Kokuhumbya Afya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kokuhumbya Afya, Health/Beauty, Mbezi Louis, Dar es Salaam.
Leo ntazungumzia ugonjwa wa fangasi ukeni( valgin candidiasis)
Maambukizi sehemu za siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS, maambukizi haya pia hujulikana k**a ye'ast infection trush candida albicans hupatikana katika midomo,mpira wa kupitisha chakula(PHRYNiX)kibofu cha mkojo,uume au katika uke
Bacteria hao huishi bila kuleta madhara yoyote isipokuwa pale mazingira ya eneo husika yanatojadiliwa: mfano: mabadiriko katika phi yanayosababishwa na matumizi mabaya ya antibiotic pia kupungua kwa kinga kutokana na magonjwa tofauti.
VIATARISHI VYA MAAMBUKIZI YA FANGASI KATIKA UKE
Viatarishi vya maambukizu ukeni ni vingi sana ambavyo ni pamoja na mabadiliko ya mfumo wa homoni mwlini ambao husababisha mabadiliko sehemu za siri pia viatarishi vingine ni hivi.
Msongo wa mawazo
Matibabu ya homoni( hormonal replacement therapy)
Ujauzito
Kujamiana kinyume na maumbile kwa njia ya haja kubwa(anal s*x)
Kuvaa mavazi au nguo zinazoleta joto sehemu za siri
Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.
DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI
kuwashwa sehemu za siri
Kuhisi maumivu wakati wa tendo
Kuhisi kuwaka moto sehamu za siri
Kupata vidonda na michubuko sirini
Kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke
Kupata maumivu wakati wa kukojoa
Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaweza kuwa mzito au mwepesi au majimaji.
DALILI HIZI HUWA MBAYA ZAIDI HASA KIPINDI CHA HEDHI
17/07/2021
Una tatizo la uzazi? Au changamoto ya kupata mtoto. Tunawasaidia wakina mama kuondoa changamoto za uzazi na afya mwanamke ujumla
> Ugumba Sugu
> Homoni Imbalance
> Fangasi Ukeni
> Maumivu wakati wa tendo la ndoa
> Kukosa hamu ya tendo la ndoa
> PID Sugu
> UTI Sugu
> Kutoka Uchafu Ukeni
> Harufu Mbaya
> Chango la Uzazi
Pia tumeandalia darasa BURE darasa kupitia kundi la WhatsApp ili kukufunza namna ya kutokomeza maambukizi ya via vya uzazi bila kujirudia. Kupata Darasa hilo https://chat.whatsapp.com/Jq1vgPF6Rn3LK4iCR4lU0S bofya link uingie moja kwa moja kwenye kundi la WhatsApp ujipatie mafunzo. Ofa hii kwa wale watakaojiunga siku tatu za mwanzo. Waliochelewa watalipia Tsh 20000 kujiunga. Wahi ofa yetu
Mawasiliano 0753880242, 0688567885
Unatamani kurudisha heshima kwenye NDOA? Hujapata mtoto kwa mrefu? Nguvu za kiume ni tatizo? Una UTI Sugu na Fangasi..! Ukiwa mteja mteja wa kwanza Kokuhumbya Afya nitakupa punguzo la 30% kwenye tuba yangu..ofa ni ya Siku mbili kuanzia leo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbezi Louis
Dar Es Salaam
1815700