Afya tips
kwa Sasa afya imekuwa changamoto sana, hasa hasa mago
07/04/2021
https://chat.whatsapp.com/IfOy2fAuZOkCPwoE6dUcQb
*Mbinu 11 za kupunguza uzito na unene bila mazoezi wala kufunga kula**
1. Kula chakula pole pole
Ubongo wako unahitaji muda wa kutosha kushughulika na hilo tendo la kutafuna na kumeza chakula.
Kula pole pole kunahusiana moja kwa moja na kuweza kula chakula kichache na kujisikia kushiba.
Ni muda gani unatumia kumaliza chakula chako unaweza kuathiri pia uzito wako.
Utafiti unaonyesha watu wanaokula kwa haraka haraka hutokewa kuwa na uzito mkubwa pia ukilinganisha na wale wanaokula pole pole.
Jaribu hii haitakugharimu kitu.
2. Tumia sahani ndogo kwa vyakula visivyo na afya
K**a itakutokea ukataka kula vyakula visivyo na afya ambavyo huongeza uzito kirahisi basi jaribu kutumia sahani ndogo na siyo unayotumia kila siku. Mara nyingi watu wengi chakula kinapoisha kwenye sahani hujiona tayari inatosha.
Hivyo sahani ndogo inakifanya chakula kionekane kingi na kikubwa na hivyo kuridhisha macho na njaa yako kwa ujumla.
Kazi inabaki kuwa kwako mara zote.
3. Kula zaidi protini
Vyakula vyenye protini vina matokeo makubwa upande wa njaa. Vyakula hivi vinakufanya ujisikie umeshiba kwa kipindi kirefu k**a ilivyo kwa vyakula vyenye nyuzinyuzi.
K**a kwa sasa asubuhi unakula chakula cha asubuhi chenye wanga mwingi k**a mikate, chapati au maandazi au hata wali basi unaweza kuhamia kula vyakula vyenye protini nyingi k**a vile mayai.
Vyakula vingine vyenye protini nyingi ni pamoja na korosho, samaki, mtindi, parachichi, karanga, mbegu za maboga, nk nk
4. Weka mbali vyakula visivyo na afya
Vyakula vile unavyofahamu kwa hakika kwamba huongeza uzito na unene kirahisi ni vema ukavihifadhi mbali na macho yako hivyo hutashawishika kutaka kuvila.
Hili nalo ni rahisi kulitekeleza na kazi inaendelea kuwa kwako tu.
5. Kula zaidi vyakula vyenye nyuzinyuzi
Vyakula vyenye nyuzinyuzi (faiba) vinao uwezo wa kukufanya ujisikie umeshiba kwa muda mrefu.
Vyakula hivi mara nyingi hutokana na mimea hasa maharage, machungwa, parachichi, mbegu za maboga, karoti, mayai, ndizi, nk
6. Acha kukaa kwenye kiti masaa mengi
Umewahi kujaribu kufanya mazoezi, kubadili chakula au hata kufunga na bado ukawa unasumbuliwa na kitambi au uzito kuwa mkubwa? Basi jibu la tatizo lako ni kukaa kwenye kiti masaa mengi.
Utafiti unaonyesha kukaa tu kwenye kiti hata k**a hauli chakula kingi bado utaendelea kuongezeka uzito.
Kwahiyo k**a unataka kuondoa kitambi au tumbo au kupungua uzito kwa haraka acha kukaa masaa mengi kwenye kiti, hata k**a kazi yako ni ya ofisini jaribu namna unaweza kupata meza ya kusimama huku unaendelea na kazi yako.
7. Pakuwa vyakula visivyo na afya kwenye sahani nyekundu
Mbinu hii ya kushangaza ni kuwa unachohitaji kufanya ni kuweka chakula ambacho si afya yaani vile vinavyoongeza uzito k**a chipsi, maandazi na vingine k**a hivyo katika sahani ambayo ni nyekundu .
Utafiti mmoja ulionyesha kuwa watu walifanikiwa kula chakula kidogo baada ya kuwa wanawekewa chakula kwenye sahani nyekundu ukilinganisha na wakati walipowekewa kwenye sahani za rangi nyingine.
Maelezo ni kuwa mara nyingi tunahusianisha rangi nyekundu na alama ya kusimama na maonyo mengine katika maisha yetu ya kila siku.
8. Acha vinywaji vyenye sukari sana
Viongeza utamu vya kutengenezwa (artificial sweetners) na sukari kwa ujumla vimekuwa vikiwekwa kwenye vinywaji vingi miaka ya sasa.
Vinywaji vyenye sukari k**a soda vimekuwa vikihusishwa na kuongezeka kwa mwili moja kwa moja.
Ni rahisi zaidi kuongezeka uzito ukitumia vinywaji hivi kwakuwa nishati yake ni rahisi kubebeka na kuvumilika tofauti na ile ya kwenye vyakula vigumu.
Kukaa mbali na vinywaji hivi na juisi nyingine zozote za dukani na hata za nyumbani zenye sukari ni namna nzuri ya kudhibiti uzito bila kuhitaji mazoezi wala kufunga kula.
Badala yake kunywa zaidi zaidi maji au chai ya kijani (green tea) au chai ya viungo mbalimbali (spiced tea) ukitumia asali kwa mbali badala ya sukari.
9. Pata usingizi mzuri na epuka msongo wa mawazo
Linapokuja suala la kuwa na afya bora kupata usingizi mzuri na kutokuwa na msongo wa mawazo (stress) ni vitu viwili haviepukwi. Usingizi na sress vyote viwili vinaweza kuwa na matokeo ya moja kwa moja kuhusu njaa na uzito wako.
Ukosefu wa usingizi mzuri kunaweza kuzisababishia homoni zinazohusika na kuweka sawa njaa (leptin na ghrelin) kutokufanya kazi zake vizuri. Homoni nyingine iitwayo “cortisol” ambayo inahusika na utulivu pia inakuwa imeongezeka sana wakati unapokuwa na msongo wa mawazo.
Homoni hizi zikiwa zimesumbuliwa hivyo kiasi chako cha njaa kitaongezeka pia uhitaji wako wa kula vyakula visivyo na afya utaongezeka mara dufu.
Kile ulikuwa hujuwi ni kuwa k**a hupati usingizi mzuri na wa kutosha unakuwa na uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa kisukari aina ya pili.
10. Wakati unakula usitumie simu au kompyuta
Kuwa makini na akili yote ukiiweka katika chakula tu kunaweza kusaidia kula kidogo.
Watu ambao wanakula huku wanatumia simu, kompyuta au wanaangalia luninga (TV) au wanacheza gemu huwa wanakula chakula kingi bila wao kujua.
11. Kunywa maji mara kwa mara
Kunywa maji mara kwa mara kunaweza kukusaidia kula chakula kidogo na hivyo kupunguza uzito hasa k**a utakunywa nusu saa au robo saa kabla ya chakula.
Kunywa nusu lita nusu saa kabla ya chakula na utaona umefanikiwa kula chakula kidogo na hivyo utaweza kupungua uzito kirahisi.
Hutakawia kuona faida ya mbinu hii k**a utakuwa umeamua kila siku kunywa maji kila mara na zaidi kila nusu saa kabla ya chakula.
NB:KUJIFUNZA ZAIDI KUHUSU MBINU NA SIRI ZA KUPUNGUA UZITO PASIPO MAZOEZI TAFADHALI BOFYA HII LINK HAPA CHINI
ONYO:K**a huna changamoto ya uzito USIGUSE hii link
https://chat.whatsapp.com/IfOy2fAuZOkCPwoE6dUcQb
DIET & WEIGHT LOSS 7DAYS WhatsApp Group Invite
07/04/2021
https://chat.whatsapp.com/IfOy2fAuZOkCPwoE6dUcQb
*Mbinu 11 za kupunguza uzito na unene bila mazoezi wala kufunga kula**
1. Kula chakula pole pole
Ubongo wako unahitaji muda wa kutosha kushughulika na hilo tendo la kutafuna na kumeza chakula.
Kula pole pole kunahusiana moja kwa moja na kuweza kula chakula kichache na kujisikia kushiba.
Ni muda gani unatumia kumaliza chakula chako unaweza kuathiri pia uzito wako.
Utafiti unaonyesha watu wanaokula kwa haraka haraka hutokewa kuwa na uzito mkubwa pia ukilinganisha na wale wanaokula pole pole.
Jaribu hii haitakugharimu kitu.
2. Tumia sahani ndogo kwa vyakula visivyo na afya
K**a itakutokea ukataka kula vyakula visivyo na afya ambavyo huongeza uzito kirahisi basi jaribu kutumia sahani ndogo na siyo unayotumia kila siku. Mara nyingi watu wengi chakula kinapoisha kwenye sahani hujiona tayari inatosha.
Hivyo sahani ndogo inakifanya chakula kionekane kingi na kikubwa na hivyo kuridhisha macho na njaa yako kwa ujumla.
Kazi inabaki kuwa kwako mara zote.
3. Kula zaidi protini
Vyakula vyenye protini vina matokeo makubwa upande wa njaa. Vyakula hivi vinakufanya ujisikie umeshiba kwa kipindi kirefu k**a ilivyo kwa vyakula vyenye nyuzinyuzi.
K**a kwa sasa asubuhi unakula chakula cha asubuhi chenye wanga mwingi k**a mikate, chapati au maandazi au hata wali basi unaweza kuhamia kula vyakula vyenye protini nyingi k**a vile mayai.
Vyakula vingine vyenye protini nyingi ni pamoja na korosho, samaki, mtindi, parachichi, karanga, mbegu za maboga, nk nk
4. Weka mbali vyakula visivyo na afya
Vyakula vile unavyofahamu kwa hakika kwamba huongeza uzito na unene kirahisi ni vema ukavihifadhi mbali na macho yako hivyo hutashawishika kutaka kuvila.
Hili nalo ni rahisi kulitekeleza na kazi inaendelea kuwa kwako tu.
5. Kula zaidi vyakula vyenye nyuzinyuzi
Vyakula vyenye nyuzinyuzi (faiba) vinao uwezo wa kukufanya ujisikie umeshiba kwa muda mrefu.
Vyakula hivi mara nyingi hutokana na mimea hasa maharage, machungwa, parachichi, mbegu za maboga, karoti, mayai, ndizi, nk
6. Acha kukaa kwenye kiti masaa mengi
Umewahi kujaribu kufanya mazoezi, kubadili chakula au hata kufunga na bado ukawa unasumbuliwa na kitambi au uzito kuwa mkubwa? Basi jibu la tatizo lako ni kukaa kwenye kiti masaa mengi.
Utafiti unaonyesha kukaa tu kwenye kiti hata k**a hauli chakula kingi bado utaendelea kuongezeka uzito.
Kwahiyo k**a unataka kuondoa kitambi au tumbo au kupungua uzito kwa haraka acha kukaa masaa mengi kwenye kiti, hata k**a kazi yako ni ya ofisini jaribu namna unaweza kupata meza ya kusimama huku unaendelea na kazi yako.
7. Pakuwa vyakula visivyo na afya kwenye sahani nyekundu
Mbinu hii ya kushangaza ni kuwa unachohitaji kufanya ni kuweka chakula ambacho si afya yaani vile vinavyoongeza uzito k**a chipsi, maandazi na vingine k**a hivyo katika sahani ambayo ni nyekundu .
Utafiti mmoja ulionyesha kuwa watu walifanikiwa kula chakula kidogo baada ya kuwa wanawekewa chakula kwenye sahani nyekundu ukilinganisha na wakati walipowekewa kwenye sahani za rangi nyingine.
Maelezo ni kuwa mara nyingi tunahusianisha rangi nyekundu na alama ya kusimama na maonyo mengine katika maisha yetu ya kila siku.
8. Acha vinywaji vyenye sukari sana
Viongeza utamu vya kutengenezwa (artificial sweetners) na sukari kwa ujumla vimekuwa vikiwekwa kwenye vinywaji vingi miaka ya sasa.
Vinywaji vyenye sukari k**a soda vimekuwa vikihusishwa na kuongezeka kwa mwili moja kwa moja.
Ni rahisi zaidi kuongezeka uzito ukitumia vinywaji hivi kwakuwa nishati yake ni rahisi kubebeka na kuvumilika tofauti na ile ya kwenye vyakula vigumu.
Kukaa mbali na vinywaji hivi na juisi nyingine zozote za dukani na hata za nyumbani zenye sukari ni namna nzuri ya kudhibiti uzito bila kuhitaji mazoezi wala kufunga kula.
Badala yake kunywa zaidi zaidi maji au chai ya kijani (green tea) au chai ya viungo mbalimbali (spiced tea) ukitumia asali kwa mbali badala ya sukari.
9. Pata usingizi mzuri na epuka msongo wa mawazo
Linapokuja suala la kuwa na afya bora kupata usingizi mzuri na kutokuwa na msongo wa mawazo (stress) ni vitu viwili haviepukwi. Usingizi na sress vyote viwili vinaweza kuwa na matokeo ya moja kwa moja kuhusu njaa na uzito wako.
Ukosefu wa usingizi mzuri kunaweza kuzisababishia homoni zinazohusika na kuweka sawa njaa (leptin na ghrelin) kutokufanya kazi zake vizuri. Homoni nyingine iitwayo “cortisol” ambayo inahusika na utulivu pia inakuwa imeongezeka sana wakati unapokuwa na msongo wa mawazo.
Homoni hizi zikiwa zimesumbuliwa hivyo kiasi chako cha njaa kitaongezeka pia uhitaji wako wa kula vyakula visivyo na afya utaongezeka mara dufu.
Kile ulikuwa hujuwi ni kuwa k**a hupati usingizi mzuri na wa kutosha unakuwa na uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa kisukari aina ya pili.
10. Wakati unakula usitumie simu au kompyuta
Kuwa makini na akili yote ukiiweka katika chakula tu kunaweza kusaidia kula kidogo.
Watu ambao wanakula huku wanatumia simu, kompyuta au wanaangalia luninga (TV) au wanacheza gemu huwa wanakula chakula kingi bila wao kujua.
11. Kunywa maji mara kwa mara
Kunywa maji mara kwa mara kunaweza kukusaidia kula chakula kidogo na hivyo kupunguza uzito hasa k**a utakunywa nusu saa au robo saa kabla ya chakula.
Kunywa nusu lita nusu saa kabla ya chakula na utaona umefanikiwa kula chakula kidogo na hivyo utaweza kupungua uzito kirahisi.
Hutakawia kuona faida ya mbinu hii k**a utakuwa umeamua kila siku kunywa maji kila mara na zaidi kila nusu saa kabla ya chakula.
NB:KUJIFUNZA ZAIDI KUHUSU MBINU NA SIRI ZA KUPUNGUA UZITO PASIPO MAZOEZI TAFADHALI BOFYA HII LINK HAPA CHINI
ONYO:K**a huna changamoto ya uzito USIGUSE hii link
https://chat.whatsapp.com/IfOy2fAuZOkCPwoE6dUcQb
27/03/2021
Upungufu Wa Uzalishaji Wa Mbegu Za Kiume (LOW S***M COUNT) Na Visababishi Vyake
Upungufu katika uzalishaji wa mbegu za kiume inahusiana na kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii.
Mbegu za kiume huwa zinachunguzwa kwa kutumia kifaa maalum katika
maabara, kwa kawaida mwanaume ili aweze kumpa mwanamke mimba anatakiwa atoe kiasi cha mbegu kati ya milioni ishirini hadi milioni mia nne kwa tendo, chini ya milioni ishirini huwezi kumpa mimba mwanamke.
Endapo kiwango cha mbegu zitakuwa kidogo kitaalam hali hiyo huitwa ‘Oligospermia’ na k**a huna kabisa mbegu hali hiyo huitwa
‘Azoospermia.Dalili za kutokuwa na mbegu za kiume Hakuna dalili za moja kwa moja kusema kwamba utaumwa kitu fulani, lakini dalili
zifuatazo huambatana na tatizo hili;
=kwanza ni kukaa katika mahusiano kwa kipindi
kisichopungua mwaka mmoja lakini mwenzi wako hapati mimba,
=kushindwa kufanya
tendo la ndoa kwa uume kukosa nguvu’ Low
s*x Drive’ na
=ukisimama unashindwa
kuendelea na kumalizia tendo ‘Erectile dysfunction’ pamoja na kuwahi kumaliza tendo la ndoa.
=Maumivu na uvimbe wa korodani, =kupungua kwa vinyweleo na ndevu kutoota pia ni dalili inayoashiria matatizo ya uzazi kwa mwanaume kwani ni ishara ya upungufu wa
Kromozomu au homoni za kiume.
Hizo zote ni dalili kuu za matatizo ya uzazi kwa mwanaume.
Kipindi au Wakati gani wa kumuona daktari au mtaalamu?
Endapo umekaa na mwenzio mwaka mmoja au zaidi, mnafanya tendo la ndoa bila kinga yaani kizuizi chochote wakati wa kupangilia ujauzito lakini mimba haipatikani. K**a una matatizo ya nguvu za
kiume au unawahi kumaliza tendo la ndoa. Unakosa hamu ya kufanya tendo la ndoa au uume unalegea wakati wa tendo pia ni mojawapo ya chanzo.
Unakuwa na maumivu ya korodani au korodani kuvimba, maumivu ya uume na maumivu wakati wa kukojoa au uwepo wa kivimbe katika uume.
Chanzo cha tatizo Uzalishaji wa mbegu za kiume unafuatana
na ubora wa korodani k**a haina tatizo lolote na kiwango bora cha mfumo wa homoni mwilini mwako. Homoni zinadhibitiwa katika ubongo na kuimarisha korodani zizalishe mbegu. Mbegu zikishazalishwa,
husafirishwa na mirija midogo sana na laini hadi katika tezi dume ’Prostate gland’ ambayo kazi yake kubwa ni kuzalisha manii.
Matatizo katika mbengu za kiume ni kutokuwepo kwa mbegu kunakosababishwa na hitilafu au matatizo kwenye korodani, kuzalisha mbegu zenye kasoro, mbegu zisizo na kiasi na mbegu chache.
Matatizo ya korodani husababishwa na joto kali katika korodani, maambukizi katika korodani na uume na kuumia korodani. Mishipa ya damu kulalia korodani ‘Variocele’ pia ni mojawapo ya tatizo kubwa la kuziba
kwa mirija ya usafirishaji mbegu hizo.
Zipo pia sababu za kimazingira zinazoathiri uzalishaji wa mbegu za kiume mfano kemikali za viwandani, rangi za viwandani
au majumbani, dawa za mashambani na za kuua wadudu, mionzi ya X- Ray, kukaa kwenye joto kali, kuvaa nguo za kubana na
kukaa mahali kwa muda mrefu, kupakata kompyuta ‘(Lap top)’ kwa muda mrefu, matumizi ya sigara, bangi na madawa mengine ya kulevya kwa muda mrefu na
ulevi uliokithiri. Uzito mkubwa wa mwili na matatizo ya akili.
Matibabu na ushauri hufanyika baada ya uchunguzi ambapo
daktari atatoa dawa kuzingatia na tatizo lililopo. K**a hakuna mbegu zipo chache au kuna maumivu au kasoro zozote. Uwepo wa kasoro
za viungo vya uzazi pia ni tatizo mfano, uume mfupi, kutokuwa na korodani au kuwa na korodani moja.
Upande mwingine wanaume anaweza kuwa anazalisha mbegu za kutosha lakini anashindwa kumpa mweza wake ujauzito kutokana na matatizo aliyonayo mwenza wake k**a
=kuwa na acidic katika uzazi ambapo huuwa mbegu za kiume zikifika ndani ya kizazi
=kuzalisha yai ambalo halijakomaa kwa wanamke
=kuhalibika kwa kuta za kizazi 'uterus' au kuwa zaifu na kushindwa kuhimili au kubeba ujauzito.
=upande mwingine wanaume kuzalisha mbegu mbovu au zenye matatizo.
Suluhisho;
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp Number 0712910941 au piga Simu usaidiwe Mapema
27/03/2021
Upungufu Wa Uzalishaji Wa Mbegu Za Kiume (LOW S***M COUNT) Na Visababishi Vyake
Upungufu katika uzalishaji wa mbegu za kiume inahusiana na kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii.
Mbegu za kiume huwa zinachunguzwa kwa kutumia kifaa maalum katika
maabara, kwa kawaida mwanaume ili aweze kumpa mwanamke mimba anatakiwa atoe kiasi cha mbegu kati ya milioni ishirini hadi milioni mia nne kwa tendo, chini ya milioni ishirini huwezi kumpa mimba mwanamke.
Endapo kiwango cha mbegu zitakuwa kidogo kitaalam hali hiyo huitwa ‘Oligospermia’ na k**a huna kabisa mbegu hali hiyo huitwa
‘Azoospermia.Dalili za kutokuwa na mbegu za kiume Hakuna dalili za moja kwa moja kusema kwamba utaumwa kitu fulani, lakini dalili
zifuatazo huambatana na tatizo hili;
=kwanza ni kukaa katika mahusiano kwa kipindi
kisichopungua mwaka mmoja lakini mwenzi wako hapati mimba,
=kushindwa kufanya
tendo la ndoa kwa uume kukosa nguvu’ Low
s*x Drive’ na
=ukisimama unashindwa
kuendelea na kumalizia tendo ‘Erectile dysfunction’ pamoja na kuwahi kumaliza tendo la ndoa.
=Maumivu na uvimbe wa korodani, =kupungua kwa vinyweleo na ndevu kutoota pia ni dalili inayoashiria matatizo ya uzazi kwa mwanaume kwani ni ishara ya upungufu wa
Kromozomu au homoni za kiume.
Hizo zote ni dalili kuu za matatizo ya uzazi kwa mwanaume.
Kipindi au Wakati gani wa kumuona daktari au mtaalamu?
Endapo umekaa na mwenzio mwaka mmoja au zaidi, mnafanya tendo la ndoa bila kinga yaani kizuizi chochote wakati wa kupangilia ujauzito lakini mimba haipatikani. K**a una matatizo ya nguvu za
kiume au unawahi kumaliza tendo la ndoa. Unakosa hamu ya kufanya tendo la ndoa au uume unalegea wakati wa tendo pia ni mojawapo ya chanzo.
Unakuwa na maumivu ya korodani au korodani kuvimba, maumivu ya uume na maumivu wakati wa kukojoa au uwepo wa kivimbe katika uume.
Chanzo cha tatizo Uzalishaji wa mbegu za kiume unafuatana
na ubora wa korodani k**a haina tatizo lolote na kiwango bora cha mfumo wa homoni mwilini mwako. Homoni zinadhibitiwa katika ubongo na kuimarisha korodani zizalishe mbegu. Mbegu zikishazalishwa,
husafirishwa na mirija midogo sana na laini hadi katika tezi dume ’Prostate gland’ ambayo kazi yake kubwa ni kuzalisha manii.
Matatizo katika mbengu za kiume ni kutokuwepo kwa mbegu kunakosababishwa na hitilafu au matatizo kwenye korodani, kuzalisha mbegu zenye kasoro, mbegu zisizo na kiasi na mbegu chache.
Matatizo ya korodani husababishwa na joto kali katika korodani, maambukizi katika korodani na uume na kuumia korodani. Mishipa ya damu kulalia korodani ‘Variocele’ pia ni mojawapo ya tatizo kubwa la kuziba
kwa mirija ya usafirishaji mbegu hizo.
Zipo pia sababu za kimazingira zinazoathiri uzalishaji wa mbegu za kiume mfano kemikali za viwandani, rangi za viwandani
au majumbani, dawa za mashambani na za kuua wadudu, mionzi ya X- Ray, kukaa kwenye joto kali, kuvaa nguo za kubana na
kukaa mahali kwa muda mrefu, kupakata kompyuta ‘(Lap top)’ kwa muda mrefu, matumizi ya sigara, bangi na madawa mengine ya kulevya kwa muda mrefu na
ulevi uliokithiri. Uzito mkubwa wa mwili na matatizo ya akili.
Matibabu na ushauri hufanyika baada ya uchunguzi ambapo
daktari atatoa dawa kuzingatia na tatizo lililopo. K**a hakuna mbegu zipo chache au kuna maumivu au kasoro zozote. Uwepo wa kasoro
za viungo vya uzazi pia ni tatizo mfano, uume mfupi, kutokuwa na korodani au kuwa na korodani moja.
Upande mwingine wanaume anaweza kuwa anazalisha mbegu za kutosha lakini anashindwa kumpa mweza wake ujauzito kutokana na matatizo aliyonayo mwenza wake k**a
=kuwa na acidic katika uzazi ambapo huuwa mbegu za kiume zikifika ndani ya kizazi
=kuzalisha yai ambalo halijakomaa kwa wanamke
=kuhalibika kwa kuta za kizazi 'uterus' au kuwa zaifu na kushindwa kuhimili au kubeba ujauzito.
=upande mwingine wanaume kuzalisha mbegu mbovu au zenye matatizo.
Suluhisho;
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp Number 0712910941/https://wa.me/message/GVICGBCQENX5L1 au piga Simu usaidiwe Mapema
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
255