Tiba kwa Mwanandoa

Tiba kwa Mwanandoa

Share

Kutibu changamoto ya Afya ya Uzazi kwa Mwanaume na Mwanamke kwa Matokeo ya Moja kwa Moja

20/06/2023

*Vyakula vya vitamins K vina msaidia binadam kuepuka kupata ttzo la kuganda kwa damu [ blood clothing]*

20/06/2023

*Nimeona mtaalamu WA mchongo kapost eti baking soda ukiweka ukeni than ukaoga inaondoa harufu ukeni please ogoa sana sio Salama, uke na sikio ni kiungo kinajisafisha wenyewe,siku moja nitafamisha jinsi ya kusafisha uke ukiwa home*

12/06/2023

*Somo la muda huu ni special alafu dogo tu but lenye maana kubwa*

*Sometime ili mbegu ziruke kwa Speed yaani zifyatuke kwa Mwendo kasi hadi mwanamke wako asisimke unahitaji vitu vitatu tu , cha kwanza unahitaji madini ya kutosha mwilini ili uzalishe mbegu nyingi zenye Energy na Mikia, pili unahitaji uume wako usimame imara K**a msumari, tatu unahitaji mirija iwe inanyumbulika vizuri inapopitisha mbegu. Dozi ya virutubisho Asilia ARG PLUS , NATUREMIN na MULTIMACA inakuwezesha kuwa bora kwenye hivyo vitu vyote vitatu*. KARIBU SANA NDUGU UPATE USHAURI NA UIMARA ZAIDI.* Utaheshimika sana kwa Mwenza wako* Piga 0621544066

22/05/2023

NAOMBENI USHAURI:

NILIMDANGANYA KUWA NINA UJAUZITO WAKE AKAKUBALI, KUMBE ALIKUWA ANAJUA UKWELI.

Kaka mimi nilikuwa niko kwenye mahusiano na mume wa mtu ila pia nilikuwa niko kwenye mahusiano na mkaka ambaye ni mwanachuo cha kawaida.

Kipindi nampata huyu mume wa mtu ilibidi nimwambie huyu mpenzi wangu Kuwa kuna mbaba ananisumbua sana,huyu mwanachuo akanishauri nimkubalie huyu baba ili tuwe tuna kula hela zake.

Nilimkubalia huyu baba na tukaanza mahusiano rasmi,tumekaa kwenye mahusiano na huyu baba kwa miezi mitatu akawa ananihudumia kwa kila kitu,Nilivyoona huyu mume wa mtu ananihudumia kwa kila kitu nikamuomba huyu mwanachuo anipe ujauzito halafu nikamsingizie mume wa mtu ili yeye ndo ahudumie,kweli nilipata ujauzito wa huyu mwanachuo,na nilivyo mpelekea habari za ujauzito mume wa mtu alikubali kulea.

Ujauzito wangu kwa sasa una miezi mitano,Ijumaa ya wiki iliyo pita huyu mume wa mtu aliniita hoteli ambayo huwa tuna kutania kila weekend,nilivyofika pale hotelini tulifanya kila kitu k**a ilivyo kawaida,Baada ya kumaliza alienda bafuni,alivyo rudi aliniambia Kuwa " Najua huu ujauzito siyo wangu,na leo ndo siku yangu ya mwisho mimi na wewe" akanipa elfu 20 akaondoka zake na akaniambia nifute namba zake na yeye akafuta zangu mbele yangu.

Sasa dada mwenzio niko njia panda nashindwa kuelewa huyu mume wa mtu kajuaje k**a ujauzito siyo wake,na pia haitoshi huyu mwanachuo hana kipato chochote anasomeshwa na kaka yake,pia mimi sina kazi yoyote,Mpaka nawaza nikamweleze mke wa huyu baba pengine anaweza kunisaidia.

Jamani nifanyeje mimi Kaka.

CC✍️ Tiba kwa Mwanandoa

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwananyamara A
Dar Es Salaam