Afya Yangu
Karibuni sanaa katika page ya Afya yangu kupata suluhisho la kiafya kupitia Tiba lishe.
16/10/2019
FAHAMU KUHUSU BAWASIRI (HEMORRHOIDS)................................
Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa kuwa na uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
Ugojwa wa hemorrhoids (uwepo wa nyama) katika haja kubwa, ni changamoto sana siku hizi. Ugonjwa huu uwapata watoto hata na watu wazima
NINI HUSABABISHA BAWASIRI !
Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha , bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na bawasiri:
1. Kukosa haja kubwa au kupata choo kigumu kwa muda mrefu.
2. Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa.
3. Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile.
4. Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
5. Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
6. Kuharisha sana kwa muda mrefu
7. Kutumia vyoo vya
8. Kunyanyua vyuma vizito
9. Mfadhaiko/stress
10. Uzito na unene kupita kiasi (obesity).
JE UNASUMBULIWA NA TATIZO HILI ?
Zipo bidhaa ambazo zinasaidia mtu ambaye mwenye matatizo haya au anasumbuliwa na matatizo haya mara kwa mara. Bidhaa hizi si dawa lakini humsaidia mtumiaji katika:-
√ Kusafisha mfumo mzima wa chakula: hivyo utapata choo vizuri na kujiepusha usipate bawasiri na k**a unayo kupungua.
√Kuongeza lishe na mboga mboga katika mlo wake ili kuzuia usipate choo kigumu.
√ Kusaidia kuondoa maumivu yatokanayo na .
√Kumuongezea fiber mwilini hivyo usipate tatizo la kupata choose kigumu.
Bidhaa hizi hazina kemikali hivyo zinafaa kwa matumizi kwa watu wazima ili kuzuia na hata walioathirika na tatizo hili.
Tuwasiliane kwa
0654510667
PATA MWONGOZO ZAIDI KATIKA WHATSAPP KWA KUFUATA LINK HII
https:wa.me/255654510667
14/10/2019
BORESHA AFYA YA UZAZI NA TENDO LA NDOA KWA ARGI+
Kwanini utumie ARGI+
•••••••••••••••••••••••••••••
1. Argi+ itasaidia kwenye kuondoa sumu mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.
2. Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya pamoja na pressure.
3. Itasaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo,
4. Itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana.
5. Husaidia kwenye kupunguza kiwango cha Cholesterol kwenye damu.
6. Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupita umri wako.
7. Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.
8. Husaidia INI katika zoezi la kutoa sumu mwilini
9. Kusaidia kuzuia ukuaji wa dume,na pia kusaidia kuzalisha mbegu zenye afya
10. Husaidia kubalasi homoni aina zote zikiwemo Estrogen na progesterone pamoja na Testosterone. Hivyo kusaidia afya ya uzazi katika jinsia zote
MATUMIZI:-
Unaweza changanya na maji,juice fresh,maziwa au mtindi.
Kumbuka hivi ni virutubisho si dawa, na havina kemikali hatarishi ni vya asili 100%
Na haviuzwi katika maduka ya madawa,
Hupatikana katika Centre zetu.
Kuvipata Wasiliana nasi/text/ no
0654510667
0621174892
PATA MWONGOZO ZAIDI KATIKA WHATSAPP KWA KUFUATA LINK HII.
https://wa.me/255654510667
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mabibo
Dar Es Salaam