Omahe afya care

Omahe afya care

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Omahe afya care, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Photos 23/05/2020

K**A UNAPATA CHOO KIGUMU AU HUPATI CHOO KABISA KWA BAADHI YA SIKU SOMA HAPA.

Watu wengi huchukulia poa tatizo la kupata choo kigumu au kutopata choo kwa siku moja au mbili wengine mpka wiki.

HAYA NDIO MADHARA YA KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA CHOO KWA BAADHI YA SIKU

👉 Kuota uvimbe sehemu ya haja kubwa (Bawasiri). Usipochukua hatua mapema Bawasiri hio itakuletea Madhara makubwa sana

👉kuujisikia maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa,
👉Haja kubwa kuwa na damu wakati wa kujisaidia,
👉muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa.

👉mgonjwa kupata upungufu wa damu (anemia)
👉 Tatizo likiwa la mda mrefu unakua katika hatari ya kupata canser ya utumbo
👉kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na kuathirika kisaikolojia.
👉 Kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume

SURUHISHO LA KUDUMU👇👇👇👇👇
Tumia bidhaa ya forever alovera gel
FAIDA ZA FOREVER ALOE VERA GEL,
KINYWAJI HIKI CHA ASILI
1- Huondoa sumu mwilini.
2- Hutumika k**a kinga mwilini kwa magonjwa yasiyo ambukiza k**a kisukari Presha n.k
3- Kutibu maradhi ya tumbo, kusafisha na kusaidia mmeng'enyo wa chakula.
4- Kutibu tatizo la kukosa choo
5- Kusaidia uponyaji wa - presha - kisukari - vidonda vya tumbo n.k
6- Kuondoa vimbe tumboni
7- Kuongeza nguvu mwilini
8- Kuondoa aleji mwilini n.k

NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI ZA JIRANI.

Piga +255769765512 kwa maelekezo zaidi.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam