Afya bora

Afya bora

Share

kwa matatizo ya AFYA wanawake na wanaume,tumia virutubisho lishe ili kujikinga na maradhi yasiyo amb

tunatoa ushauri wa kiafya bure unaweza kukutupigia au kufika ofisini kwetu mlimani city pia tunatatua changamoto mbalimbali za kiafya k**a vile shida aina zote za Uzazi kwa wanawake na wanaume, Vidonda vya tumbo, bawasili, shida za mifupa, ngozi na urembo, na shida zinginezo hasa magonjwa yasiyo ya maambukizi, tibazetu ni virutubisholishe kutoka naeekani

19/10/2023

WANAWAKE WAPENDA MAENDELEO MPOOOOO

Nina Card 25 TU za wanawake watakao wahi kupiga simu au kuweka namba zao kwenye Comment

🌟✨
Tuna furaha kuwatangazia wanawake na Tunawakaribisha kwenye Sherehe ya wanawake itakayofanyika
Tarehe 30 Oktoba
Juma tatu
Kebby's Hotel Bamaga
Dar es Salaam
Kuanzia saa nne kamili asubuhi

Kila atakayehudhuria atapokea zawadi ya kipekee, ikiwa ni pamoja na
• POCHI NDOGO ya kuwekea vipodozi
• MUWA MARIDADI
• CHUPA YA KUNYUNYUZA
Lakini pia utapata nafasi ya kujifunza kuhusu urembo kutoka kwa wataalam mbalimbali wa urembo.

Usikubali kupitwa...
Tukutane Kebby’s Hotel!y ✨👗👠

K**a unaswali uliza kupigia namba hii
0654100629

Photos from Afya bora's post 17/08/2023
29/06/2022

K**a unasumbuliwa na changamoto ya UTI SUGU,FANGASI AINA YEYOTE ILE HUSUSANI UKENI,MIWASHO UKENI,PID
nitafute nikupe tiba sahihi na salama
#0654100629

25/05/2022

Hello 👋 habari njema Afya bora imekuandalia program ya kukukinga na maradhi yote hasa kupambana na UTI,FANGASI,MIWASHO,HARUFU MBAYA UKEN,na mengine mengi

#0654100629

15/08/2021

*DALILI ZA P.I.D*

Whatsapp/call
#0654100629
Je ni wewe au ndugu, jamaa au rafiki yako? Okoa maisha yako/yake sasa tiba bora ya asili ya PID,UTI na fangasi sugu imepatikana

Mwanamke akianza kuonyesha dalili za ugonjwa wa P.I.D anaweza:

1. Kuhisi maumivu ya tumbo hasa maumivu chini ya kitovu

2. Kutokewa na maumivu ya mgongo mara kwa mara

3. Kutoa uchafu sehemu za siri ambao huambatana na harufu mbaya.

4. Kupata maumivu wakati wa kukojoa

5. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

6. Kupata damu bila mpangilio akiwa kwenye siku zake

7. Kuwa na homa mara kwa mara

8. Kichefuchefu

9. Kutapika

10 Kuwa na msongo wa mawazo na kuumwa kichwa

Whatsapp/calls
#0654100629

13/08/2021

Ukiona haya shtuka,,,,,

#0654 100 629

1 miwasho sehemu ya haja kubwa,

2kupaa choo kigumu,

3kukosa choo siku nzima au zaidi,

4 maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa,

5 kinyama kutoka wakati wa kujisaidia kinaweza kurudi chenyewe au ukarudisha kw kidole au kinyama kinatoka kwa nje ya eneo la haja kubwa,

6 kutokwa damu au ute k**a makasi wakati wa kutoa haja kubwa,

chukua hatua,,,,wasiliana nasi kwa ushauri na tiba

#0654 100 629

Nb: tiba zetu ni za asili kabisa na hazina kemikali yoyote japo zimetengenezwa kwennye k**a dawa za kawaida
Na tiba zetu hazihusishi upasuaji utameza virutubisho na kuondoa hicho kinyama kwa hatua

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Sinza A
Dar Es Salaam