Afya Kiganjani
Taasisi isiyo ya kiserikali. Utoaji wa elimu ya magonjwa yasiyoambukizwa (NCDs) Kwa njia ya digital
05/11/2023
Hello there!
Are you ready to dive deep into the world of non-communicable diseases?_
Afya Kiganjani has prepared a series of insightful podcast sessions just for you, that will involve a real life storytelling experiences from health professionals and people's with NCDS_ Don't miss out on this amazing opportunity to expand your knowledge. Your warm welcome awaits! Stay tuned, it's coming soon
29/09/2023
Wizara ya Afya Tanzania
Elimu Ya Afya
World Health Organization (WHO)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI
28/09/2023
✨☘️World rabies day ✨☘️.
_.
✨Avoid pet contact with wild animal_
✨Get the rabies vaccination ✨_.
_.✨Pet vaccination _✨
Wizara ya Afya Tanzania
Elimu Ya Afya
UNICEF TANZANIA
World Health Organization (WHO)
21/09/2023
Kutokana na sababu mbalimbali za kimaisha wanaume wasio na uwezo wa kufanya mazoezi wanashauriwa kula mchanganyiko huu ili kuzuia uwezekano wa kupata tezi dume;
Nyanya 1,Hoho 1,Karoti 1 kisha ichemshwe kwa dakika 5 na kuongezewa mafuta meupe{bikra} ya mzeituni kijiko 1 cha chakula.
Wizara ya Afya Tanzania
Elimu Ya Afya
UNICEF TANZANIA
World Health Organization (WHO)
21/09/2023
Tafiti zinaonesha kuwa kufanya tendo la ndoa hupunguza nafasi ya kupata saratani ya tezi dume , na hii ni kwa sababu muda wa kileleni tezi ya prostate hutoa maji ambayo huweza kuwa na kemikali zinazoweza kupelekea saratani ya tezi dume.
Hivyo mwanaume anapofika kileleni hutoa kemikali izo na kujikinga na saratani ya tezi dume🍃.
Wizara ya Afya Tanzania
Elimu Ya Afya
UNICEF TANZANIA
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
World Health Organization (WHO)
10/09/2023
Psoriasis ni ugonjwa wa ngozi unaosababishwa na mfumo wa kinga ya mwili kufanya kazi vibaya. kwa kiswahili, psoriasis hujulikana k**a "ukurutu wa ngozi." Ugonjwa huu husababisha seli za ngozi kukua haraka sana, hivyo kusababisha kuundwa kwa madoa meupe au nyekundu kwenye ngozi.
Wizara ya Afya TanzaniaWorld Health Organization World Health Organization (WHO)World Health Organization (WHO)World Health Organization (WHO)Elimu Ya AfyaBeat Diabetes
25/08/2023
Gastroparesis ni hali ya hitilafu inayotokea katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hususani eneo la tumboni ambapo seli za neva hushindwa kupokea ama kupeleka taarifa kwaajili ya uchambuzi katika eneo mfumo wa fahamu wa katikati hivyo kupelekea misuli ya chakula kushindwa kusaga chakula tumboni . ambapo halii ya chakula kutosagwa vizuri tumboni hufahamika k**a gastoparesis (kupoozaa kwa tumbo)
mala nyingi changamoto hii huambatana na kutapikaa chakula k**a kilivi pasipo kumemeng’enywa, ttumbo kuuma n.k
Pia changamoto hii imekua ikiwakumba wagonjwa wa sukari hasa hasa type 2 diabetes, hivyo basi , ni vema kuzingatia na kujiepusha na matumizi ya vyakula vinavopelekea sukari .
Tunaweza izuiaa au kupunguza kwa kuondoa matumizi ya vyakula vya mafutamafuta na fiber( nyuzi)
Pia upatapo changamoto hii ni vema kumuona daktari kwenye kituo cha afya karibu yako*
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
UNICEF TANZANIA
17/08/2023
Tambua kwamba , afya yako ni muhimu kuliko mali ulizonazo . fanya yafuatayo kuwa na afya bora
¥ Kula la mlo kamili (chakula
kilichoshikiria aina zote za vyakula yaani wanga, mafuta, vitamini na maji)
¥Jijengee tabia ya kufanya mazoezi angalau kwa dakika 30 mara tatu kwa wiki ( jasho litoke)
¥Acha matumizi holela ya pombe na sigara.
¥Kumbuka kuweka safi mazingira yako yanayokuzunguka .
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
UNICEF TANZANIA
@
17/08/2023
*🍃Hali hiyo huweza kujitokeza wakati wa joto kali ambapo joto husafiri kutoka eneo la mazingira na kuingia ndani ya gari (ambayo imezimwa), kutokana na mfumo wa kujifunga (closed sytem) wa gari hupelekea utokaji wa joto kuwa taratibu hivyo joto la ndani huendelea kuongezeka na kufikia hatua ambayo hupoteza maisha ya mwanadamu k**a yupo ndani , tafiti za *CDCgov* zinaonesha kuwa joto la mazingira likiwa 80 nyuzi za sentigredi basi ndani ya dk 20 joto la ndani ya gari litapanda hadi 109 nyuz za sentigredi *.
*Hivyo basi , hali hii inatukumbusha watumiaji wa magari kutoacha watoto wetu ndani ya gari hasa kipindi cha joto kali ili kuwatoa katika mazingira hatrishi ya kifo hasa hasa mda tunapoingia masokoni au kwenda kupata hudum pemben ya balabala*🍃
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
UNICEF TANZANIA
17/08/2023
Epuka matumizi ya vyakula vyenye mafuta kwa wingi k**a baga, pizza na chipsi kwani huweza kupelekea kitambi na magonjwa mengine.
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
UNICEF TANZANIA
17/08/2023
Zingatia Sana Afya yako📌
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
Wizara ya Afya
UNICEF TANZANIA
10/08/2023
Fahamu uhusiano wa bawasiri na ujauzito..
Chukua tahadhari.
Wizara ya Afya Tanzania
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya
Beat Diabetes
UNICEF TANZANIA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam