenye figo.

Constipation
Constipation ni sababu nyingine ya maumivu ya tumbo upande wa kushoto wa mwili

28/09/2023

MAUMIVU YA TUMBO KWA CHINI UPANDE WA KULIA

Sehemu ya tumbo kwa chini upande wa kulia ndipo ambapo baadhi ya viungo kupatikana k**a utumbo mkubwa, appendix, na kwa baadhi ya wanawake ni ovari hupatikana maeneo haya.katika hali za kawaid maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia huwa yanaondoka yenyewe ndni ya siku mbili ama tatu. Ila kwa baadhi ya nyakati k**a yanahusiana na shida za afya zaidi matibabu ni lazima yafanyike.

Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

1.Ugonjwa wa Appendix:
Appendix ni sehemu ndigo ambapo utumbo mkubwa hukutana na utumbo mdogo. sababu kuu za maumivu ya tumbo kwa chini upande maumivu appendix hufungama na na dalili zifuatazo:-
1.Kichefuchefu
2.Kutapika
3.Homa
4.Kuharisha
5.Kukosa hamu ya kula
6.Kujaa kwa tumbo
7.Kukosa hamu ya kula.

2.Kujaa gesi tumboni

3.kukosa choo

4.Kuwa na henia hutokea pale shehemu ya ya ndani ya tumbo inaponasa kwenye misuli nsani ya tumbo na kupelekea maumivu. Dalili za henia ni pamoja na:-
A.Kuvumba kwa sehemu husika
B.Kuongezeka kwa maumivu
C.Mamivu wakati unaponyanyua kitu, unapocheka, unapolia ama unapokohoa
D.Kuhisi tumbo kushiba, ama kukosa choo.

5.Kuwa na vijijiwe kwenye figo.
Hutokea pale vijichpe vijidogo vigumu vilivyotengenezwa kwa chumvi vikijikusanya kwenye figo. Hali hii ikitokea huleta maumivu mgongoni, chini ya mbavu na chini ya tumbo upande wa kulia.

Sababu zinazoathiri wanwake tu
1.Tumbo la hedhi
Maumivu haya yanaweza kutokea kabla na baada ya kubata hedhi. Yanaweza kutokea pande zote yaani kulia na kushoto kwa chini. Maumiv haya yana dalili k**a:
A.Maumivu endelevu
B.Maumivu ya chini mgongoni na mapajani
C.Kichefuchefu
D.Kupata kinyesi kilaini
E.Maimivu ya kichwa
F.Kizunguzungu

2.Kuota kwa tishu za tumbo la uzazi mje ya tumbo la uzazi. Kitaalamu hufahamika k**a endometriosis. Hali hii inapelekea maumivu ya tumbo kkwa chini, pia huandamana na yafuatayo:
A.Maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
B.Maumivu unapokojoa
C.Maumivu makali ya umbo la hedhi
D.Hedhi yenye damu nyingi
E.Kutokwa na matone ya damu

3.Matatizo katika ovari au ovarian cyst. Mara nyingi maumivu yanayosabavishw ana atizo hili huondaka yenyewe. Yanaweza kuonyesha dalili k**a kujaa kwa tumbo,

4.Ujauzito uliotungia nje (ectopic pregnancy). mgonjwa ataona dalili k**a kutokwa na damu ukeni, maumivu mwisho wa mabega na mwanzoni mwa mikono, maumivu wakti wa kukojoa.

5.Ugonjwa wa PID
Dalili za PID
A.Homa
B.Kutokwa na uchafu ukeni
C.Maumivu makali ya chango
D.Kuhisi k**a kuunguwa wakati wa kukojoa
E.Kutokwa na damu wakati wa hedhi

19/01/2023

Tusiache kumuomba MUNGU ulinzi kila siku,,Kuna Vita nyingi dhidi yet hatuzioni,,yeye anaziona.

BF SUMA..

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam