Eze MP biseness

Eze MP biseness

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Eze MP biseness, Health/Beauty, Songwe ileje, Dar es Salaam.

Jinsi ya Kupata Namba za Simu za Zamani Ulizopoteza 08/04/2023

Jinsi ya Kupata Namba za Simu za Zamani Ulizopoteza Jinsi ya Kupata Namba za Simu za Zamani UlizopotezaTanzaniatechApr 6, 2023Read originalK**a wewe ni mmoja wa watu ambao wamepoteza namba za simu za watu ambao hapo zamani ulikuwa na namba zao basi njia hii itakusaidia sana.Kupitia njia hii nitakuonyesha njia rahisi ambayo unaweza kutumia mtandao wa....

05/04/2023

Eze nukuu ya kila wazo

*MAKOSA 30 AMBAYO WATOTO WA ZAMANI WALIKUWA WAKILA BAKORA!!*
*WATOTO WA ZAMANI WALIISHI MAJUMBANI K**A WAKO MAFUNZO YA KIJESHI!! WAKIKUA NI FULL ADABU KUHESHIMU WATU, UTU, BUSARA NA KUJITETEGEMEA WAKIWA NA UMRI MDOGO TU*
1: Usiposalimia wakubwa asubuhi unapigwa
2: Usiposalimia wageni unapigwa
3: Ukinawa kabla ya wageni unapigwa
4: Ukilia bila sababu unapigwa
5: Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka unapigwa
6: Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni unapigwa
7: Ukikaa wakubwa wamesimama unapigwa
8: Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi unapigwa
9: Ukichelewa kurudi toka shuleni unapigwa
10. Ukiwahi kurudi shuleni unapigwa
11: Ukililia wageni wakati wanaondoka , wakitoka unapigwa
12: Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula unapigwa
13: Kujibu ovyo wakubwa unapigwa
14: Kutukana watu wazima, watoto au rika lako unapigwa
15: Ukiwa mbishi bila sababu unapigwa
16:Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze
17: Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie
18: Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa
19: Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa unapigwa
20: Ukila kwa jirani ukabainika unapigwa
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani unapigwa
22: Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa unapigwa
23. Ukimkuta mtu nzima hujampokea unapigwa
24. Ukienda kusema k**a umepigwa unapigwa.
25. Mtu mzima akipita k**a mnacheza hamjamshughulikia unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani unapigwa
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani unapigwa
28. Ukianza kuchaguwa chakula hiki nakula hiki sili unapigwa
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao unapigwa
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata k**a sio cha ukweli unapigwa
31.Ukikaa na wakubwa halafu ukaanza kucheka bila sababu unapigwa.
32.Ukimwuliza Baba/ Mama umetoka wapi unapigwa.
Endapo umepigwa na Ukasusa chakula unapigwa .
33.Ukilala bila kula unapigwa.
34.Ukiitwa ukaja

05/04/2023

*MAKOSA 30 AMBAYO WATOTO WA ZAMANI WALIKUWA WAKILA BAKORA!!*
*WATOTO WA ZAMANI WALIISHI MAJUMBANI K**A WAKO MAFUNZO YA KIJESHI!! WAKIKUA NI FULL ADABU KUHESHIMU WATU, UTU, BUSARA NA KUJITETEGEMEA WAKIWA NA UMRI MDOGO TU*
1: Usiposalimia wakubwa asubuhi unapigwa
2: Usiposalimia wageni unapigwa
3: Ukinawa kabla ya wageni unapigwa
4: Ukilia bila sababu unapigwa
5: Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka unapigwa
6: Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni unapigwa
7: Ukikaa wakubwa wamesimama unapigwa
8: Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi unapigwa
9: Ukichelewa kurudi toka shuleni unapigwa
10. Ukiwahi kurudi shuleni unapigwa
11: Ukililia wageni wakati wanaondoka , wakitoka unapigwa
12: Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula unapigwa
13: Kujibu ovyo wakubwa unapigwa
14: Kutukana watu wazima, watoto au rika lako unapigwa
15: Ukiwa mbishi bila sababu unapigwa
16:Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze
17: Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie
18: Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa
19: Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa unapigwa
20: Ukila kwa jirani ukabainika unapigwa
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani unapigwa
22: Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa unapigwa
23. Ukimkuta mtu nzima hujampokea unapigwa
24. Ukienda kusema k**a umepigwa unapigwa.
25. Mtu mzima akipita k**a mnacheza hamjamshughulikia unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani unapigwa
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani unapigwa
28. Ukianza kuchaguwa chakula hiki nakula hiki sili unapigwa
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao unapigwa
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata k**a sio cha ukweli unapigwa
31.Ukikaa na wakubwa halafu ukaanza kucheka bila sababu unapigwa.
32.Ukimwuliza Baba/ Mama umetoka wapi unapigwa.
Endapo umepigwa na Ukasusa chakula unapigwa .
33.Ukilala bila kula unapigwa.
34.Ukiitwa ukaja

26/03/2023

kufurahi ni fursa,ukipata furahi maana huzuni zinakuja piah.

26/12/2022

https://googlepesaplatform.com/page/reg.php?reg=Ezekia14 https://googlepesaplatform.com/page/reg.php?reg=Ezekia14 NIMEKUJA ONLINE SASA ROLE MODEL WENU☺️☺️KAZI IENDELEE🙌🙌🙌

Mimi Ukiniona Online Jua Nimekuja Kutengeneza Elfu 10,15,20 mpaka elfu 30 Kwa Muda Mchache Sana Ambao Huwa Naingia Online Kwa Siku.
Hakikisha Hukai Mbali na Inbox Yangu Maana Always natoaga fursa Za Kutengeneza Pesa Kwa watu wa Rika zote Ambapo Kuanzia Ni Kidogo Sana Lakin Wewe Unakuwa Na Uhakika Wa kuingiza marambili Ya Kianzio Chako Kila Siku.
K**a upo Tayari Kufunzwa Kuhusu Biashara Mtandaoni Type NIFUNZE

16/12/2022

[12-15, 21:48] Eze mp biseness: Habari za jioni unajua simu yako na bando lako linaweza kukuingizia pesa kwasiku paka shilingi 40000 jua thamani ya simu yako nifate in box nikufundishe jinsi ya kuingiza pesa kupitia simu yako
[12-15, 21:48] Eze mp biseness: NIMEKUJA ONLINE SASA ROLE MODEL WENU☺️☺️KAZI IENDELEE🙌🙌🙌

Mimi Ukiniona Online Jua Nimekuja Kutengeneza Elfu 10,15,20 mpaka elfu 30 Kwa Muda Mchache Sana Ambao Huwa Naingia Online Kwa Siku.
Hakikisha Hukai Mbali na Inbox Yangu Maana Always natoaga fursa Za Kutengeneza Pesa Kwa watu wa Rika zote Ambapo Kuanzia Ni Kidogo Sana Lakin Wewe Unakuwa Na Uhakika Wa kuingiza marambili Ya Kianzio Chako Kila Siku.
K**a upo Tayari Kufunzwa Kuhusu Biashara Mtandaoni Type NIFUNZE

14/12/2022

Eze

call.whatsapp.com

MAAJABU! Ashuhudia mbuzi wakinywa chai na andazi 23/10/2022

Mwee

MAAJABU! Ashuhudia mbuzi wakinywa chai na andazi Mch. George Mandao

23/10/2022

Together with Kondeboy and Fei toto

(Eze) BISENESS 🔑KEY ⏩LIFE 20/10/2022

Kalibu kwenye grop Lang la whatsap la biashara na mafunzo

(Eze) BISENESS 🔑KEY ⏩LIFE WhatsApp Group Invite

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Songwe Ileje
Dar Es Salaam