Charles na uzazi
Elimu ya afya ya uzazi wanawake na wanaume. ishi maisha marefu mtoto ni zawad. wa.me/+255759701945
HII INAMUUMIZA SANA MWANAMKE ゚viralシfypシ゚viralシalシ
ANZA MATIBABU MAPEMA NA UWEKE ORDER YAKO MAPEMA, ゚viralシfypシ゚viralシalシ
MWANAUME K**A HUUKO TAYARI KUPOTEZA UJASILI WAKO NIPIGIE SIMU TULITATUE HILI,
゚viralシfypシ゚viralシalシ
20/07/2025
UMUHIMU WA KUSAFISHA KIZAZI:
Kwanini ni muhimu kusafisha kizazi cha mwanamke (uterus) mara kwa mara?
Kuna uchafu, bacteria na taka ambazo hujikusanya bila sisi kujua – hasa baada ya hedhi, mimba kutoka, au maambukizi ya mara kwa mara.
Usafishaji huu husaidia:
Kupunguza maumivu ya tumbo ya mara kwa mara
Kuongeza nafasi ya kupata mimba
Kuepuka magonjwa ya kizazi k**a PID
K**a unajuwa unapata maumivu makali ya Tumbo na hupati ujauzito basi nitumie ujumbe inbox Sasa hivi upate njia ya asili ili uweze Kusafisha kizazi chako ukiwa hapo nyumbani,
Jiandae, jifunze, jiongeze!
CHARLES NA UZAZI CLINIC
Ni sehemu sahii ili Kupata elimu ya uzazi,
📞/Whatsapp+255 759701945
゚viralシfypシ゚viralシalシ ❤️💞❤️fyp
HII NI HESHIMA YA MWANAMKE ALIE OLEWA ゚viralシfypシ゚viralシalシ ❤️💞❤️fyp
USISHANGAE UKIACHWA KWA HALI YAKO YA KUTOKWA UCHAFU, ゚viralシfypシ゚viralシalシ
HII NI SIRI MUHIMU SANA KWAKO ゚viralシfypシ゚viralシalシ
19/07/2025
HAKIKA HATA WEWE INAWEZEKANA TUH KUITWA MAMA NA KUISHI KWA FURAHA NA MTOTO WAKO WA KWANZA,🫄🙏 ゚viralシfypシ゚viralシalシ
K**A UNAAMINI WAKATI WAKO WA KUITWA MAMA UMEWADIA ANDIKA AMEN 🙏 ゚viralシfypシ゚viralシalシ
FAIDA YA MAMBO HAYA MATATU KWA MWANAUME WAKO ゚viralシfypシ゚viralシalシ
18/07/2025
Kutokwa na Uchafu Ukeni – Ni Kawaida au Tatizo?
✅ Uchafu wa Kawaida (Normal Discharge):
Mwanamke mwenye afya nzuri anaweza kuona ute mweupe au wa maji unaotoka ukeni. Huu:
Hauna harufu mbaya
Hautokoti sana
Huweza kubadilika kulingana na siku za mzunguko wa hedhi
👉 Huu ni wa kusaidia kulainisha uke na kuzuia maambukizi.
⚠️ Dalili za Uchafu Usio wa Kawaida (Tatizo):
K**a unatokwa na uchafu wenye sifa zifuatazo, tafadhali chukua tahadhari:
Rangi ya kijani, njano, au kahawia
Harufu mbaya k**a ya samaki
Kuwashwa, kuungua, au maumivu ukeni
Uchafu unaoambatana na maumivu ya tumbo chini au maumivu wakati wa tendo la ndoa
Hii inaweza kuwa dalili ya:
Maambukizi ya fangasi (yeast infection)
Maambukizi ya bakteria (BV)
Magonjwa ya zinaa k**a Trichomonas, Chlamydia, au Gonorrhea
🛑 Usifanye:
Usitumie sabuni za ndani ya uke
Usitumie dawa bila ushauri wa daktari
Usijisafishe kwa kutumia vitu vya kemikali ndani ya uke
✅ Unachopaswa Kufanya:
Nenda hospitali kwa uchunguzi
Tumia dawa sahihi kulingana na majibu ya vipimo
Kuwa na usafi wa kawaida wa nje ya uke kwa maji ya uvuguvugu
Va nguo za ndani safi, zinazopumua (cotton)
📝 Niandikie ujumbe Whatsapp/PG+255759701945
Nikupe njia nzuri ufanye hapo nyumbani ili uweze kutibia Bila galama,
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala Boma
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 20:30 |
| Tuesday | 09:00 - 20:30 |
| Wednesday | 09:00 - 20:30 |
| Thursday | 09:00 - 20:30 |
| Friday | 09:00 - 20:30 |
| Saturday | 09:00 - 20:30 |