Jipende utunze AFYA
Matatizo ya Mifupa kusagana au kuishiwa ute ute ,Pia Magonjwa ya Wanawake PID, UTI sugu , homon...
0767096760. TIBA NA USHAURI
*Mwanamke kushindwa kupata ujauzito sababu hasa ni hizi👇*
*✔️Hormone imbalance,*
hii ndio sababu kubwa maana kukiwa na mvurugiko wa homoni hapa ndipo utendaji kazi mwingi hufeli k**a uzalishwaji wa mayai, ukomazaji wa mayai, uzalishwaji wa ute ambao ni mhimu katika usafirishaji wa mbegu za kiume
Hii ndio pia hupelekea shida za
🥕Uvimbe kwenye kizazi
🥕uvimbe kwenye mayai
🥕Kushindwa kufanyika kwa kazi za uandaaji wa nyumba ya mtoto
Hii ndio sababu kuu
*✔️Maambukizi ya Pelvic inframmatory diseases*
Maambukizi katika via vya uzazi ambayo husababisha Mirija ya uzazi kuziba, mirija ya uzazi kujaa maji, Matatizo katika shingo ya kizazi
Hali hizi hupelekea
🥕Mbegu za kiume kushindwa kukutana na yai ili kurutubishwa
🥕Maumivu makali wakati wa tendo
🥕mimba kuharibika kabla ya mtu kujua nina mimba wiki kadhaa za mwanzo
*✔️Chango la uzazi*
Hii hali ya vimfuko vya ovari kushindwa kuzalisha mayai, aidha kuzalisha mayai na kushindwa kukomaa
Hapa unaweza usipate dalili yoyote ile ukaingia vizri kwenye siku zako lakini kumbe mayai hayajawahi kikomaa, kwa kuwa mbegu za kiume zinahitaji kurutubisha yai lililo komaa hivo kutokomaa hupelekea ugumba
*✔️Shida ya udhaifu wa mbegu za kiume,*
hapa inaweza kuwa anazalisha mbegu chache mnoo, mbegu dhaifu zinazokufa haraka, mbegu zisizo na mkia hivo kushindwa kuogelea kulifikia yai
Hapa ni vema nupate ushauri mzuri wa kukusaidia ukihusishwa na vyakula
*✔️Kutokuelewa mzunguko wa siku na siku za kupata mimba*
Hili nalo linawatesa wengi sanaa kutokujua kuhesabu siku ni sababu inayoweza mfanya mtu miaka kupita bila kupata Mimba
*☘️JAMANI Mimi kila siku naumia sanaa pamoja na wale wanaoumia kuhusu haya matatizo*
Kwa wewe mwenye changamoto ya kuhitaji ushauri pia wa aina yoyote tuwasiliane kupitia
TIBA NA USHAURI 0767095760
26/03/2023
NAMNA YA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI HARAKA NA KUMFASHA KUWA ADDICTED NA WEWE.
Huwa unajisikiaje unapo ulizwa "UMEMALIZA?" Samahani kwa kuwa mtoaji wa habari mbaya.
Lakini ikiwa itabidi umuulize mwenzi wako ikiwa amefika kileleni.
Upo uwezekano kwamba hawa hufanyi hivyo.
Hii ni kweli hasa ikiwa, k**a mwanamume wa kawaida huchukua kati ya dakika 5
5 hadi 7 kumaliza.
Kulingana na utafiti wa 2019 uliochapishwa katika Journal of Medicine ya s*x,
inachukua wastani wanamke muda huo mara mbil dakika 13.41 kufika kileleni wakati wa s*x.
Zifuatazo ni njia rahisi za kumfikisha mwanamke kileleni.
1)Usikimbilie kufika kilele kabla ya mwenzi wako.
Jaribu kukumbuka lengo la s*x ni raha, na kileleni ni aina moja ya raha ambayo ni fupi sana kuliko zingine zote.
Kuna kejeli kidogo kwa hilo kadiri mwenzako anavyofikiria zaidi kuhusu kufika kileleni, ndivyo uwezekano wa kuwa mshindo utakuwa mdogo.
Kwa hivyo ondoa shinikizo kutoka kwa mwenzi wako na uzingatie kumfanya ajisikie vizuri iwezekanavyo kwa muda mrefu.
2) Hakikisha unatumia kisimi chake vizuri.
Idadi kubwa ya wanawake wanahitaji msisimko wa nje wa kisimi ili kufikia kilele.
Kwa hivyo unapofanya s*x,unatiakwa kuzingatia msisimko wa nje na wandani.
Ikiwa unataka kuchochea kisimi cha mpenzi wako wakati wa kus*x.
kwa, baadhi ya style za s*x hurahisisha kufanya kuliko zingine.
Mfano Mwanaume anapokuwa juu yako katika style ya missionary.
Mwambie asogeze mwili wake mbele kidogo ili, kila wakati anaposukuma, uume wake ukuguse kisimi chako.
Mbinu hii ni ya mshindo zaidi ikiwa miguu ya mwenzi wako iko pamoja na wewe unaikanyaga.
Unaweza kufikia athari sawa wakati wako juu kwa kujiinua kwenye viwiko vyako, ambayo huweka tumbo lako karibu na kisimi chao.
3) Usiache kumbusu.
Mara mambo yanapozidi kupamba moto,unaweza kujaribiwa kutozingatia zaidi kumbusu ili kupata raha zaidi zilizokadiriwa.
Lakini kumkiss kwa kina mara nyingi ni lazima ili kufikia kileleni, kulingana na uchunguzi wa zaidi ya watu wazima 50,000 wa 2017.
Matokeo yalionyesha kuwa wanawake walikuwa na uwezekano zaidi wa kufikia kilele ikiwa kus*x kwao ni pamoja na kukiss na kusisimua sehemu za siri.
4) Zungumza nae kwa maneno unapofanya.
"Mazungumzo machafu" sio lazima yajumuishe maneno ya herufi nne. Eleza kile unachomfanyia mwenzako, au sema unachotaka akufanyie.
Ikiwa unasitasita, pongezi rahisi kuhusu jinsi unavyovutia mpenzi wako itafanya hila.
Na ikiwa mpenzi wako amekuambia mapema kwamba huwashwa na maneno na misemo maalum.
Udmabu huu ni muhimu kwenye mazungumzo, pia.
5) Jifunze kile mpenzi wako anapenda, na ufuate mwongozo wao.
K**a tulivyotaja hapo juu, kichocheo cha kisimi cha moja kwa moja.
Ni njia ya uhakika zaidi ya kuwafikisha wanawake kileleni na kukiss ni njia nzuri ya kufanya hivyo.
6) Hakikisha uke una maji maji au tumia kilainishi.
Haijalishi unapata joto na utamu kiasi gani, bila kulainisha vya kutosha, ni rahisi kwa ngono kukosa raha au hata maumivu kwa mwenzi wako.
ni muhimu kwa kupenya kwa uke na msisimko wa nje, pia. "Kulainisha
huongeza faraja na kasi ambayo unaweza kupenya uke na kusaga dhidi ya kisimi.
Kumbuka kwamba kuhitaji kilainishi haimaanishi kuwa mwenzi wako hana maji maji baadhi ya miili huwa na unyevu kuliko mengine.
Zaidi ya hayo, dawa, kutofautiana kwa homoni, kukoma hedhi,stress, na upungufu wa maji mwilini vyote vinaweza kupunguza ulainisho wa asili wa mwili,
kwa hivyo hakuna ubaya kuhitaji vitu vya ziada vya kuteleza. Kutumia virahinishi hurahisisha s*x kwa kila mtu anayehusika.
7) Hakikisha uzingatiaji wa shingo yake.
Shingo za wanawake ni sehemu za kugusa zinazojibu sana sababu ngozi ni nyembamba huko, na mishipa ya damu iko karibu na uso.
Kwa hivyo haishangazi kwamba watafiti wamegundua kuwa shingo ni mojawapo ya sehemu bora zaidi za kusisimua
kwa kutumia mguso mwepesi(ili usiwe na wapanda farasi,tafadhali
isipokuwa mshirika wako akuombe).
Unapofanya ngono na mwenzi wako anaelekea kileleni, piga midomo yako kutoka kwenye mfupa wa shingo hadi kwenye taya yake, kisha ipe shingo yake busu laini na la joto ili kuwafukuza.
MWISHO.
Nguvu za kiume zinatibika .
K**a unatatizo la nguvu za kiume na changamoto mbalimbali za ngivu za kiume
Niambie Hapa Chini Unapitia Changamoto gani Ili Niweze Kukusaidia
PAPAI NI DAWA: ZIFAHAMU FAIDA KUMI NA NANE ( 18 ) ZA MTI WA MPAPAI
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake.
Hata hivyo mbali na kuwa na ladha nzuri, tunda la papai lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu.
UTAJIRI WA VITAMINI
Tunda la papai lina vitamini A,B,C,D, na E jambo linalo liweka tunda hili katika kundi la matunda na vyakula vyenye utajiri mkubwa wa vitamin.
FAIDA ZA KIAFYA ZA TUNDA LA PAPAI
Tunda la papai lina faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Miongoni mwa faida hizo ni pamoja na kuwa na uwezo wa :
Mbegu za Papai
1. Kutibu tatizo la Shida ya kusaga chakula tumboni
2. Kutibu Udhaifu wa tumbo
3. Kutibu Kisukari na asthma au pumu.
4. Kutibu Kikohozi kitokacho mapafuni
Mizizi Ya Papai
5. Kutibu Kifua kikuu
6. Tunda hili huleta afya nzuri ukitumia kila siku
7. Maziwa yanayotoka katika jani lake huponya vidonda
8. Vilevile yanasaidia kutibu sehemu palipoungua moto
9. K**a hiyo haitoshi, maziwa yanayotoka katika jani la mpapai yanatibu kiungulia na Ugonjwa wa colon (njia ya haja kubwa ndani)
Majani Ya Mpapai
10. Pia yanasaidia kutofunga choo
11. Maganda ya tunda la papai yanasaidia kutibu tatizo la kuungua, vipele na saratani ya ngozi.
12. Mbegu zake zinatibu ini zikitafunwa 10 – 12 kwa siku 5.
13. Majani yake yakaushie ndani, yanatibu pumu. Inapoanza kubana yachome majani yaliyokaushwa kisha jifukize, kule kubanwa kutakisha.
14. Majani yake yanasaidia katika kutibu shinikizo la damu.
15. Papai likimenywa na kupondwa linafaa Sana katika masuala ya urembo kwani linaweza kutumika K**a vile unavyotumia lotion kulainisha uso.
16. Mbegu za papai zina uwezo wa kutibu homa. Meza mbegu za papai kiasi cha kijiko cha chakula mara 3 kwa ajili ya kutibu homa.
17. Mbegu za papai zilizokaushwa ndani kisha zikasagwa kuwa unga zinatibu malaria, tumia kijiko 1 cha chai changanya na uji, kunywa mara 3 kwa siku 5 Mgonjwa wa kifua kikuu akila matunda haya kwa muda mrefu atapona bila dawa nyingine.
18. Mizizi yake ikipondwa na kulowekwa katika maji yaliyochemshwa, lita 2 na nusu kwa dakika 15, yanatibu figo, bladder, yanazuia kutapika. Nusu kikombe cha chai kutwa mara 3 kwa siku 5.
JINSI YA KUREKEBISHA HOMONI KWA MITISHAMBA
NA VYAKULA NA MAZOEZI
NB: HOMONE NDIO CHANZO CHA MWANAMKE KUPATA UJAUZITO
Homoni zina mchango mkubwa katika afya kwa ujumla katika mwili wa mwanamke hasa linapokuja suala la uzazi. Mara nyingi usawa usio sawa wa homoni husababishwa na mabadiliko katika homoni ya ‘estrogen’.
Mabadiliko haya mara nyingi hutokea wakati wa kuvunja ungo, wakati wa hedhi, wakati wa ujauzito na wakati wa ukomo wa hedhi (menopause).
Vitu vingine vinavyopelekea mabadiliko ya homoni ni pamoja na kuongezeka umri, lishe duni, kutokujishughulisha na mazoezi, kupungua kwa ogani ya adreno, mfadhaiko au stress, kukosa usingizi, dawa za uzazi wa mpango, sumu na kemikali mbalimbali nk.
Dalili zitakazokuonyesha homoni zako hazipo sawa ni pamoja na:
1. Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
2. Uchovu sugu
3. Kuongezeka uzito
4. Kupungua kwa nywele
5. Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
6. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
7. Chunusi
8. Kuwa na hamu na vyakula au vinywaji vya viwandani kila mara
9. Kushindwa kushika ujauzito
10. Kutokujisikia vizuri kila mara bila sababu maalumu
11. Kukosa usingizi
12. Hasira zisizo na sababu maalumu nk
Zipo dawa za asili zinazoweza kukusaidia kurekebisha na hatimaye kuweka sawa usawa wa homoni mwilini mwako.
Ni mhimu uonane na daktari kabla kwa uchunguzi, vipimo na ushauri zaidi kabla ya kuamua kutumia hivi vinavyopendekezwa kwenye makala hii hasa k**a una matatizo k**a ya uvimbe katika kizazi, saratani ya matiti, saratani ya kizazi au una saratani katika mirija ya uzazi.
Njia mbadala 6 za kurekebisha homoni zako na hatimaye upate ujauzito:
1. TUMIA OMEGA 3 KILA SIKU
kurekebisha homoni
Asidi mafuta yenye Omega-3 yana umhimu mkubwa katika kuweka sawa homoni zako.
Kwa wanawake yana umhimu mkubwa kwani husaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi usiosawa na kupunguza dalili za kukoma kwa hedhi (menopausal symptoms). Omega-3 husaidia kuondoa sumu mwilini na vivimbe sehemu mbalimbali za mwili.
• Vitu vyenye omega 3 kwa wingi ni pamoja na mafuta ya samaki (yasiyo na mercury), walnuts, maharage ya soya, mafuta ya n**i, mafuta ya zeituni, mafuta ya mawese na mbegu za maboga. Tumia hivi vitu kila siku katika kuishi kwako ili kuweka sawa homoni zako.
2. VITAMINI D
kurekebisha homoni
Vitamini D ni mhimu kwa ajili ya tezi ya pituitari (pituitary gland) iweze kufanya kazi zake vizuri na ni tezi inayotengeneza homoni zingine nyingi mhimu.
Vitamini D pia husaidia kuondoa dalili zinazohusiana na usawa mdogo wa homoni ya ‘estrogen’. Vitamini D pia ina uhusiano na kiwango cha njaa ulichonacho na uzito pia.
Upungufu wa vitamini D unaweza pia kupelekea utolewaji usiosawa wa homoni nyingine ijulikanayo k**a ‘parathyroid’.
• Tembea juani wakati wa jua kali dakika 20 hadi 30 kila siku huku ukiwa wazi sehemu kubwa ya mwili wako.
• Kula vyakula k**a mafuta ya samaki, maziwa na mayai ya kuku wa kienyeji kila siku.
3. JISHUGHULISHE NA MAZOEZI YA VIUNGO
Kurekebisha homoni
Kujishughulisha na mazoezi ya viungo ndiyo njia rahisi ya kurekebisha homoni zako kwani mazoezi yanahusika katika uzalishaji wa hizo homoni. Mazoezi huipunguza nguvu homoni inayohusika na mfadhaiko (stresss) ijulikanayo kwa kitaalamu k**a ‘cortisol’.
Hii homoni ya Cortisol huidhibiti homoni nyingine mhimu ijulikanayo k**a ‘estrogen’ ambayo k**a itazidi basi inaweza kuleta madhara kwa afya yako yote kwa ujumla.
Mazoezi ya mara kwa mara huusaidia ubongo kutoa kemikali ambazo huongeza hali ya kujisikia vizuri (improves your mood). Jambo hili la kupelekea ujisikie vizuri husaidia kuweka sawa homoni zako.
Siyo hilo tu mazoezi yatakusaidia pia kuwa na uzito sahihi kwani uzito uliozidi ni sababu mojawapo inayopelekea homoni zako kutokuwa sawa.
Nusu saa ya mazoezi kwa siku inatosha. Tatizo wanawake wengi hawana habari na kitu kinaitwa mazoezi!
• Nenda kaogelee, katembee kwa miguu lisaa limoja, au kimbia taratibu (jogging) mara 3 mpaka 4 kwa wiki.
4. TUMIA MAFUTA YA N**I
Kurekebisha homoni
Mafuta ya n**i yale ya asili yaliyotengenezwa nyumbani bila kupita kiwandani ni dawa nyingine nzuri ya asili ya kurekebisha na kuweka sawa homoni zako. Mafuta haya huiwezesha tezi ya koromeo (thyroid) kufanya kazi zake vizuri.
Mafuta ya n**i pia husaidia kuweka sawa sukari katika damu, huongeza kinga ya mwili, huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusaidia pia kupunguza uzito. Mafuta haya ni mazuri kwa afya ya moyo wako na hayana kolesto yoyote mbaya.
Kunywa vijiko vikubwa viwili kila siku kwa mwezi mmoja hata miwili au hata mitatu kwa uhakika wa matokeo mazuri zaidi. Unaweza pia kuyaweka kwenye kachumbali. Pia nakushauri kila upikapo wali tumia tui zito la n**i na siyo wali tu hata katika mapishi mengine unaweza kutumia tui la n**i, kazi ni kwako.
5. UWATU PIA HUREKEBISHA HOMONI
Kurekebisha homoni
Madaktari wengi wa tiba asili duniani hushauri kutumia uwatu (kwa Kiingereza huitwa ‘fenugreeek’) kwa ajili ya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha. Uwatu hutumika pia k**a dawa ya asili ya kuongeza ukubwa wa matiti (natural breast enlargement).
Uwatu husaidia umeng’enywaji wa sukari mwilini na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa watu wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na uzito kupita kiasi (obesity).
• Chukua kijiko kikubwa kimoja cha unga wa mbegu za uwatu na uweke ndani ya glasi moja ya maji ya uvuguvugu, koroga vizuri na unywe yote. Fanya hivi kutwa mara 2 kwa mwezi mmoja mpaka miwili.
Unaweza kuongeza asali kidogo kupata radha. Unaweza kutumia pia ndani ya maziwa ya moto hasa k**a huna vidonda vya tumbo au kisukari.
6. TUMIA MREHANI (Basil)
Kurekebisha homoni
Mrehani hutumika pia k**a dawa ya asili ya kurekebisha homoni. Huiweka sawa homoni ya ‘cortisol’ ambayo k**a itazidi kuwa nyingi inaweza kuleta shida kwenye homoni koromeo (thyroid gland), Mirija ya uzazi na Kongosho. Wakati huo huo mrehani husaidia kuweka sawa akili yako na hivyo huleta hali ya kujisikia vizuri (good mood).
Unaweza kupata Mrehani ukiwa Dar kwenye soko la kisutu au hata kariakoo pia Zanzibar. Ni kiungo mhimu katika mahoteli mengi ya kitalii.
• Tengeneza chai ukitumia majani fresh ya mmea huu na unywe kikombe kimoja kutwa mara 3 kwa miezi miwili hadi mitatu.
MAMBO YA MHIMU KUZINGATIA:
Pamoja na dawa, zingatia haya yafuatayo kwa matokeo mazuri zaidi:
• Kula parachichi 1 kila siku
• Tumia vyakula asili zaidi kuliko vya kwenye makopo na migahawani (fast foods)
• Tumia vyakula vyenye nyuzinyuzi (fiber) nyingi kwenye chakula chako
• Epuka kahawa, chai ya rangi, soda nyeusi na vinywaji vingine vyote vyenye kafeina ndani yake
• Achana na msongo wa mawazo (stress) na upate usingizi wa kutosha kila siku
• Usitumie dawa za uzazi wa mpango k**a unahitaji kuweka sawa homoni zako
• Epuka vilevi vyote
• Kunywa maji mengi kila siku lita 2 hadi 3
• Usitumie vyakula vya moto kwenye vyombo vya plastiki
24/11/2022
Visit TikTok to discover videos! Watch, follow, and discover more trending content.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam