diamondglow_tanzania
Dealing with Health & Beauty. Bringing to you the Best Collagen to treat your Skin from inside out? We are committed to take care of your SKIN
We are at your Service good people❤️
Je wazifahamu faida za kufanya Facials mara moja kwa mwezi🧐 basi k**a haufahamu hizi ni sababu chache… soma kwa utulivu kisha zingatia
1. Facial huondoa mrundikano wa ngozi iliokufa (deadskin cell) yes hukujua k**a Ngozi hufa…😄 kila baada ya siku 28 Ngozi mpya hujizalisha sio rahisi kuona ama kujua sababu haijivui k**a Gamba. Unapo fanya Facial deadskin huondolewa kwa uzuri na ndio maana unaona watu hua na mng’ao mzuri sana baada ya Facial.
2. Facial huondoa mafuta/sebum kwenye vishimo vya uso wako. Najua unasafisha uso wako vizuri na cleanser nzuri sana lakini ni dhahiri kuna sebum ambayo unahitaji nguvu ya ziada kuondoa kwa aidha exctractin, sunction, ama vaccum. Huu ndio ule usafi wa mara moja kwa mwezi tunaonafanya kwa ngozi yako. Bila kusahau ngozi nayo inapumua mno
3.Bidhaa zako za ngozi zinaweza kua nzuri sana sana ila tatizo ninkwamba mrundikano wa ngozi mfu ni mwingi hivyo huzuia utendaji kazi wake kua wa tija…unataka kuona vitu vyako vinafanya kazi basi get a FACIAL😊
👌See you when you book a SLOT👌
14/04/2025
26/03/2025
Unyevu unyevu ni muhimu sana kwa NGOZI ukitaka kupendeza haswa basi hakikisha unatumia hii kitu ili upendeze💛
21/03/2025
FURSA ....FURSA
Ongeza kipato cha ZIADA kwa kua wakala wa bidhaa zinazofanya vizuri mno. 😍DODOMA umeibuka kua mkoa wenye wateja wengi sana wa hizi bidha. Tukaona ni vyema kutoa FURSA hii kwa watu wengine. Karibu u ngana nasi na utengeneze kipato chako cha ZIADA kwa raha hata ukiwa nyumbani, ofisini pia.
✅️Call 0754362021
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
MBEZI BEACH KWA ZENA JDM Plaza
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |