Aisha na afya bora

Aisha na afya bora

Share

PATA SULUHISHO LA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO VYA ASILIA

19/10/2024

MWANAMKE K**A UNAPITIA CHANGAMOTO HIZI NIPIGIE📞+225754452158 kwa msaada zaidi

13/06/2023

Karibu tukupatie tiba ya kudumu ya Bawasiri bila upasuaji:, kwa mawasiliano zaidi piga 0754452158

24/05/2023

PONA TEZI DUME BILA UPASUAJI
KWA SIKU 90 TU
WASILIANA NAMI KWA NAMBA
0754452158

23/05/2023

Mwanamke pata suluhisho la la tatizo lako ,tupigie 0754452158

31/03/2021

*PATA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI*
Piga 0766189074
WhatsApp 0786707791
◇TEZI DUME
Ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analogue,tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
*Kazi ya tezi DUME* kutoa majimaji yanayobeba/ kuzilinda mbegu(manii)za mwanaume
◇Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa na kawaida au saratani.

• *Kuna aina tatu za MAGONJWA ya TEZI TEZI DUME*
1•Maambukizi ya bakteria(prostatitis)

2•Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign prostatic Hypertrophy-BPH)

3•Saratani ya tezi dume
**TEZI DUME KUTANUKA*
Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo husababishwa na ugonjwa wa saratani (kansa).
Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee, miaka inavyoenda ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa na kufanya njia ya mkojo na kuziba hivyo mkojo kutoka polepole.
*_ZINGATIA*
_UGONJWA WA KUTANUKA KWA TEZIDUME NI UGONJWA WA WANAUME WAZEE_
*DALILI ZA KUPANUKA KWA TEZI DUME*
1•Kukojoa mara nyingi nyakati za usiku( *hii ni dalili ya mapema sana)*
2•mkojo kutiririka polepole hukatikakatika na kulazimika kutumia nguvu kutoka
3•Mkojo kushindwa kutoka hata unapohisi kukojoa
4•mkojo kutoka bila kisirisiri na kusababisha kuloa kwa nguo za ndani
5•kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
6•kibofu hakiishi mkojo

*MADHARA YA TEZIDUME*
▪︎MKOJO KUSHINDWA KABISA KUTOKA
▪︎Madhara kwenye kibofu na figo
▪︎Maambukizi ya mawe kwenye kibofu na figo
*ZINGATIA* kutanuka kwa tezi dume ugonjwa wa saratani
*Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani*

●Dalili za saratani ya tezi dume
1•Udhaifu katika utoaji mkojo,mkojo hauishi
2•Kwenda kukojoa mara kwa mara
3•Mkojo kutoka na damu
4•Kushindwa kukojoa
5•Maumivu ya mifupa na nyonga

**MATIBABU* Namna ya kutatua tatizo la tezi dume ,kuvimba kwa tezi dume na saratani ya tezi dume kwa kutumia bidhaa zetu za asili kabisa na zimewasaidia wanaume wengi sana kupona TEZI DUME BILA UPASUAJI
Piga 0766189074
WhatsApp 0786707791

30/03/2021

TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO, MIGUU, NYONGA, NA MAUNGIO MENGINEYO BILA MADHARA WALA UPASUAJI
(Piga 0766189074)
(WHATSAPP 0786707791)
Yawezekana ni wewe au ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu analalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a:
✓MAGOTI(Knee Joint), ✓NYONGA,
✓BEGA(Shoulder Joint) ✓KIUNO na
✓MGONGO.

Kitaalamu ni kwamba katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao (synonvio fluid) ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO.
Pia kuna kitu k**a sponji au plastiki ya asili iitwayo cartilage au (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kuzuia mfupa na mfupa visisagane.
Hivyo plastiki au sponji (cartilage), hii kwa kushirikiana na ute-ute juu yake, ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini, kiasi kwamba unaweza ukakunja mguu, ukainama na kufanya shughuli yoyote bila shida wala maumivu.

Kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea, virutubisho asilia vinavyosaidia kutengeneza ute ute (synovial fluid) vinapungua na hatimaye kuisha kabisa kadri umri unavyoongezeka.
Hivyo ute-ute unapoisha katikati ya viungo na hatimaye gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana.
Hiii kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS na husababisha maumivu makali kwenye maungio (joints) k**a vile, magoti, nyonga na mgongo.

CHANZO_CHA_TATIZO
•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)

Endapo usipotibu tatizo hili kuna uwezekano mkubwa wa kufanyiwa upasuaji na kuwekewa cartilage za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana na k**a ni mgongo unaweza usitembee kabisa.

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
✓maumivu kwenye magoti, nyonga na mgongo.
✓Kushindwa kukunja goti au kuinama.
✓Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
✓Kusikia milio ya mifupa KUSAGANA kwenye maungio k**a magoti.
✓Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama.
✓Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguu.

MATIBABU
Kwa hospitalini utapewa dawa au kufanyiwa mazoezi (physiotherapy) ambapo hupunguza au kutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia pale pale kwa sababu hazisaidii kuongeza ute ute wala gegedu.
Badala yake huishia kufanyiwa upasuaji kwa gharama kubwa.

LAKINI:
Habari njema ni Kwamba, sisi tunazo dawa (NI VIRUTUBISHO) asili kabisa zinazoongeza ute ute kwenye maungia na kuziponya cartilage au sponji zinazozuia mifupa kusagana na huondoa maumivu kwenye maungio kabisa.
-Dawa hiii imetengenezwa kwa gluceseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha ute-ute (synovial fluid) na gegedu (cartilage) iliyolika au kusagika.
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS.
(Piga 07666189074)

17/02/2021

KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA, 0766189074/0786707791

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
√UZAZI-MIMBA NA KIPINDI CHA KUJIFUNGUA

👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

# # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞

√NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)

√INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,

√HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,

Piga AU WATSUP 0766189074/0786707791kupata huduma na ushauri.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

17/02/2021

SULUHISHO LA TATIZO LA
VIUNGO NA MIFUPA 0766189074

Viungo na mifupa ni tatizo linalowasumbua watu wengi sana

Watu wengi wanasumbuliwa na nyonga,mgongo,kiuno,magoti na pingili za mgongo,
Karibu leo upate virutubisho vizuri ambavyo vimewasaidia watu wengi sana kutatua changamoto za viungo na mifupa na wamepona kabisa
PIGA hizi NO 0766189074 upate HUDUMA

17/02/2021

KINGA NA SULUHISHO LA TEZI DUME BILA UPASUAJI. 0766189074/0786707791
Tezi dume ni nini ..ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..

Mtu anapofikisha miaka arobaini na tano na kuendelea, hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Kuvimba huko husababishwa na umri,mfumo wa hormoni kubadilika au mfumo wa maisha kwa ujumla
Hivyo pale unapokojoa,mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara nne au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu kumaliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHISHO
Kupitia virutubisho vya asili vinavyokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.kupata huduma zetu tupigie kupitia namba zetu :- au WhatsApp no;0766189074/0786707791

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam