Medrina _ afya_ care
Afya na tiba lishe
14/09/2021
https://chat.whatsapp.com/E8xWuipPEpUGNg8U6Qrod3
Karibu tujifunze kuhusu afyaa
AFYA NA UZAZI🤰 WhatsApp Group Invite
02/09/2021
*ZIFAHAMU SABABU ZINAZOPELEKEA MWANAMKE KUTOKWA NA DAMU WAKATI AU BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.*
Kuna sababu kadha wa kadha zinazo mpelekea mwanamke kutokwa na damu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
Damu inayotoka katika kipindi hiki Inaweza kuwa imejumuisha zifatazo za sehemu ya uzazinwa mwanamke
•> Uke
•> Shingo ya kizazi
•> Mji wa mimba
•> Mirija ya hajandogo
Kwa hiyo inategemea shida iko sehemu gani
Moja ya sababu hizo ni k**a.
• Kuwa na maambukizi ya mfumo wa uzazi kwa kitalaam unaitwa Pelvic inflammatory Disease (PID) Au Magonjwa yasababishwayo au yaambukizwayo kwa njia ya kujamiana. K**a
•> Kisonono (Gonorrhoeae)
•> Chlamydia Trachomatis n.k.
•> kaswende
• Ukavu uke hii ni kuwa unakuta mwanamke anakuwa na uke kuwa mkavu ambapo inapelekea kupata michubuko wakati wa tendo na baada ya tendo kupata maumivu makali na kufatiwa na damu Kutoka
Je vitu gani vinapelekea mwanamke kuwa na uke mkavu.
•> Kupungua kwa homoni Aina ya estrogen ambayo ninakazi ya kuwa k**a kilainishi.
•> Hofu inapelekea Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
•> Matumizi ya vitu k**a sabuni, pafumu, lotion na vitu vingine kuoshea uke husababisha kuondosha mazingira asili ya uke.
•> Kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa pia kupelekea kufanya uke kuwa mkavu na kupelekea kutokwa na damu wakati wa tendo.
• Uke kuumia (vaginal damage) kwa sababu kadha wa kadha k**a :-
•> Kuchanika msamba (tears) wakati wa kujifungua, k**a sehemu iliyoshonwa haijapona vizuri Inaweza pelekea mama kutokwa na damu wakati wa tendo.
•> Uke kuwa mkavu kutokana na msuguano wakati wa tendo pengine kwa sababu ya kukosa maandalizi mazuri hupelekea mwanamke kutokwa na damu.
• Uwepo wa viuvimbe /saratani kwenye mji wa mimba . Huweza pelekea kutokwa na damu wakati wa tendo au baada ya tendo
• Kuwepo na uvimbe kwenye shingo ya kizazi pia niasababisha mwanamke kutokwa na damu punde au wakati wa tendo la ndoa.
• Uwepo wa saratani (kansa) kwenye mji wa mimba au shingo ya kizazi humpelekea mwanamke kupata shida ya kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa au baada.
• Mwanamke kuwa na historia ya kupata ajari( Trauma) inayohusiana mji wa uzazi kwa ujumla k**a haikupona ipasavyo inapelekea mwanamke kutokwa na damu wakati au baada ya kushiriki tendo la ndoa.
• Mwanamke anapokoma hedhi pia anakuwa anapata shida ya kutokwa na damu ukeni
Watu gani Wapo kwenye hatari ya kupata shida hii
• Mwenye kansa /saratani ya kwenye shingo au kwenye mji wa uzazi
• Kuwa na wanaume wengi (michepuko mingi kwa mwanamke)
• Mwanamke anayeelekea kukoma hedhi.
• Wanawake wenye tabia ya kujiosha uke Mara kwa Mara (douching)
• Kuchanika msamba wakati wa kujifungua.
Matibabu ya tatizo inategemea na chanzo cha tatizo ni nini.
Unazuiaje Maumivu na damu Kutoka
• Tumia vilainishi
• Punguza wenza (Michepuko)
• Tibu chanzo cha tatizo.
• Kuwa na maandalizi ya kutosha wakati wa tendo la ndoa pia Fanya tendo kistaarabu.
K**a sio wewe Basi msaidie mama,shangazi,dada kwa kupiga
+255622079906
02/09/2021
*Hatimae Tumegundua Suluhu Ya kutokomeza Matatizo ya uzazi kwa wanawake k**a vile U.T.I Sugu, P.I.D, Harufu Mbaya, Fangasi sugu, Miwasho ukeni n.k...kwa Muda Mfupi Bila Kujirudia Tena!*
Maamuzi ni yako sasa kuendelea na tatizo ulilonalo au kujaribu njia hii salama na ya uhakika kwa muda mfupi kutokomeza tatizo lako!
Unaweza ukawasiliana nami sasa ili tutatue tatizo lako.....
Piga Sasa +255622079906
*WE CARE YOUR HEALTH*
01/09/2021
"Je! Umetaman kuitwa Mama kwa Muda Mrefu imeshindikanika ?
Utajisikiaje endapo siku moja ndoto hii ikatimia ?
Mungu akiwa Upande Wako Hakuna ambacho hakiwezekani chini ya jua …!
Hudhuria darasa Maalum Litakalokupa Njia rahisi na Salama … itakayokuwezesha kubeba ujauzito bila kutoka ndani ya siku 90 tu.
Darasa hili ni kwa wanawake 50 tu… tuma msg kwenda +255622079906(uzazi package)
01/09/2021
*Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula wa Binadamu*
*Tasfiri: utumbo Mwembamba (small intestine), utumbo mpana (large intestine), ini (liver), kongosho (pancrease), ulimi (tongue), tumbo (stomach), tezi za mate (salivary glands), umio (esophagus), puru (re**um), mkundu (a**s)*
*1️⃣:-Kazi hii inatekelezwa katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Kwa binadamu na wanyama wengi mmengenyo huwa na ngazi mbili*
*2️⃣:-kusagasaga chakula kwa meno au pande nyingine ili kupata vipande vidogo zaidi*
*3️⃣:-kumeng'enya vipande vya chakula kwa kemikali za mwilini k**a vile vimeng’enya mbalimbali na asidi za tumboni ili kupasua molekuli kubwa k**a protini kuwa molekuli ndogo zaidi zinazoweza kutumiwa na mwili kutoa nishati au k**a vipande vya kujenga mwili mwenyewe. Utumbo huwa na bakteria nyingi za pekee zinazoshirikiana katika Mmeng'enyo.
kwa shida K**a izo
piga +255622079906
01/09/2021
*Je Umekuwa UKifanya kosa moja kati ya Makosa haya 5?*
*1. Unahisi miwasho ukeni lakini unapuuzia.*
*2.Ukivua chupi jioni unakuta imechafuka lakini unaona kawaida.*
*3.Uchafu unatoka k**a maziwa, na mda mwingine unarangi zingine lakini unaombatana na harufu mbaya lakini bado unachukulia poa.*
*4. U.T.I inakurudia mara kwa mara kwa mara ila unaona sawa tu.*
*5. Ukijaamiana unapata maumivu unatoka mpaka damu, hauna hisia na wala huchukui hatua yeyote.usichukulie poa suluhisho lipo unasubr nn wakat n sasa
Piga Sasa +255622079906
31/08/2021
Karibu nikusaidie +255622079906
31/08/2021
Msaidie baba ,Babu , Kaka kwa kupiga +255622079906
31/08/2021
Piga simu+255622079906
31/08/2021
Ujachelewa karibu Sana +255622079906
31/08/2021
Tuwasiline Sasa +255622079906
31/08/2021
Tiba asili na salama
Wasiliana +255622079906
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mlimani Tower
Dar Es Salaam