Irene healthsolution
karibu ujipatie bidhaa bora kabsa itakayokuponya bila aina yoyote ya operation
24/09/2021
MVURUGIKO WA HOMONI | HOMONAL IM BALANCE
MVURUGIKO WA HOMONI Ni Mvurugiko/kutobalansi kwa homoni mwilini zinazohusika na uzazi wa Mwanamke .
Dalili za Mvurugiko wa Homoni:-
• Kutokwa na Damu nyingi kwa muda mrefu
• Kukosa hedhi
• Kuingia hedhi kwa Muda mrefu kuliko kawaida
• Kushindwa kubeba ujauzito
• Hedhi kubadilika balika
• Kusikia Maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi.
Karibu upate tiba kwaajiri ya kurudisha uwiano wa homoni zako
https://wa.me/ +255657451643
*👬 KAZI ZA TEZI DUME AMBAZO ULIKUWA HUZIJUI;*
*👬"TEZI DUME (Prostate gland) ni nini ?".*
"Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra ).
1. Tezi dume hutoa majimaji ambayo huchanganyika na mbegu za kiume na kutengeneza shahawa. Asilimia 60 ya shahawa huwa ndio hayo majimaji yaliyotengenezwa na tezi dume na asilimia 40 ndio mbegu za kiume zilizotengenezwa kwenye kiwanda cha mbegu(korodani).
2.Majimaji yanayotoka kwenye tezi dume huanza kutangulia mbele kusafisha njia ya mkojo ili kuondoa asidi kwenye njia hiyo na kubakia hali ya alkaline ili mbegu za kiume zisife.hivyo inaondoa asidi na pia inazilinda zisife kuanzia kwenye njia ya mkojo ya mwanaume mpaka ukeni kwa mwanamke maana napo kuna asidi sana.
3.kazi nyingine ya tezi dume ni kuchuja sumu ili zisichanganyike na mbegu za kiume hivyo hata mbegu inakuwa haina ugonjwa na salama.
4.Tezi dume ndio yenye kufunga njia ya mkojo na kuruhusu mbegu za kiume zitoke wakati umefika kileleni na kuziba njia ya mbegu za kiume na kufungua njia ya mkojo unapokuwa umemaliza tendo.
5.Wanaume tukimaliza tendo huwa shahawa zinaruka sana hiyo ni kazi ya tezi dume. K**a shahawa zako zinamwagika tu lakini haziruki zenyewe k**a mkojo nikiwa na maana kwa speed ujue tezi dume lako haliko sawa.pia ngumu mbegu zako kufikia yai la mwanamke na kumpa ujauzito.
6.Tezi dume inailinda njia ya mkojo isishambuliwe na vijidudu vya U.T.I.
7. Tezi dume ni sehemu ya kilele cha raha kwenye tendo la ndoa kwa mwanaume.
8.Tezi dume kupitia majimaji yake ndio inayosafirisha mbegu za kiume kutoka kwa mwanaume mpaka kwa mwanamke na kukutana na yai la mwanamke.
9.Majimaji yanayotoka kwenye tezi dume dio chakula cha mbegu za kiume. Kwahiyo mbegu za kiume zinapata chakula kutoka kwenye tezi dume.
👉🏿 Kuvimba Kwa Tezi Dume (BPH)".
👬Kwa kadiri mwanaume anavyozeeka, ni jambo la kawaida pia kwa tezi dume kuongezeka ukubwa na kuvimba.
👉🏿 Kuvimba kwa tezi dume husababishwa na nini?
👬Chanzo halisi cha kuvimba kwa tezi au vihatarishi vyake (risk factors) havijulikani kwa uhakika. Kwa muda mrefu imekuwa ikichukuliwa kuwa ugonjwa huu hutokea kwa wanaume watu wazima na wazee tu lakini siku hizi hata vijana.
*👬"BAADHI ZA TAFITI ZINAONYESHA KUWA HORMONES,UMRI MKUBWA NA MAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO NI VYANZO VYA KUVIMBA KWA TEZI".*
*👬DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:*
-Hukojoa mkojo unaokatika katika
-Hukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
-kuchukua muda kabla ya mkojo kuanza kutoka
-Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara
-Kushindwa kuthibiti mkojo kiasi cha mkojo kutirika wenyewe.
-Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu
-Hukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
-Kushindwa kukojoa kabisa (urine retention)
*👬BAADHI YA MADHARA YA KUVIMBA KWA TEZI:*
-Vijiwe kwenye kibofu cha mkojo
-Uambukizi katika njia ya mkojo (UTI)
-Madhara katika figo au kibofu
-Shinikizo la damu
-Kushindwa kutoa shahawa kwenye uume (retrograde ej*******on)
-kupungua kwa nguvu za kiume na kushindwa tendo la ndoa
-Uhanithi
*👬MATIBABU YANAYOFANYIKA BADO HAYAJATOA MAJIBU MAZURI MAANA WENGINE WANAPONA LAKINI WANAKUWA HAWASIMAMISHI TENA, WENGINE WANAOTA MAZIWA KIFUANI NK. NDIO MAANA LEO NAWALETEENI MKOMBOZI WENU".*
Hebu tuone kazi za hii bidhaa;
*👬Hii bidhaa ina viambata vitatu(3)*
1.Flavonoids = hii ni aina ya hormones ambayo kazi yake ni kuongeza hormones kwa mwanaume hivyo basi itasaidia mwanaume afanye tendo la ndoa kwa ufasaha sana na pia kazi nyingine ni kupunguza uvimbe wa tezi kabisa".
2.Pollysacharides = hii kazi yake ni kuongeza kinga ya mwili. Mwanaume akiwa na kinga ya mwili ambayo siyo thabiti basi kupatwa magonjwa k**a haya ya kuvimba tezi dume au magonjwa mengine ni kawaida na hata ufanyaji wa tendo unakuwa dhaifu".
3.Herbal epidemi = hii kazi yake kubwa ni kuongeza nguvu za kiume. Hii inatumika sana nchini china kwa wale wenye tatizo la nguvu za kiume.Ndio maana mtu akitumia hii tatizo la nguvu za kiume liwe lilisababishwa na tezi dume au mengineyo basi tatizo linaondoka. Utakuwa unapiga masafa marefu".
" *💓NI JUKUMU LA KILA MWANAUME KUHAKIKISHA TEZI LAKO LINAFANYIWA SERVICE KILA MARA ILI KUEPUKA* *UGUMBA,UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUTOWEZA KUMPA MWANAMKE UJAUZITO NK".*
*"👬👬👬 K**a Wewe ni Mmojawapo wa Wahanga wa Tatizo la Kuvimba , Kukua Kusiko kwa Kawaida au Kutanuka Kwa Tezi Dume Hili Ndiyo Suluhisho Pekee la Kumaliza Tatizo hilo Bila Kufanyiwa Upasuaji".*
🏃♂️👬👬🏃♂️🏃♂️🏃♂️👬👬
*Wasiliana nasi ,Piga simu au Ku chati Nasi What's sap Moja Kwa Moja*
*namba= # .....0627343713/0657451643..................*
*instagram= solutionroom.jali.afya*ingia kwenye link Hi I ujifunze said I tezi fume.
*KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA. (TATIZO LA BAWASIRI.)*
BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE
⚫Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.
AINA ZA BAWASIRI⤵️
1. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa.
2.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu.
▶️HATUA YA KWANZA Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.
▶️HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia
▶️HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
▶️HATUA YA NNE
ii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
*SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI*
(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.
(8) Kunywa pombe
(9) kula sana nyama nyekundu
(10) Vidonda vya tumbo
(11) ngiri
(12) Kula sana pilipili
(13 ) kunyanyua vitu vizito
ATHARI ZA BAWASIRI
▶️Upungufu wa damu mwilini
▶️Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
▶️ kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
▶️kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
▶️kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
▶️Kupata tatizo la kisaikolojia
➡️ Kutopata ujauzito
➡️ Mimba kuharibika
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
▶️Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
▶️ kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
▶️Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
▶️Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
➡️ Acha kunywa pombe
➡️ Punguza kula nyama nyekundu
➡️ Punguza matumizi ya pili pili.
➡️ Jitibie vidonda vya tumbo
⚫DALILI ZA BAWASIRI
▶️kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
▶️kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
▶️kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
▶️kupata kinyesi chenye damu
▶️kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
⚫MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
Suluhisho la bawasili tumia tiba hii
Novels depile capsule+Constrilax+refinerd yunzel essence+antidiarrhy pills
Kwa msaada zaidi Tell 📲📞 0627343713/0657451643
Nashukuru Sana kwa ushirikiano wako barikiwa Sana
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam