IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJUE AFYA YAKO, Health/Beauty, Makumbusho, Dar es Salaam.

25/05/2023

ZITAMBUE FAIDA NNE ZA MBEGU ZA MABOGA
1.Zinaongeza Maziwa kwa mama anyonyeshaye.
2.Zinasaidia kuondoa Msongo wa mawazo (stress)
3.Zinasaidia kuondoa tatizo la Tezi dume
4 .Zinaongeza nguvu za kiume
K**a ulikuwa hujaanza kutumia MBEGU ZA MABOGA anza sasa uone matokeo mazuri

03/10/2021

MSONGO WA MAWAZO NA
VISABABISHI VYAKE

1.Mahusiano
2.kutaka kila kitu kiwe sahihi mda
wote
3.Kazi nyingi
4.Matatizo ndani ya family
5.Mabadiriko ya kimaisha/kiuchumi
MADHRA YA MSONGO WA MAWAZO
1.upungufu wa Kinga za mwili
2.Kuzeeka haraka
3.Kushindwa kuzaa na kuzalishwa
4.Huleta mfadhaiko au stress
5.Upungufu wa nguvu za kiume
6.Chanzo Cha baadhi ya magonjwa mfn Shinikizo la damu

17/07/2021

HARUFU MBAYA UKENI
Hali ya mwanamke kutokwa na maji maji yenye rangi nyeupe au njano ni Hali ya kawaida.
Endapo yatatoka maji mazito meupe au kahawia yanayotoa harufu yakiambatana na muwasho hapo kutakuwa na tatizo.
Mwanamke kutoka na Ute unaoteleza ukeni ni Hali ya kawaida hapo via vya uzazi vinajisafisha au kutoa uchafu wa cell zilizo kufa na mabaki ya damu ya hedhi kutoka n'je na pia n kukiwekea ulinzi zidi ya maambukizi ya bacteria.
Mwanamke hutoa kiasi Cha gram 2 za cell zilizo kufa toka kwenye mji wa mimba na gram3 za Ute mwepesi kila siku,hutegemeana na mzunguko wa edhi.

CHANZO CHA TATIZO
Yeast infection;kwa kawaida Kuna kiasi Kidogo Cha yeast(candida albicans)katika uke kinapo zidi ndipo tunasema Kuna maambukizi hutokana na mabadiriko ya hali ya hewa uken(change in the PH balance of va**na
2.Sexual transmitted Deaaiz
Wanao fanya ngono zembe wapo ktk hatar ya kupata tatizo hili
3.vaginiosis
Huongezeka ghafla kwa idadi ya bacteria na kuvuruga uwiano wa kawaida katika mazingira ya uke
4.Vagina or cervical cancer

TAAZARI
Usitumie antibiotics mda mrefu
Usiingize vidole ukeni
Usitumie vyakula vingi vyenye sukari sana
Vaa nguo za ndan za pamba,usafi wako bnafs.
Kwa leo tuishie hapa tutaendelea

06/04/2021

FAIDA YA KUNYWA MAJI MWILINI.
Asilimia kubwa ya mwili wa binadamu ni maji.
Zaidi ya asilimia 60 ya uzito wa mwili wa binadamu ni maji ambayo husaidia kufanya kazi mbali K**a ifuatavyo;
1.Maji hurekebisha joto la mwili
2.Husaidia utengenezwaji wa Maj maji katika viungo vua mwili kwa mfano viwiko vya mikono na magoti
3Maji husaidia kuondoa uchafu na mabaki ya sumu ndani ya mwili kwa njia ya mkojo au jasho la mwili
4.Huzuia uwezekano wa baadhi ya Magonjwa kumshambulia
Mtu mfano Mawe kwenye Figo na Magonjwa ya kibofu Cha mkojo
5.Husaidia katika uyeyushwaj wa wa chakula na usafirishaji wa virutubishi na ufonzwaji wa virutubishi mwilini
Jitahidi kwa usiku unywe kiasi Cha glass nane za maji
Mpaka Lita tatu kwa siku utapata faida nyingi ndani ya mwili wako

27/03/2021

TATIZO LA TUMBO KUJAA GES
Tatizo hili hutokea pindi hewa inapo ingia tumboni wakati unameza chakula na gesi inayotoka ktk vyakula mbali mbali tunavyokula kwa hiyo hupelekea kujaa tumboni na kwenye utumbo mdogo
VISABABISHI
1.Kunywa vinywaji vyenye Carbonate mfn Cola ,vyakula vyenye gesi ex Maharagwe,cabbage
2.Kuwa na msongo wa mawazo na hasira
3.Kula vyakula vyenye mafuta mengi
4.Kula huku unaongea na haraka haraka
5.Uvutaji wa sigara
6.Magonjwa na maambukizi katika mfumo wa chakula
TIBA YAKE
Hali hii inaweza kuwakuta vijana,wazee na watu wa aina zote,unaweza tumia chai ya tangawizi na karafuu
Lala kwa ubavu wa kushoto na uheme kwa haraka itafanya gesi itoke
Kunywa glas ya maji ya Motokwa msaada zaidi waweza wasiliana nasi

13/03/2021

TATIZO LA UKOSEFU WA HAMU YA KULA
Halii hii huweza watokea watu wa aina zote watoto, vijana kwa wazee
CHANZO
1Matumiz ya Antibiotics
2.Msongo wa mawazo
3.Kuumwa mda mrefu
4.Shinikizo la damu
5.upungufu wa Vitamin mwilin
TIBA
1.Kula Chakula Bora chenye mboga mboga za kutosha
2.Kupunguza mawazo

27/02/2021

TATIZO LA MIGUU NA MIKONO KUFA GANZI
Hali hii husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa Neva za pembezoni ya mwili(Peripheral neuropathy)
hivo husababisha kushindwa kufanya kazi kwa Neva za sehemu husika(miguuni au mikononi).
DALILI ZA TATIZO HILI
1.Kuhisi kitu chenye ncha Kali kinachoma miguuni/kwenye nyayo au kwenye vidole
2.Kuhisi miguu au mikono ina kufa ganzi.
3.Miguu au mikono kufa ganzi
4.Kuhisi umevaa kitu kwenye miguu au mikono mfano Soks.
CHANZO CHA TATIZO HILI
1.Sana Sana hutokana na mwili kukosa vitamins vya kutosha mfano Vitamin B Complex
2.Matumizi ya dawa kwa muda mrefu mfn ARV na TB
3.Ugonjwa wa Kisukari
4.Uzito mkubwa wa mwili
5.Shinikizo la damu
MATIBABU
Tatizo hili linatibika kwa kupewa ushauri wa kula vyakula vyenye kuongeza vitamin na matibabu mengine yatakayo onekana yanafaa

Photos from IJUE AFYA YAKO's post 20/02/2021

Jari Afya yako kwanza ndio mtaj wako wa kwanza

Photos from IJUE AFYA YAKO's post 13/02/2021
05/02/2021

HORMONE IMBALANCE
Hili ni tatizo la kutokuwa sawa sawa kwa homoni za uzazi wa mwanamke,mwanaume na Hata watoto pia,
Lakini kwa leo tuangalie tatizo hili kwa upande wa wanawake
VYANZO VYA TATIZO
1.Aina ya maisha tunayo ishi
Sambamba na vyakula tunavyo tumia asilimia kubwa vina chemical ambazo zikiingia mwilini zinaenda leta mvurugiko wa homoni
2.Kubeba ujauzito
3.Magonjwa mfano UTI,Magonjwa ya moyo na Kisukari
4.Uvimbe kwenye kizazi
5.Msongo wa mawazo
DALILI ZA TATIZO
1.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2.Kutokushika mimba
3.Maumivu Makali wakati wa tendo la ndoa
4.Uke kuwa mkavu wakati wa tendo la ndoa
5.Kusinyaa kwa uke
6.kutokwa na Chunusi au mapele usoni
7.Kupata hedhi yenye mabonge au nzito
8.Hedhi ya muda mrefuu
9.kukosa usingizi
10.Kuingezeka uzito na kushindwa kupungua
Tatizo hili linatibika kwa kurudisha mfumo wa homoni kurejea K**a hawali kwa kupata vipimo na matibabu sahihi

4.uk

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam