tricial_beauty_point
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from tricial_beauty_point, Beauty Store, Dar es Salaam.
Happy new month mahi zangu😍❤️
Dada anasuka jmn🙌
Ila shule🤣🤣
Cheers to 11k family here on IG I love you guys🥹😍❤️
I really dont know how to celebrate myself and that bothers me so much recently 😪 Here to a journey of learning how to celebrate me🥂
This feels so unreal,the support of every one of you,the love, the orders and everything you do to this Brand means a lot and I appreciate it😍❤️
THANK YOU SO MUCH 11K FAM
Ulikua unajua kwa nini wanaweka mawe?
Hii ni THE WET & SEAL COMBO moja kati ya best selling combos apa kwetu
Hii combo inakuja na mask za karatasi za CENTELLA 6 ambazo zitaipa ngozi yako unyevu nyevu wa kutosha na MASK KIOO YA NJANO 1 ambayo itafunga (seal) ule unyevu nyevu kwenye ngozi yako ukae mda mrefu lakini pia itafanya ngozi yako i glow haraka sana k**a kioo
Combo hii ipo kwa mawakala wote wa tricial beauty point
Bei; tsh 30,000/=
Tupo MBEZI dar na tuna mawakala hapa dar na mikoani pia
Piga au wasap 0620 158 104
Hii ni THE WET & SEAL COMBO moja kati ya best selling combos apa kwetu
Hii combo inakuja na mask za karatasi za CENTELLA 6 ambazo zitaipa ngozi yako unyevu nyevu wa kutosha na MASK KIOO YA NJANO 1 ambayo itafunga (seal) ule unyevu nyevu kwenye ngozi yako ukae mda mrefu lakini pia itafanya ngozi yako i glow haraka sana k**a kioo
Combo hii ipo kwa mawakala wote wa tricial beauty point
Bei; tsh 30,000/=
Tupo MBEZI dar na tuna mawakala hapa dar na mikoani pia
Piga au wasap 0620 158 104
Mi napenda ikianza kukauka na wakati wa kubandua🤣🤣🤣
Hizi mask kioo zipo aina mbili tumia inayoendana na ngozi yako au shida yako kupata matokeo mazuri zaidi
1. Mask kioo ya COLAGEN (ya pink) hii nzuri kwa ngozi zenye mikunjo,wekundu, ngozi kuchoka,ngozi kavu na unaungua
2. Mask kuoo ya KOJIC ACID AND TURMERIC (ya njano) hii ni nzuri kwa ngozi zilizofubaa na unataka ku glow, ngozi haina nuru, k**a una weusi wowote tumia hii.
Hizi unapaka unalala nayo ukiamka asubui unang'aa k**a jua
Tsh 18,000/= tuu
Tupo MBEZI MAGUFULI na tuna mawakala hapa dar na mikoani pia
Piga au wasap 0620 158 104
Hizi mask kioo zipo aina mbili tumia inayoendana na ngozi yako au shida yako kupata matokeo mazuri zaidi
1. Mask kioo ya COLAGEN (ya pink) hii nzuri kwa ngozi zenye mikunjo,wekundu, ngozi kuchoka,ngozi kavu na unaungua
2. Mask kuoo ya KOJIC ACID AND TURMERIC (ya njano) hii ni nzuri kwa ngozi zilizofubaa na unataka ku glow, ngozi haina nuru, k**a una weusi wowote tumia hii.
Hizi unapaka unalala nayo ukiamka asubui unang'aa k**a jua
Tsh 18,000/= tuu
Tupo MBEZI MAGUFULI na tuna mawakala hapa dar na mikoani pia
Piga au wasap 0620 158 104
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam