Charles na uzazi

Charles na uzazi

Share

Elimu ya afya ya uzazi wanawake na wanaume. ishi maisha marefu mtoto ni zawad. wa.me/+255759701945

02/08/2025

HII INAMUUMIZA SANA MWANAMKE ゚viralシfypシ゚viralシalシ

02/08/2025

ANZA MATIBABU MAPEMA NA UWEKE ORDER YAKO MAPEMA, ゚viralシfypシ゚viralシalシ

21/07/2025

MWANAUME K**A HUUKO TAYARI KUPOTEZA UJASILI WAKO NIPIGIE SIMU TULITATUE HILI,

゚viralシfypシ゚viralシalシ

20/07/2025

UMUHIMU WA KUSAFISHA KIZAZI:

Kwanini ni muhimu kusafisha kizazi cha mwanamke (uterus) mara kwa mara?
Kuna uchafu, bacteria na taka ambazo hujikusanya bila sisi kujua – hasa baada ya hedhi, mimba kutoka, au maambukizi ya mara kwa mara.
Usafishaji huu husaidia:

Kupunguza maumivu ya tumbo ya mara kwa mara

Kuongeza nafasi ya kupata mimba

Kuepuka magonjwa ya kizazi k**a PID

K**a unajuwa unapata maumivu makali ya Tumbo na hupati ujauzito basi nitumie ujumbe inbox Sasa hivi upate njia ya asili ili uweze Kusafisha kizazi chako ukiwa hapo nyumbani,

Jiandae, jifunze, jiongeze!
CHARLES NA UZAZI CLINIC
Ni sehemu sahii ili Kupata elimu ya uzazi,

📞/Whatsapp+255 759701945
゚viralシfypシ゚viralシalシ ❤️💞❤️fyp

20/07/2025

HII NI HESHIMA YA MWANAMKE ALIE OLEWA ゚viralシfypシ゚viralシalシ ❤️💞❤️fyp

20/07/2025

USISHANGAE UKIACHWA KWA HALI YAKO YA KUTOKWA UCHAFU, ゚viralシfypシ゚viralシalシ

20/07/2025

HII NI SIRI MUHIMU SANA KWAKO ゚viralシfypシ゚viralシalシ

19/07/2025

HAKIKA HATA WEWE INAWEZEKANA TUH KUITWA MAMA NA KUISHI KWA FURAHA NA MTOTO WAKO WA KWANZA,🫄🙏 ゚viralシfypシ゚viralシalシ

19/07/2025

K**A UNAAMINI WAKATI WAKO WA KUITWA MAMA UMEWADIA ANDIKA AMEN 🙏 ゚viralシfypシ゚viralシalシ

18/07/2025

FAIDA YA MAMBO HAYA MATATU KWA MWANAUME WAKO ゚viralシfypシ゚viralシalシ

18/07/2025

Kutokwa na Uchafu Ukeni – Ni Kawaida au Tatizo?

✅ Uchafu wa Kawaida (Normal Discharge):

Mwanamke mwenye afya nzuri anaweza kuona ute mweupe au wa maji unaotoka ukeni. Huu:

Hauna harufu mbaya

Hautokoti sana

Huweza kubadilika kulingana na siku za mzunguko wa hedhi

👉 Huu ni wa kusaidia kulainisha uke na kuzuia maambukizi.

⚠️ Dalili za Uchafu Usio wa Kawaida (Tatizo):

K**a unatokwa na uchafu wenye sifa zifuatazo, tafadhali chukua tahadhari:

Rangi ya kijani, njano, au kahawia

Harufu mbaya k**a ya samaki

Kuwashwa, kuungua, au maumivu ukeni

Uchafu unaoambatana na maumivu ya tumbo chini au maumivu wakati wa tendo la ndoa

Hii inaweza kuwa dalili ya:

Maambukizi ya fangasi (yeast infection)

Maambukizi ya bakteria (BV)

Magonjwa ya zinaa k**a Trichomonas, Chlamydia, au Gonorrhea

🛑 Usifanye:

Usitumie sabuni za ndani ya uke

Usitumie dawa bila ushauri wa daktari

Usijisafishe kwa kutumia vitu vya kemikali ndani ya uke

✅ Unachopaswa Kufanya:

Nenda hospitali kwa uchunguzi

Tumia dawa sahihi kulingana na majibu ya vipimo

Kuwa na usafi wa kawaida wa nje ya uke kwa maji ya uvuguvugu

Va nguo za ndani safi, zinazopumua (cotton)

📝 Niandikie ujumbe Whatsapp/PG+255759701945
Nikupe njia nzuri ufanye hapo nyumbani ili uweze kutibia Bila galama,

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:30
Tuesday 09:00 - 20:30
Wednesday 09:00 - 20:30
Thursday 09:00 - 20:30
Friday 09:00 - 20:30
Saturday 09:00 - 20:30