Afya Ya Mwanamke

Afya Ya Mwanamke

Share

wanawake wote wenye matatixo mbali mbali ya afya ya uzazi sasa ni mwisho wa tatizo lako..karib ujifunze pamoja nasi na kuamua kulimaliaza kabisa tatzo lako���

karibu tukusaidie kumaliza kabisa changamoto zako zote za afya ya uzazi

Photos from Afya Ya Mwanamke's post 20/10/2021

Usiruhusu p.i.d ikusababishie UGUMBA....lakin vleh vleh Kam una tatzo lolote la afya ya uzazi bc usisite kuwasilian nasi KWA nambari 0746315933 tukusaidie 🙏

14/10/2021

KIPANDA USO ".♐

♐Ni Nini ? ♐

♐Kipanfauso ni Jina la Jumps la Maumivu Ya Kichwa Yanayoshamiri Hasa Nyakati za Asubuhi Yanayo sShabihiana na Kuongezeka au Kukua Kwa Miale Ya Jua♐

♐Mara Nyingi Maumivu Haya Yamekuwa Yakihusishwa na Kuchomoza na Kupanda Kwa Jua Hasa Nyakati Za Asubuhi Kutokana na Miale Inayotoka Kwenye Jua Kuchochea Ongezeko la Maumivu Hayo Yanayoweza Kutokana na Sababu Mbali Mbali.

♐Maumivu Ya Kichwa Yanayobusishwa na Kipanfauso Yamegawanyika Sehemu Nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yamepitiliza au Ya Muda Mrefu.

♐ K**a Vile Concussion of Brain , Meningitis , Encephaliti na Viashiria Vya Stroke. Kuumwa na kichwa pia inawezatokana na matatizo ya Misuli au Mishipa Ya Damu Inayozunguka taya , Matatizo Ya Tissue au Misuli ya Taya , Meno au Hata Kula vitu vya Baridi zaidi Mara Kwa Mara.

♐Kula Vyakula Vyenye Nitrite au Monosodium Glutamate.♐

♐Sehemu ambazo huuma ni k**a ifuatavyo:

- Mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa.
- Baadhi ya neva za fahamu zilizoko usoni.
- Misuli ya kichwani.
-Mishipa inayopatikana kwenye fuvu la kichwana chini ya ubongo kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo kwa zenyewe haziumi kwani hazina mifumo ya fahamu ambayo inahisia.

♐Yapo Mambo 12 ambayo yanahusika sana.

1:Nervous tension headaches;

- Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo,kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia vitamin b2 na c , ounguza au acha matumizi ya sukari,kahawa,chakula chenye kukusababishia mzio,misongo ya mawazo na ufanye mazoezi yakutosha.

2: Cluster headaches;

- Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na mak**asi kwa mbali. Kitu cha kwanza ni kutumia chakula chenye protein ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio kwako.

3: Hangover headaches;

- Hii ni hali ya kichwa kuuma kwa sababu ya matumizi makubwa ya vinywaji vikali haswa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kichogoni au shingoni,kunywa maji mengi na juice ya matunda freshi na uache pombe.

4: Exertion headaches;

- Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na haswa kwenye ngono. Weka barafu linalouma, kula mlo kamili na usifanye mazoezi.

5: Caffein headaches;

- Hali hii hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa kuondoa maumivu na upunguze matumizi kidogokodogo mpaka utakapo acha kabisa.

6: Sinus headaches;

- Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vitamini C kwa wingi na umuone mtaalamu wa afya maana saa zingine hii utkana na maambukizi.

7: Bilious headaches;

Kichwa na macho huuma haswa kipanda uso na husababishwa na kula sana, kula vibaya, kutofanya mazoezi na kukosa choo. Fanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.

8: Hunger headaches;

- Maumivu ya kichwa ambaya husababishwa na kutokula kwa muda. Kula chochote ilimradi kiwe ni protein au carbohydrates .

9: Eyes ram headaches.

- Haya ni maumivu yanayotokea kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo saa zingine inaweza kuwa sababu. lakini chanzo chake haswa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha na k**a ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuana mtaalamu aangalie k**a lensi zimepotea nuru au la.

10: Menstrual headaches;

- Hali hii hutokea kwa kina mama kipindi cha yai kupevuka. Hutokana na mabadiliko ya hormone, muone mtaalamu wa afya.

11: Arthritis headaches;

- Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na saa zingine mpaka mgongoni ambayo husababisha maumivu haswa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo.

12: Hypertension headaches;

- Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu na halii itaisha bila shaka.

- Kabla ya Kupata Matibabu Yoyote Kuhusiana na Matatizo ya Kipanda Uso Kuna Mambo Kadhaa Unapaswa Kujiuliza : -

-Je unapata Usingizi wa kutosha?
-Unalala usiku masaa mangapi?
- Je, unakunywa maji ya kutosha?
-Una miaka mingapi?
-Unapata haja kubwa ya kutosha?
- Utaratibu Wako Wa Kuamka Ukoje ?
- Ukiamka Unakurupuka tu au Unasubiri Kutoa Nafasi Ya Damu Kusambaa Vizuri Kwenye Ubongo ?

♐Ushauri♐

♐Nenda Pia kapime macho yako na kwenye mishipa ya fahamu huenda Kuna matatizo na Na Pia Ufanyiwe Uchunguzi wa Ugonjwa wa Sinusitis.
♐Kwa Mtu anayejishughulusha na Kazi za Juani awe anavaa Kofia.

Kwa Msaada Zaidi : WASILIANA NASI KUPITIA Number 0746-315933

12/10/2021

*MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI.*

MAUMIVU WAKATI WA HEDHI HII NI HALI YA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI, INAHUSISHA VIUNGO VYA UZAZI NA MWILI KWA UJUMLA AMBAPO KITAALAMU INAITWA “ GYNECOLOGICAL MEDICAL CONDITION”.

TATIZO HILI LINAPOTOKEA MWANAMKE HUATHIRI SHUGHULI ZAKE ZA KILA SIKU. KWA KAWAIDA MWANAMKE ANAPOANZA MZUNGUKO WA DAMU ZAKE ZA HEDHI HUPATA MAUMIVU KIDOGO NA HILI NI KUTOKANA NA HALI YA KUKAMUA AU KUMINYA KIZAZI ILI KUTOA DAMU ILIYOPO NDANI. MAUMUVU HAYA HUWA MAKALI, AU SIO MAKALI SANA. WAKATI MWINGINE HALI HII HUAMBATANA KICHEFU CHEFU, KUHISI MOTO TUMBONI AU MAUMIVU MAKALI YANAYOKUJA NA KUPOTEA.
VILE VILE HALI HII HUSABABISHA DAMU VYINGI KUTOKANA NA KUPOTEZA AU KUTOKA KIDOGOKIDOGO KWA DAMU NDEFU. MAUMIVU YA WAKATI WA HEDHI YAMEGAWANYIKA KATIKA MAKUNDI MAKUU MAWILI, KWANZA NI MAUMIVU YAITWAYO “PRIMAY DYSMENORRHEA” NI MAUMIVU YANAYOWAPATA WASICHANA NA WADOGO AMBAO HAWAJAWAHI KUPATA UJAUZITO AU KUZAA.

AINA NYINGINE NI SECONDARY DYSNORRHEA, HII INASABABISHWA NA MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI, AU ENDAPO KUNA KASORO AU ISIYOKUWA YA KAWAIDA NDANI YA KIZAZI AU KWA NJE YA KIZAZI.
CHANZO CHA TATIZO MAUMIVU WAKATI WA HEDHI HUSABABISHWA NA HALI IITWAYO “ ENDOMETRIOSIS” AMBAPO LILE TABAKA LA NDANI YA KIZAZI HUWA NJE YA KIZAZI, VYANZO VINGINE NI UWEPO WA MATABAKA YA KIZAZI AU UVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI NA MATATIZO KATIKA NYONGA, WENGINE WANAOPATA HALI HII NI WALE WANAOTUMIA NJIA YA UZAZI WA MPANGO YA KITANZI. VYANZO HIVI TULIVYOELEZA VINAWAPATA WANAWAKE WATU WAZIMA AU WANAWAKE WALIO KATIKA UMRI WA KUZAA.
PAMOJA NA KWAMBA YALE MAUMIVU YA PRIMARY DYSMENORRHEA HUWAPATA ZAIDI WASICHANA WADOGO, LAKINI PIA SABABU HIZI TULIZOZIONA ZINAWEZA KUKUSABABISHIA KUMTOKEA HATA MSICHANA AMBAYE HAJAWAHI KUZAA.
DALILI ZA MAUMIVU HAYA HUWA CHINI YA KITOVU KUANZIA USAWA WA KITOVU, PIA MAUMIVU HUSAMBAA KUSHOTO AU KULIA NA KUELEKEA MAPAJANI HADI KIUNONI. MAUMIVU HUAMBATANA NA KICHEFU CHEFU, KUTAPIKA NA WAKATI MWINGINE KUHARISHA NA WENGINE KUFUNGA KUPATA HAJA KUBWA, MAUMIVU YA KICHWA NA KIZUNGUZUNGU, MAUMIVU HUWA MAKALI NA WENGINE HUZIMIA. MAUMIVU HUANZA TARATIBU MARA TU BAADA YA KUMALIZA KIPINDI CHA UPEVUSHAJI MAYAI NA HUONGEZEKA KIPINDI CHA DAMU NA KUISHA PALE ANAPO MALIZA DAMU YA HEDHI. ATHARI ZA TATIZO MAUMIVU WAKATI WA HEDHI HUMKWAMISHA MTU ASISHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHUGHULI ZAKE ZA KIJAMII, MWANAFUNZI HUSHINDWA KUUDHURIA KIKAMILIFU MASOMO.

TATIZO PIA HULETA GHARAMA KWA MGONJWA NA FAMILIA KATIKA SUALA ZIMA LA MATIBABU. ATHARI YA TATIZO NI UGMBA. MWANAMKE MWENYE MAGONJWA KATIKA MFUMO WA UZAZI AMBAYO YANASABABISHA MAUMIVU ANAWEZA KUTOPATA UJAUZITO NA HATA BAADAYE KUFANYIWA UPASUAJI WA KUONDOA KIZAZI. ANAWEZA KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA PIA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU YANAWEZA KUWA ENDELEVU, YAANI YAKAWA HAPO SIKU ZOTE KWA HIYO KILA SIKU AKAWA ANALALAMIKA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU ENDELEVU ATAPATA MAAMBUKIZI BASI ATATOKWA NA UCHAFU AU MAJIMAJI UKENI AMBAKO HUTOA HARUFU AU MUWASHO. KWA MAALEZO ZAIDI TAFADHALI USISITE KUWASILIANA NASI,

```KAMA WEWE UNASUMBULIWA NA TATIZO HILI, AMA NDUGU,JAMAA, MPENZI AU RAFIKI YAKO NA TAFADHALI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0746 -315933 UPATE USHAURI SAHIHI WA MOJA KWA MOJA NAMNA YA KUJIKINGA USISUBIRI TATIZO LIKAKOMAA NA UKAPATA UGUMBA AU KUTOWEZA KUZAA KABISA.```

Photos from Afya Ya Mwanamke's post 10/10/2021

VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA NI

____________________
🪄1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).

🪄2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.

🪄3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.

🪄4.Mirija ya uzazi kujaa maji.

🪄5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).

🪄6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.

🪄7.Kuwa na msongo wa mawazo.

🪄8.Utoaji wa mimba (Abortion).

🪄9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).

🪄10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.

🪄11.Matumizi ya madawa.

🪄12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.

_________________Je Ni wewe au rafiki yako anatafuta Mtoto kwa muda Mrefu? Karibu tukuhudumie,. Wengi WALIOTUAMINI Wamepona, wengine wameshika mimba mapacha😍

Tupo # DAR ES SALAAM_- *Mwenge - lufungila*
Jengo la TANZANITE TOWER jiran na mlimani city .
Mikoa Mingine Pia Tutakutumia
Karibu KATIKA jukwaa la mafinzo BURE Kila siku

Wasiliana Na Doctor Moja kwa Moja;👇

📱0746315933
women awareness
-ya-Mwanamke
Tumekuandalia program maalumu
Usipitwe na Program hii.

Photos from Afya Ya Mwanamke's post 10/10/2021

VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA NI

____________________
🪄1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).

🪄2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.

🪄3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.

🪄4.Mirija ya uzazi kujaa maji.

🪄5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).

🪄6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.

🪄7.Kuwa na msongo wa mawazo.

🪄8.Utoaji wa mimba (Abortion).

🪄9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).

🪄10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.

🪄11.Matumizi ya madawa.

🪄12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.

_________________Je Ni wewe au rafiki yako anatafuta Mtoto kwa muda Mrefu? Karibu tukuhudumie,. Wengi WALIOTUAMINI Wamepona, wengine wameshika mimba mapacha
Mikoa Mingine Pia Tutakutumia
Karibu KATIKA jukwaa la mafinzo BURE Kila siku

Wasiliana Na Doctor Moja kwa Moja;👇

📱0746315933
women awareness
-ya-Mwanamke
Tumekuandalia program maalumu
Usipitwe na Program hii

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Dar Es Salaam