Dr.Fitness_Nutrition
Medical doctor in making |Muhimbili
Trains you on Fitness�
Advice on healthy nutrition �
Tips on healthy lifestyle
Eat well��, Get fit�, Enjoy life
07/06/2022
01/06/2022
Ni muhimu kuzingatia afya ya uzazi.
01/06/2022
Unene uliokithiri huambatana na magonjwa ya moyo, magonjwa ya mishipa, kisukari, shinikizo la juu la damu na upungufu wa nguvu za kiume
Kuepuka unene uliokithiri
1.Fanya mazoezi yasiyopungua dakika 45 mara 4 hadi 5 kwa wiki,
2. Kula mlo kamili wenye mboga mboga na matunda ya kutosha, punguza chumvi, mafuta au sukari ya nyongeza kwenye chakula, epuka vyakula vyenye sukari,au mafuta mengi,
3. kuwa na vipindi vya mfungo wa afya angalau siku mbili kila mwezi.
4. Epuka matumizi ya pombe na sigara.
01/06/2022
Vifaa vya muhimu kwa ajili ya mazoezi ukiwa nyumbani 💪
01/06/2022
Pata matibabu sahihi ya nguvu za kiume, ili kuepuka kuongezeka kwa tatizo hilo ukitumia matibabu yasiyosahihi
01/06/2022
Zambarau(Syzygium cumini) ni tunda la msimu lenye umuhimu mkubwa katika kuimarisha afya, Kwani lina faida zifuatazo
1.Kusaidia kuongeza damu kwani lina madini chuma kwa wingi.
2.Kuimaridha afya ya moyo na mishipa ya damu na kupunguza hatari ya shinikizo la damu la juu
3. Kuratibu kiwango cha sukari mwilini, na kuzuia kisukari na kuleta ahueni kwa wagonjwa kisukari.
4.Huimarisha afya ya ngozi, kinywa/fizi na koo
5. Huzuia constipation na kuimarisha afya ya mfumo wa chakula
01/06/2022
Kwa wale wanaohitaji kupunguza uzito au kuboresha afya ya mwili kwa mazoezi, wanahitaji kuzingatia mtindo bora wa maisha 💪🥑🍉
30/05/2022
Leucine, Isoleucine ,Valine na Arginine ndiyo amino acids muhimu zaidi katika kujenga misuli kwa mtu wa mazoezi ya viungo. Amino acids hizi hupatikana kwa wingi katika vyakula vifuatavyo 1.mayai 2.Uyoga 3.Samaki wa aina mbalimbali 4.mimea jamii ya mikunde hasa Soya, njegere na maharage meusi(black beans ) 5.Jibini(Cottage cheese)
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam