Nguzu za kiume

Nguzu za kiume

Share

Huu ukurasa unaongozwa na DR.FRANCIS DUMA wa TANZANIA

Afya ya mwanaume

19/10/2021

Mwanaume anapochijua ume wake sio kweli, kuwa analegeza ume wala kupunguza nguvu za kiume bali kujichua hupelekea misuri ya ume kuwa imara na migumu zaidi, ila ambacho hukijui kinacho legea sio ume wa mwanaume bali ni misuri ya fikira yani unapojichua unaweza kumwaga shahawa ndani ya dakika 10, hivyo unaposhiriki na mwanamke umbile lake huwa linapanuka hivyo ile pressure ambayo unaitumia nguvu nyingi kwenye kujichua huwa huipati ndio maana utakuta mtu huyu akishiriki tendo na mwanamke huwahi kumwaga haraka sana, ambapo asilimia ya wanaume wengi wanaopendelea kujichua humwaga shahawa Mara moja sana sana wanapojichua ndio maana mwanaume anayejichua huwa anamwaga kimoja na umbo lake hulala moja kwa moja akiwa na mwanamke kinacho lala sio mishipa wala ume bali ni ile mentality inamwaminisha yale mazoea yake ya kumwaga kimoja na kulizika na kulala ambapo hali hii haitibiwi kwa dawa bali hutibiwa na vitu vitatu yani :

Utumiaji wa maji mengi kwa siku husaidia kushisha disorder nyingi kwenye mfumo wa mental ya mtu yeyote hivyo utumiaji wa maji mengi ya kutosha unaweza wahi tibu hali k**a hii kwa haraka zaidi.

Mazoezi, hakuna zoezi la kuimalisha ume wa mwanaume ila kinachoimalishwa ni ubongo yani mental kadili unavyofanya mazoezi mwili na akili hujijenga na hivyo kujikuta umerudi katika hali yako ya umakini zaidi hasa unaposhiriki tena tendo na mwanamke.

Lishe wengi huamini karanga kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ila sio hakika karanga hufanya hivyo bali vyema ukatambua kuwa Karanga faida zake ni kidogo sana hasa kuongeza shudu za mwanaume kuwa nzito na bound ya mafuta tu, ila lishe bora ni matumizi ya vyakula vyenye calcium na ph mfano wake ni supu ya samaki,nyama nyeupe,maboga na mbegu zake, mayai n.k.

Na mbinu sahihi pindi wanashiriki tendo la ndoa wanatakiwa kuhakikisha wake au wenza wao wanabananisha miguu katikati ,wala wasipanue miguu yao kuwa free kufanya hivyo pressure huwa ndogo sana na hivyo kushindwa kumaliza kabisa kwa hali hiyo vyema mweza akabana miguu katikati kisha mwanaume kupandilia juu na kuitight miguu hiyo ili kusaidia kuna ume ili kuongeza ile pressure hasa kwa wanawake wenye maumbile mapana zaidi, hasa wanaume hawa wanatakiwa kuzingatia wake zao wanapojifungua kuwakanda ili kupunguza ubana wa maumbile yao, ili siku za usoni kutopata taabu hizo

19/10/2021

Kibamia
Kwanza Mungu hakuwahi kuumba kitu perfect ndio maana upo usemi hujafa hujaumbika ' maana halisi unaweza kuwa na sura nzuri ila ukakosa makali, na ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye kibamia.

Kitalamu mwanaume anatakiwa kuwa na sm8/7 (?) za urefu wa umbile lake hii ni kisayansi ila sidhani hii ni logic sahihi na badala yake imekuwa ikitumika kuwakandamiza wanaume wengine kujiona k**a watu wenye kasoro sana ila kumbe hizi ni fact za mili yao ilivyoumbwa na mwenyezi mmoja tu. Unapojisikia unaitwa unakibamia wenda ukawaza sana na kuona upo na bahati mbaya sana, na ikawa inakuumiza kiakili na kimtazamo ila ukweli ni kwamba umbile fupi au ndefu sio raha ya mapenzi wala mahusiano ila ni jinsi tu ya mitazamo ya kishenzi inayofundishwa na watu na kuaminisha wanawake kuwa umbile kubwa ndio raha ya mapenzi this is BIG NO.

Madhara yatokanayo na umbile refu au Kubwa katika mapenzi wenda hatuyafahamu ila ni pamoja na kusugua kiini cha uzazi napo uperekea mwanamke kuwa na ugumba, saratani ya kizazi, kuhisi maumivi ya tumbo kwa juu, kupata homa kila baada ya kushiriki tendo hilo, kutepesha mkanda wa umbu la mwanamke na hivyo kufanya minyama nyama kuchomoza nje iliyosinya na kutunga uchafu zaidi na kutunga UTI , kutunga ukuta ulioaugu ambapo hufanya mwanamke huyo anapoibgiliwa na mwanaume kukosa hisia na kuona k**a anaguswa guswa tu maana mishipa ya hisia inakuwa imetuga ukuta wa usugu mkali zaidi hizi hatari chache tu ambapo tukiangalia kwa undani zaidi hatari hizi huwahi kupelekea wanawake wengi hao hao wanaodai hawapendi kibamia kuto furahia mapenzi na wenza wao kwani maumivu wanayopata sio tu ya uchungu ni pamoja na ya kuchukia tendo hilo mdaa fulani, na hivyo utakuta wanawake wengi badala yake wanajichua kwa vidole au chupa bafuni.

Ouk kwa hapa nitaomba nikusambazie mbinu bora ambayo inaweza kukusaidia umbile lako kuliimalisha kutoka kwenye kibamia k**a shida na kuwa na umbile la wastani utakalo lifurahi na mwenza wako.

Tumbo:
Unapokuwa na kitambi ni sababu moja wapo inayopelekea kuwa na ume mfupi zaidi, hivyo mazoezi ya kukata tumbo endapo utayazingatia kwa mdaa mfupi umbo husogea mbele haijalishi una kitambi au huna mazoezi ya aina yoyote ya kukata tumbo narudi huimalisha urefu na ukubwa wa umbo la mwanamke kwani misuri yote ya tumbo hukimbilia kwenye ume pindi tu akapo anza mazoezi ya kukata tumbo,

Lishe:
Lishe ambayo inahitajika hapa ni kuzingatia ulaji wa yai mbichi au lililochemshwa la kienyeji au pori husaidia ukuaji wowote wa mwili, uliosimama hivyo k**a kwa bahati mbaya ukuaji wa umbo lako uliwahi kusimama au unakuwa kwa shida utumiaji wa yai kila asubhi kabla ya chai na pilipili utakupa nafsi ya kukua kiakili na umbile lako zaidi.

19/10/2021

Usitupe tena mikate iliyoharibika nakupa bonge la surprise kuvuka mwezi huu wa January kuwa Mkate ulioharibika ni dawa tosha ya
-Vitonda vya tumbo.
-Nguvu za kiume.
-Kutaka kuzaa/mapacha.
-Kuona siku zako.
-Kisukari .
-Minyoo ya tumbo.
-UTI sugu.
-Macho.
-Ngazi ya miguu na mgongo.
-Kukata kitambi.
-Amiba.
-Cancer ya ngozi na shida za ngozi/miwasho/fungus

Somo hili njia na jinsi ya kuanda linakuja hivi karibuni waalike marafiki 40 Leo upate inbox yako imejaa vitabu vya Afya na Kadi ya Afya

19/10/2021

Nakupa level nyingine ya kutumia dawa ya Mswaki kwa limao kwa matumizi mengine kabisa , kwenye ngozi ya kila mtu huwa kuna mafuta na pia zipo vitundu vidogo vidigo ambavyo vinapoziba kwa ujumla ngozi hukosa afya yake_kwa kuwa limao ndani yake ina chembe kitalam huitwa Citrictroniphic ambazo hizi huweza kunyonya mafuta kwa haraka zaidi ikiwa utachanganya na Colgate ambayo ndani mwake hupatikana acid ya kugalisha kitalam huitwa white fibre ambazo hukichanganya limao na Colgate (white dent) k**a una mafuta kwenye ngozi yako yatanyonywa kwa dakika 2 tu na utashanga kuona ngozi yako imekuwa kavu na baada ya siku kadha ngozi yako itaanza kuwa na mugaro mzuri ingawa unapofanya hivi unatakuwa kufanya kwa kiasi kwani ukifanya mara kwa Mara utajikuta ngozi imekosa mafuta kabisa na hivyo sishauri watu ambao wana ngozi kavu kufanya hii tiba.

Onyo: Dawa za meno zina sumu ya madini ya zebaki sumu hiyo hudumu kwa zaidi ya miaka 40 na hivyo kushambulia figo na izi.

Jinsi ya kutumia Limao na Colgate kunyonya mafuta kwenye ngozi.

Chemsha maji ya uvugu vugu Keisha chukua kitamba laini jifutie usoni kisha jipake Colgate kwa kitamba usoni pande zote na chukua kipade cha limao kamulia kwenye kitamba maji yake na anza kupaka kwa juu ya uso taratibu kisha washa feni ili kupulizia uso wako kuwa mkavu ila k**a una alagi na mfumo wa hewa k**a kwenye kivuli na sehemu yenye upepo ili uso ukauke subiri kwa dakika 20 au 30 kisha osha uso wako kwa maji ya uvugu vugu.

Uahauri huu unawafaha sana watu wanao kaa kwenye mikoa yenye joto na wenye kutoka na jasho zito pia ni tiba kwa kuwezesha tunu za jasho kitalam tunaita sweet gland kupunguza mafuta na kuwa na uwimara angavu.

Baada ya share karibu kwenye group

19/10/2021

Nimezuiliwa kwa mdaa na madakitari wa tiba asili kuzungumzia kwa habari ya mimea ambayo , pia kwa usalama wa wengi hawajui kuzichanganya dawa hizo na hivyo kujikuta wanaingia katika kukosea matibabu yake sahihi ila niruhusu nikupe mwarobaini huu .........

Wangapi hapa wanajua mmea wa wa mgomba ? Wengi tunatambua mgomba unachakula kizuri cha ndizi ila wengi hawajui faida nyingine za majani yake k**a dawa chakula na dawa.

Katika mengi nitakuandikia baadhi ya yale mengi ili upate kujifunza zaidi kwa kulinda na kujali afya yako.

Kwanza majani mabichi ya ndizi yanaweza kutumika kutunzia chakula au kuwekea vyakula mbalimbali na hivyo kufanya mlo kuwa na radha nzuri ya ulaji.

Pili unapochukua majiani ya ndizi (mgomba) na kuyakausha unaweza kuyatumia kwa kuungia kwenye chai, na faida zake ni pamoja na
a)Kukulinda na cancer ya kizazi cha mwanamke au mme.
b)kutibu madonda ya tumbo sugu.
c)kuongeza hamu ya chakula.
d)kuongeza kinga za mwili hasa (CD4) kushambulia magonjwa nyemelezi.
e)Kuongeza ute (maji) wa mwanamke hasa kipindi cha ujauzito ili kuepusha kutoka kwa mimba.
f)kutibu na kutuliza homa iliyojuu.
g)Kutibu na kukausha vidonda vya mdomoni.
h)kufanya ngozi kutozeeka na hivyo kuifanya ngozi kungaa sawa na mtoto mchanga.
i)kuondoa miwasho ya ngozi na fungus hasa utakapo tumia maji ya moto yalio tiwa majani ya mgomba mabichi na kunywa chai ya majani yake kila siku.
j)Kupunguza maumivi na vimbe za kwenye kooni na tosisi.
k)Kupunguza maumivu ya tumbo hasa kipindi cha hedhi.
l)Kutibu natatizo yote ya kukosa siku za hedhi na kuingia usichana.
m)kuongeza uoteshaji wa nywele kichwani.
n)kutibu vidonda vya tumbo vya awali.
o)Kupunguza mafuta na uzito mwilini bila mazoezi yoyote.

K**a unapendezwa na somo mbalimbali usiache kusupport kwa kushare zaidi na member za group wenzio na kulike page zangu, Point yangu hapa nakutaka ukate majani ya mgomba (majani ya mti wa ndizi) kisha yaoshe kwa maji safi mengi kisha yaweke kwenye jua na yakaushe kwa siku kadha na kisha katakata vipande vidogo na uanze kuchemshia kwenye maji ya moto na utumie k**a chai yako kila siku asubhi bila kitafunwa chochote unaweza kuongeza asali mbichi ili upate radha ya kunywa pia.

19/10/2021

Zipo soda zinaitwa Pepsi , wapenzi kiwanda hicho hakijanilipa chochote kuyatamka haya ila nilipo pima soda hii ni nzuri hata kuliko coca cola ambayo imekuwa ikiwekewa co***ne na kusababisha madhara mengi zaidi na hapa ndipo nilipo pata jinsi ya kutegeneza dawa ya watu wenye shida ya pressure ya kushuka kwa kuchanganya kipande cha limao na Pepsi nimeona ni dawa tosha kwa mgonjwa au mtu ambaye anahitaji kuweka sawa pressure yake kwa kuchanganya Pepsi na kipande hicho cha limao,

Sio rahisi kufanya haya ila inahitaji kufanywa na kila mtu kuchangayanya soda na limao ni sawa na kukata baadhi ya compound zenye sumu kwenye soda na hivyo kujikuta kati ya asilimia 100% unakunywa ukiwa salama tofauti na bila kuchanganya chochote pia unaweza kuchanganya coca cola na glass ya maji ili kupunguza madhara yake ingawa nakuandikia haya binafsi tutumie coca cola maana ni kinywaji hatari zaidi ya kuvuta bangi misokoto miwili mwilini.

Natamani ushare kuonesha support yako na ushauri wangu hapa nimekusisitiza k**a una pressure ya kushuka au ni mpenzi wa soda basi Jaribu kuchanganya kipande cha limao kwa kukamua na Pepsi kwanza utahisi radha mpya na pili itajusaidia kupunguza baadhi ya compound ambazo ni chemical kuwa na madhara machache maana dunia hii ya leo hakuna mtu unaweza mzui kwa kile apendecho badala yake nikubuni njia ya kumfanya mtu apate kutumia kile kitu bila madhara kujitokeza

19/10/2021

Nilitaka kuandika nikajizui awali maana vijana wa Dar salama hata huku shamba mnasikika sana, kwa habari ya kujenga six parks" ila nina neno moja kwa kila binadamu anayejua kiswahili fasaha, ipo hivi ukiona unakunywa maji yakifika mdomo yanakuwa machungu trust me tambua mwilini mwako kuna shida ambayo leo hii nitakwambia kuitatua, sio wewe tu wapo wengi sana kila anapotaka kunywa maji hunywa hata kikombe kimoja hamalizi ila mpe bia wengi tutakuwa tayari na k**a hatutatumia bia basi soda tutazipalamia, niamini nacho kwambia kati ya wote ambao wakinywa maji na kuhisi machungu mdomo kuna nguvu ya sumaku hutokea kwenye figo ambayo hutumwa hadi kwenye ubongo na kufanya tezi za mdomo kuchukia maji kwa kumwaga dindikali ya uchachu kwenye ulimi ndivyo hujikuta unachukia maji unajua sababu kwanini mwili unaruhusu uyachukie maji ya kunywa ? Good nitakwambia ipo hivi unapokuwa ni mtu wa mawazo , busy na kazi, au na msigo mbalimbali ndivyo mdaa zaidi unaongezeka na kujikuta huna hamu tena ya kunywa maji, hivyo figo huanza kusinya mwilini mwako kadili inavyo sinya huzalisha tindikali ambayo kitaalamu huitwa osmotemetic ambayo husafiri hadi kwenye ubongo na kufanya usugu na kuzoea na hali ya mwili ndio maana unaweza kuishi jangawani bila maji kutokana na tindikali hiyo ila kadili mwili unavyo zidi kuongezeka kinacho tokea kwako ni mambo kadha yatakayo vuruga afya yako trust me k**a hutumi maji mengi
1-Utachelewa kuzaa (mwanamke)
2-Protein zitajaa kwenye figo
3-Utasikia maumivu ya kichwa kugonga Mara kwa Mara hasa uwazapo kidogo.
4-Matatizo ya UTI za Mara kwa Mara .
5-Nguvu za kiume zitapungua kwa haraka zaidi.
6-Hamu ya chakula hupotea na kurudi na kupotea tena (3/4)
7-Hukosa usingizi sana ila mchana unaweza sinzia wastani wa 2/1.
8- Hujikuta unanuna au kuchukia haraka sana.
9-Ngozi yako huzeeka sana sana sana.

Nipe Like basi kwa support ya kazi hii ya kuelimisha ni kazi ! Hapa nimekutaka unywe maji glass 8 hadi 12 au hata zaidi kulingana na hali ya mawingu.

19/10/2021

Msoma
Toka Ulipo Amka imepita saa 1, 2, 3 na saa 4 hujaenda chooni kuondoa haja kubwa kifupi unashida sio ya nchi ya mwili wako bali kubwa sana, na k**a ni mwanaume hufikishi magori 2/3 kwa mkeo na k**a ni mwanamke siku za hedhi zako haziendi sawa sawa na wenda unashida ya ugumba/chango.

Ushauri simple sana chukua mafuta yakula yoyote vijiko 5 changanya na limao (maji yake) kisha kunywa kila asubhi , mchana na jioni pia epuka kula vyakula vigumu kwa siku 12 afu njoo unipe matokeo k**a gori zinakwama na k**a choo unatoa k**a unasukuma mkokoteni never end of it.

19/10/2021

Sitakulazimisha ikiwa swala hili kwako analifanya mwanaume au mme wako, na hujampasha habari hii ,

Wapo wanaume huamini kuvaa njisi au nguo nzito ama chupi/boxers zenye kubana umbile kwa ndani ni jambo sahihi kwao ila lazima watu wazingatie haya kuvaa box sio kitu cha sifa sana na badala yake uvaaji wa boxer ulianzishwa mwaka 1864 katika michezo ya mieleka (WWE) hivyo nguo hizo zitumika kwa mdaa mwa lengo la kibiashara tu na sio kwa matumizi ya ndani na wenda nguo hizo zikatumika kipindi cha mazoezi fulani fulani tena kwa lengo la mdaa mfupi sana ila leo nguo hizo kila mwanaume anava k**a nguo ya kujistili mwili wa ndani ila lazima utambue kuwa umbile la mwanaume halitakiwa kubanwa kwa nguo ya namna yoyote ile wapo waliojaribu kufanya hivyo na wakajikuta umbile zao zinapinda na zingine kujikunja upande na hivyo maumbile yao kuwa na ukelema wa kubinda jambo hili sio la kawaida kwani swala hili pia huchangia nguvu za kiume kuwa ndogo kwani misuri ya maumbile hayo huwahi kusinya kwa haraka sana_Ukizungumzia upande wa uvaaji jinsi kwa ndani wanaume wa nashindwa kutambua kuwa sehemu ile huitaji oxygen kupumua kwani cell zilizopo kule chini ni cell zinazohisi(sense) mazingira kuliko cell zozote zile hivyo kitendo cha kuvaa njinsi kwa ndani ni chanzo cha wanaume wengi kujikuta wanakumbwa na vijipele na miwasho pamoja harufu katika nguo za ndani, Mbaya zaidi wengi hukumbwa na fungus kwani fungus huotea kwenye sehemu hizo kutokana kuwa hule chini jasho hutegenezwa kuanzia kwenye tundo dogo la choo na kuzifanya vinyweleo kutunga wadudu na wale wadudu hubadilika na kuwa fungus kisha kupanda juu na kuanza kuathili maumbile ya wanaume,Vipi k**a utaanza kuvaa simple underclothes ambazo zitakuwa ni simple sana zinazo ruhusu hewa kupenya ndani kwa lengo la usafi na Afya bora.

19/10/2021

Upo tayari kutibu
>Mapafu
>Cancer
>Ngozi
>Macho
>Kuimalisha Kinga (CD4) na magonjwa nyemelezi ikiwemo tezi dume kwa kutumia maganda ya chungwa, kuanzia leo anza kuyakusanaya usiyatupe tutaanza kujifunza soon.
****share & Like ili usipitwe ****

https://wa.link/rc5itd

19/10/2021

MAVUZI
Ni nywele zinazopatikana has a kwenye ume/uke zikiwa zinazunguka eneo hilo, juu hadi chini .

Ikiwa utabahatika kukutana na mwanaume au mwanamke ambaye amezinyoa nywele hizo Epuka kufanya naye tendo lolote la Sex/ngono kwani usipo fanya hivyo upo uwezekano 100% kuwa na cancer, HIV, Mkanda wa jeshi au magonjwa yoyote ya zinaa.

Nimekupa k**a tips na hizi ni summary za kitafiti,
Fact
Nywele za chini zina safu ya kinga wa bacteria wa kuzuia bacteria au vimelea kuingia kwenye ubile la mwanamke direct(antbreestro)

Fact
Nywele zilizopo chini huwa zina uwezo wa kunyonya maji maji na jasho lenye kua wadudu hatari kushambulia umbile la ndani(Metozephix)

Fact
Nywele hizo ndio pekee zinamawasiliano na ngozi ya kwenye maumbile ikiwa utazikata ngozi hutokeza vipele ambayo hufanya kupokea wadudu kwa urahisi (infolmetesia)

Fact
Nywele hizo ukizikata ngozi na umbe hufunguka kwa haraka na hivyo kuruhusu virus au bacteria kuingia ndani zaidi(cometroste)

Fact
Nywele hizo ndio huchochea mwanamke kutoa maji ya utelezi kwa haraka ili kuepusha misunguano (temosisphere).

19/10/2021

JE UNATOA MBEGU ZA KIUME DHAIFU ZISIZOWEZA KUTUNGISHA MIMBA?? MWANAUME RIJALI LAZIMA AWEZE KUTUNGISHA MIMBA... ***(Kila mwanaume aipate hii elimu)*** ::::::::: Tafiti zinaonesha kwamba katika kila wanaume 10, wanne wana tatizo la nguvu za kiume. Na katika kila wanawake 10, nane hawafurahii tendo la ndoa.. either kwasababu wanaume hufika kileleni haraka kabla ya mwanamke, or kwasababu ya maumivu anayoyapata mwanamke kutokana na uke kukauka haraka wakati wa tendo n.k
TATIZO HUSABABISHWA NA NINI?
1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.
2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.
3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima
4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa Hamu ya tendo la ndoa kabisa
5. Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini
6. Mishipa ya damu kujaa mafuta na Moyo kutofanya kazi vizuri n.k
karibuni kazinja online health kwa ushauri utakaokupatia suluhisho la tatizo lako

https://wa.link/rc5itd
Au Pig +255744772059

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam