Afya ya mifupa

Afya ya mifupa

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ya mifupa, Health/Beauty, Dar es Salaam.

01/04/2023

Moja ya changamoto kubwa inayosumbua watu katika jamii Ni maumivu makali ya viungo na mifupa

Na nimekutana na watu wengi ambao wamehangaika Ma HOSPITALINI bila kupata nafuu na mpaka wengine kufanyiwa upasuaji na kuwekewa vyuma ila still Bado wana PITIA maumivu makali ya viungo na mifupa

Sababu kubwa ya changamoto hizi za maumivu ya viungo ni

Upungufu wa UTE UTE (synovial fluids) na kulika kwa GEGEDU (cartilages) hivyo hupelekea maungio kuwa Makavu na kuongeza msuguano katika maungio na kupelekea maumivu makali sana ya viungo

MAGOTI
KIUNO
UTI WA MGONGO
MABEGA

SABABU NYENGINE ZA ZIADA
-kukaa sana chini Muda mrefu /hasa wafanya kazi mahofisini/Madereva wa masafa

-AJALI
-UMRI kuwa mkubwa sana kupelekea kuathiri virutubisho vya kuzalisha UTE UTE MWILINI kupungua

SULUHU ya changamoto hii Ya maumivu makali ya viungo na mifupa tunayo kwa Tiba mbadala asili na unapona bila kufanyiwa upasuaji 100%

Kwa msaada wa Karibu zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:-

0675187707 (WhatsApp/normal call)

Pia tunatoa elimu bure juu mifupa na viungo kwa group la WhatsApp kujiunga gusa link hii
👇🏿

https://chat.whatsapp.com/HTdPIDPfzrn7QISPWh6voO

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam