Jenga Afya Na Malengo Yako

Jenga Afya Na Malengo Yako

Share

NASAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIAFYA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

22/09/2021
21/09/2021

Naitwa Amosi Wilbur nafanya kazi kwenye kampuni ya Bright Futures.Tupo tunapanua wigo kwa Kasi hapa Dar es salaam.Ninatafuta ambao wapo tayari kufanya kazi na kampuni yetu ili kujipatia kipato bila kuathiri shughuli zao

14/09/2021

*PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA BAWASIRI YA {NDANI NA NJE}*
0627085865
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE)*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ Uume kusinyaa (unapoteza urefu na ukakamavu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la
kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Kwa msaada na ushauri piga 0627085865

12/09/2021

Kwa Tiba nitafute kwa namba hii 0627085865
*MATATIZO YA* *VIUNGO NA* *MIFUPA*
1. *Osteoarthritis*: Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokana na umri.
2 *.Osteoporosis*;Hili ni tatizo la mifupa kuvunjika kirahisi kutokana na upungufu wa kalishiam(calcium).
3. *Rheumatic* *arthritis*:Hili ni tatizo linalotokana na Kinga ya mwili kutafuna gegedu(cartilage).

1. *OSTEOARTHRITIS* •Tatizo hili linaathiri viungo na baadae huathiri mifupa.
•hutokea baada ya gegedu kulika kwenye viungo pia Ute Ute kuisha..
• Huathiri viungo mbalimbali K**a vile pingili za Ute wa mgongo,nyonga,magoti nk.

*SABABU* *ZINAZOPELEKEA* *KUTOKEA KWA* *OSTEOARTHRITIS*✓Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucosamine
•Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
•Pia inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu.

*SABABU ZINAZO* *ONGEZA KASI YA* *KUTOKEA KWA* *OSTEOARTHRITIS*
✓uzito uliopindukia
✓historia ya familia
✓Ajali
✓kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo ,wanamazoezi na kadhalika.

*CHANGAMOTO* *KATIKA KUTIBU* *OSTEOARTHRITIS*
1.Watu wengi wanatumia dawa za Maumivu.
•Dawa za Maumivu hutuliza Maumivu kwa mda tu na baadae Maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza kwa Ute Ute Wala gegedu.
2.Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
•mazoezi pia huwa yanawasaidia watu kwa mda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale
•Kwa hiyo watu wengi ambao wanashida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana

12/09/2021

Kwa Tiba nitafute kwa namba hii 0627085865.Pia kwa elimu zaidi juu ya afya bofya link ifuatayo.https://chat.whatsapp.com/LJYVbYjvSZJLPkGFICvTTh

06/09/2021

Tezi Dume inatibika bila kufanyiwa upasuaji.
Kwa mawasiliano piga.
0627085865 Pata taarifa zaidi na ushauri kupitia group langu la WhatsApp https://chat.whatsapp.com/LJYVbYjvSZJLPkGFICvTTh

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Idrissa
Dar Es Salaam
55587