Mayai tanzania

Mayai tanzania

Share

Wauzaji na wasambazaji wa mayai ya kisasa na kienyeji Dar es salaam. Delivery inapatikana kwa gharama nafuu sana.

Wasiliana nasi kwa namba +255 654 064 715 au +255 676 461 075

Photos from Mayai tanzania's post 02/11/2021

OFA OFA OFA🔥

Jipatie mayai ya kienyeji kwa punguzo la bei kuelekea msimu huu wa sikukuu.

Trei Moja la Mayai ya Kienyeji 12,000.

Delivery inapatikana kwa maeneo yote ya Mkoa wa Dar es salaam kwa gharama nafuu.

Karibu tukuhudumie😊

31/10/2021

OFFER.OFFER.OFFER
Jipatie tray ya mayai (kisasa+kienyeji) kwa bei rahisi sana.
●Mayai ya kienyeji tray 12,000/=
●Mayai ya kisasa tray 7000/=

Kwa mahitaji inbox me, delivery ipo kwa bei poa sana.
~karibuni nyote🙏

31/10/2021

OFFER.OFFER.OFFER
Jipatie tray ya mayai (kisasa+kienyeji) kwa bei rahisi sana.
●Mayai ya kienyeji tray 12,000/=
●Mayai ya kisasa tray 7,000/=

Kwa mahitaji inbox me, delivery ipo kwa bei poa sana.
~karibuni nyote🙏

31/10/2021

FAIDA 10 ZA MAYAI KIAFYA

Mayai ni moja ya vyakula vichache ambavyo naweza kuviweka katika kundi la vyakula ‘bora zaidi’ kuliko vyote.

1. Mayai yana virutubisho vya kushangaza

Mayai ni moja ya vyakula vyenye virutubisho vizuri zaidi katika sayari dunia.
Yai moja zima lina viinilishe vyote vinavyohitajika kuibadili seli moja kuwa kifaranga cha kuku.

Yai moja kubwa lililochemshwa lina:
Vitamin A: 6%
Folate: 5%
Vitamin B5: 7%
Vitamin B12: 9%
Vitamin B2: 15%
Phosphorus: 9%
Selenium: 22% o

Mayai pia yana kiasi cha kutosha cha Vitamini D, Vitamini E, Vitamini K, Vitamini B6, kalsiamu na Zinki.

Yai moja pia linakuja na kalori au nishati 77, gramu 6 za protini na gramu 5 za mafuta yenye afya au mafuta safi kwa ajili ya mwili (healthy fats).

Mayai pia yana viinilishe vingine vidogo vidogo (trace nutrients) ambavyo ni mhimu kwa afya bora.

Hakika… mayai ni chakula ambacho ni karibu kimejikamilisha, mayai yana karibu kila aina ya kiinilishe mhimu tunachokihitaji kila siku.

2. Mayai huwa na kolesto nyingi lakini hayaathiri kolesto katika damu

Ni kweli kwamba mayai yana kolesto nyingi.

Ukweli ni kuwa, yai moja tu huwa na kolesto mg 212, ambayo ni zaidi ya nusu ya kiasi cha kolesto ambacho imependekezwa ule kwa siku ambacho ni mg 300.

Hata hivyo…ni mhimu kuelewa kuwa kolesto katika mlo huwa si lazima ipandishe kolesto ya kwenye damu.

Kwa kawaida Ini peke yake huzalisha kiasi kingi cha kolesto kila siku. Wakati tunapokuwa tumekula mayai zaidi, Ini lenyewe huzalisha kiasi kidogo zaidi cha kolesto ili kusawazisha hiyo tofauti.

Matokeo ya ulaji wa mayai hutofautiana toka kwa mtu mmoja hadi mwingine:
Asilimia 70 ya walaji wa mayai hawapati kabisa kuongezeka kwa kolesto . Asilimia 30 ya walaji wanaripotiwa kuwa wanatokewa kuongezeka kwa kolesto

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam