Luo naturals

Luo naturals

Share

Tunauza bidhaa za ngozi asilia

07/04/2023

Kidude cha maajabu balaaa la suguu🙌🏿
Hii kitu inaondoaa suguu balaaaa🙌🏿za mikono za magoti ni za vidoleni ili ni balaaaaa kengine
Matokeo ni uwakika kwanzia wiki ya kwanza ya matumiz
15000 tu free derivery kwa wateja wote wa Dar es Salaam siku za ijumaa jumamosi na juma pili weka odder yako siku moja kabla
Yaaan ili ni balaaaa la dawa zote za sugu mjini

Photos from Luo naturals 's post 07/04/2023

Essence tonning gel oil 25000/=
Hii oil ni kwajili ya kutibu matatizooo almost yote ya ngozi unapaka kwanzia usoni mpka kidoleni
Ni oil iliyotengenezwa kwa mfumo wa gel ili ipenyewhad kwenye ngozi ndani ili kutibu tatizo kwa haraka na upraising
❤️Inatibu madoa sugu,(k**a unamadoa usoni yamegoma kutoka)
❤️ni dawa kibokoo cha michirizi unatumika mpaka kwa wajawazito bila shida yoyote ni kibokoo ya michirizi jaman nakazia kibokooo ya michirizi
❤️inatoa madoa sugu na weusi wa chini ya mapaja kwenye makwapa (pia unaweza itumia kuzuia vipele na muwasho baada ya kushave
❤️Hii essence toning ni nzurii sanaa sanaa
Matokeo uhakika kwanzia wiki mbili za matumiz
Tunahuduma ya free derivery kwa wakazi wa dar siku za ijumaa jmosi na jpili
Weka odder siku moja kabla

Photos from Luo naturals 's post 07/04/2023

Gee’s vitamin C Body creamy 20000/=
Tukisema rangi moja mwili Mzima tunamaaanishaaa🙌🏿kibokooo
Hii cream ni kibokooo kwajili ya kungarisha ngozi ya mwilini ni nzuriii sanaa sana inarahinisha ngozi na kukupa rangi moja mwili Mzima bila kuchubua ngozi yako
❤️hutoa madoa yote katika ngozi ya mwili ikiwemo matango tango mba wa ngozi na madoa yakiyosababishwa na areji ya ngozi
❤️inarahinisha ngozi vizuri sanaa na kuipa tone Nzuriii sanaa bila kuchubua ngozi yako
❤️k**a unataka kung’aa sanaa tumia na serum 15000
❤️❤️freee derivery dar siku za ijumaa jmosi na jpili
Weak odder siku moja kabla

Photos from Luo naturals 's post 07/04/2023

Gee’s face cream 15000tu
Hii kitu ni kwajili ya ngozi ya uso kazi yake kubwa ni
❤️inatakatisha ngozi vizur sanaa bila kuchubua ngozi
❤️kutengeneza ngozi iliyoungua na cream kali
❤️chunusi na madoa sugu
❤️ngozi iliyoungua na jua
❤️madoa sugu na mikunjo ya uzee
Ni kwajili ya ngozi haina zote na matokeo I kwanzia wiki moja ya matumiz
K**a ngozi yako imeshindikina ndugu kimbilia apaa ni balaaaa
Tuna freee derivery kwa wakazi wa dar siku za ijumaa jmosi na jpili weka odder yako siku moja kabla

18/03/2023

Kibokoo ya sugu zoteee za mapaja za vidole za makwapa 15000tu tunafanya derivery popote dar
Mikoani tunatuma
🔥hii kitu moto wake ni wa kuotea mbali
📌usipake usoni paka sehem zenye sugu tu

Ni mls 20 kwa 15000
Tunauza jumla na reja reja tunapack kwa label binafsi❤️
Freee derivery siku za ijumaa jmosi na jpili kwa dar weka odder yako siku moja kabla
Mikoani tunatuma
Tupige/tuwatsapp 0744847931

06/03/2023

Wakati tunasikiliza ushauri
Hivi ndivyo unavyotumia Sabuni zetu ku scrub uso wako make sure unascrub vizuriiii
Kwa dakika kadhaaa

✅Whittening soap 18000 ndog kubwa 28000
Made with kojic acid,collagen,glutathione blends skin tone and whitens skin
✅Black soap ndogo 15000 kubwa 25000
Made with activated chorcal,Dead Sea muld,msm powder repairs skin by treating acne and all

Instock ✅wholesale and private label

Photos from Luo naturals 's post 06/03/2023

Whittening soap 18000 ndogo kubwa 28000
Sabuni Nzuriii sanaaa kwa kung’arisha ngozi k**a hutaki kabisaa Kung’aa usiguse
🐥inakupa rangi moja mwili Mzima
🐥huondoa madao chunusi mba wa ngozi na mafuta kwenye ngozi
🐥hung’arishaa ngozi sana

Ukitumia sabuni hii Sema bye 👋
❌wekundu mashavuni
❌green veins (mishipa ya kijani)
❌rangi tatu tatu
❌chunusi,madoa,mba wa ngozi,matangotango

✅hutumika kwa ngozi za aina zotee
✅inapovu zuri sana na uku Acha na unyevu unyevu

❇️imetengenezwa na kojic acid collagen na glutathione maalum kabisaa kwajili ya kung’arisha ngozi

Note✅k**a ngozi yako inamatatizo sana mabaya chunusi sugu areg anza na black soap
✅DERIVERY NI ELF MBILI TU KWA WAKAZI WA DAR SIKU YA IJUMAA JUMAMOSI NA JUMAPILI

MAWAKALA NAFASI ZIPO

Tupigie 0744847931

13/01/2023

👌👌sabuni kibokoo ya madoa na ngozi zilizoshindikana kung’aa
15000 kopo dogo
✅inakupa rangi moja mwili Mzima
✅inatoa taka taka zote za ngozi na kung’arisha ngozi ndani ya mda mfupi
✅✅hii sabuni kazi yake kubwa ni kung’arisha ngozi hivyo k**a hutaki kung’aa usitumie hii
✅✅ni nzuri sana sana kwa ngozi ngumu zisizoshika mafuta hiii kitu ni balaaaaa🔥🔥🔥🔥

TUNAUZA JUMLA NA REJA REJA NAFASI ZA UWAKALA ZIMEJAA

WAKALA MWANZA +255 755 556 266

Photos from Luo naturals 's post 13/01/2023

Team rangi moja mwili Mzima wapenda kung’ara bila cream kali
Tuna hii soap paste kibokooo
20000tu
✅hii sabuni hutoa taka taka zote za ngozi na kuku Acha na ngozi safi rangi moja mwili Mzima
✅hutoa chunusi madoa k**a unamatango tango
✅✅HUNGARISHA NGOZI SANA HUSIITUMIE K**A HUTAKI KUNG’AA AU KUA MWEUPE

NAFASI ZA MAWAKALA ZIMEJAA

WAKALA MWANZA +255 755 556 266

13/01/2023

Kafacial ketu 15000/=Katamu kabisaa 👌
✅aka ni special kwajili ya uso tu yaan wenye madoa umeungua na cream kali jua unawekundu usoni game changer
✅inatakatisha ngozi ya uso vizuri vizuriii sanaaaaaaaaaaaa
✅unatumika kwa watu wa aina zote za ngozi
Tupigie 0744847931

Photos from Luo naturals 's post 13/01/2023

Darksports and spotless remover cream 2 in one
Hii kitu kiboko 🔥🔥🔥imejaribiwa na haijatuangusha
✅inatoa sugu zote vidoleni makwapani magotini na pembeni ya mapaja
✅k**a unamadoa na sugu miguuni k**a kwenye hiyo picha apo yaan miguu imeshindikana hii kibokooo
✅nzuri sana kwa sugu zote mwilini
Ndogo 15000/= kubwa 28000/=

NAFASI ZA MAWAKALA ZIMEJAAAA
Aya wenzangu namimi wenye sugu na mikono k**a maindi ya kuchoma kitu ikiii apa tuko vereeeeee
15000/=tu
Matokeo kwanzia wiki moja ya matumizi
✅hiii kitu ni kiboko ya sugu zote vidoleni kwapani magotini inamaliza kabisaaaaaaa miguuni

TUNAUZA JUMLA NA REJA REJA NAFASI ZA UWAKALA ZIPO MTAJI KWANZIA LAKI MOJA

WAKALA MWANZA +255 755 556 266

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Kigamboni
Dar Es Salaam