Afya 24
Afya njema, Maisha yenye Furaha
18/01/2022
USIPITWE.. SOMA: BARUA YA WAZI KWAKO WEWE MWANAMME
K**a unadhani kuwa ulikuwa unafahamu kitu kuhusu kufanya mapenzi (ngono) hasa unapokuwa na matatizo ya nguvu za kiume .. uume legelege .. na kuwahi kufika kileleni ..
Basi..
Ujumbe huu ni maalum sana kwako WEWE..
Gundua jinsi unavyoweza kukabiliana na hisia na matamanio ya kimwili kwa mwanamke wako hasa unapokuwa mwenye matatizo ya nguvu za kiume.. Uume legelege..
Fikiria kile ambacho kimekuwa kikitokea HASA unapokuwa na mpenzi wako..!
Fikiria kile ambacho kitaendelea kutokea .. na
Je, umeshawahi kujiuliza..?
Unamwacha na kumbukumbu ipi mpenzi wako au mkeo..?
Mwanamme dakika moja..!
Ananiacha na nyege TU..!
HE IS NOT ROMANTIC..!
Yaani sitamani kukutana naye tena.,
. sema TU nimeshazaa naye..
. amenioa tayari..!
Je, unajua kile ambacho amekuwa akizungumza kuhusu WEWE hasa anapokuwa na mashoga zake..?
Hata usijihukumu rafiki, ingawa itakuwa ni kosa lako k**a utashindwa kuusoma waraka huu maalum sana kwako..
Bofya hapa https://healthwealth.co.tz/barua-ya-wazi/ kujua zaidi
22/04/2021
"Mwanzo nilidhania kuwa unataka pesa yangu tu, maana ulivyoisifia duh…! Sasa nimeamini inafanya kazi mnoo, waif mwenyew kaipenda mno. Jana kanambia nimekuwa simba nararua mpk anapenda. Saiv nafunga mpka magoli matatu dk 90 hahahah. Leo kanitumia text akanambia kanikumbka🥰🥰🥰🥰. Kumbe mke wang na yeye hakuwa na aman na hali yangu ingawa hakuwah hata kunambia. Asante sana kaka."
Denisi wa Moro Town.
TIBA YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME.
Ni ya asili 100% na imetengenezwa kwa mitishamba ambayo ilikuwa inatumika miaka mingi uitwao FRESH MACCA, pamoja na EPIDEMII ambazo zinauwezo wa kuboresha na ku imarisha mfumo wa uzazi kwa mwanamme.
🔋🔋Inaongeza ham/hisia na uwezo wa kufanya tendo.
🔋🔋Inafungua mishipa midogo kwenye uume na hivyo dam kuzunguka kwa urahisi na kukuwezesha kukaa kwa mda mrefu ktk tendo.
🔋🔋Inaondoa uchovu, hofu na msongo pia.
🔋🔋Inasaidia ktk uzalishwaji wa mbegu na shahawa.
WASILIANA NASI KWA 0768438203
NB: Dawa zetu zinaponya kabisa na zimekuwa na shuhuda nzuri mno. Ukipona usisite kutujulisha pia
22/04/2021
"Mwanzo nilidhania kuwa unataka pesa yangu tu, maana ulivyoisifia duh…! Sasa nimeamini inafanya kazi mnoo, waif mwenyew kaipenda mno. Jana kanambia nimekuwa simba nararua mpk anapenda. Saiv nafunga mpka magoli matatu dk 90 hahahah. Leo kanitumia text akanambia kanikumbka🥰🥰🥰🥰. Kumbe mke wang na yeye hakuwa na aman na hali yangu ingawa hakuwah hata kunambia. Asante sana kaka."
Denisi wa Moro Town.
TIBA YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME.
🏋️🏋️Ni ya asili 100% na imetengenezwa kwa mitishamba ambayo ilikuwa inatumika miaka mingi uitwao FRESH MACCA, pamoja na EPIDEMII ambazo zinauwezo wa kuboresha na ku imarisha mfumo wa uzazi kwa mwanamme.
🏋️🏋️Inaongeza ham/hisia na uwezo wa kufanya tendo.
🏋️🏋️inafungua mishipa midogo kwenye uume na hivyo dam kuzunguka kwa urahisi na kukuwezesha kukaa kwa mda mrefu ktk tendo.
🏋️🏋️Inaondoa uchovu, hofu na msongo pia.
🏋️🏋️Inasaidia ktk uzalishwaji wa mbegu na shahawa.
WASILIANA NASI KWA 0768438203
NB: Dawa zetu zinaponya kabisa na zimekuwa na shuhuda nzuri mno. Ukipona usisite kutujulisha p
TATUA NA JIKINGE NA TATIZO LA BAWASILI BILA KUFANYIWA UPASUAJI
0718227072 au 0768438203
*AINA ZA BAWASIRI*
1_Bawasiri ya ndani
2_Bawasiri ya nje.
1} Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
2} Bawasiri ya ndani hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
1} Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
2} Miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
3} Kujisaidia kinyesi kilichochanganyika na damu chenye harufu mbaya.
Kwa matatizo ya viungo na mifupa kusagana na maumivu katika maungio au joints,
Tupigie 0768438203 au 0718227072
TATUA NA JIKINGE NA TATIZO LA BAWASILI BILA KUFANYIWA UPASUAJI
0768438203 / 0718227072
IJUE BAWASIRI NA TIBA YAKE
_Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo.
*AINA ZA BAWASIRI*
1_Bawasiri ya ndani
2_Bawasiri ya nje.
_Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
_Bawasiri ya ndan hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
_Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
_miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
_kinyesi kuvuja
_kinyesi kutoka kuchanganyika na damu chenye harufu mbaya.
CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI
_kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
_kufanya mazoez magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
_Uzito kupitiliza
_Mapenz kinyume na maumbile
_tatizo la kutokupata choo
TIBA YAKE_Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi ilirudi baada ya kufanyiwa upasuaji.
_Sasa unaweza kutibu tatizo hili kwa kutumia virutubisho kutoka USA vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ambavyo havina kemikali 100%.
KAZI YAKE.
_Huondoa miwasho na maumivu
_huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomon hadi sehemu ya haja kubwa
_huondoa Bawasiri bila upasuaji.
_kulainisha choo.
NI VYEMA KUWAHI KUPATA TIBA MAPEMA KABLA YA KUBADILIKA NA KUWA CANCER.. TUWASILIANE KWENYE NAMBA 0768438203/ 0718227072
UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA (HEMORRHOIDS)
Wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0718227072
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
A.KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI(HEMORRHOIDS)
1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.
2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika sehemu zifuatazo;
i.Bawasiri kutotoka katika mahali pake(iliyosimama)
ii.Bawasiri inayotoka wakati wa haja kubwa kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia
iii.Bawasiri inayotoka wakati wa haja kubwa na hairudi yenyewe baada ya kujisaidia mpaka mwathirika airudishe mwenyewe.
iv.Bawasiri inayotoka wakati wa haja kubwa na ni vigumu mtu kuirudisha baada ya kumaliza kujisaidia.
B.NINI KINASABABISHA BAWASIRi?
Miongoni mwa visababishi vya bawasiri ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBESITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
C.DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia (CHEMATOZECHEZIA)
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
D.ATHARI ZA BAWASIRI
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume
E.JINSI YA KUZUIA BAWASIRI
-Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi
-Kunywa maji mengi kwa siku.
-Punguza kukaa kwa muda mrefu
DAWA.
Novel Depile Ni Mchanganyiko mzuri Sana wa virutubisho na matunda yenye uwezo Mkubwa Sana Kwa kuondoa Bawasiri bila upasuaji.
Ni bidhaa iliyothibitishwa na mamlaka za afya na ina shuhuda nyingi Sana za kutibu Bawasiri.
MAWASILIANO 0768438203 au 0718227072
SARATANI YA TEZI DUME
Wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0718227072
Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani. Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
~Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
~Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
~Saratani ya tezi dume.
VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
1] Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
2] Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
3]Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
4] Kuwa na uzito uliokithiri.
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
1] Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
2] Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
3] Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
4] Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
5] Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu.
6] Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
7] Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.
KINGA
1] Fanya mazoezi ya mwili na uwe na uzito unaostahili ukilinganisha na urefu wako.
2] Kula vyakula vyenye mafuta kiasi na hasa ya mimea, vyakula vyenye asili/ vyenye soya, vyakula vyenye “Lycopene” – inapatikana kwenye nyanya, tikiti maji, na matunda mengine, mboga za majani kwa wingi na samaki.
TIBA YA SARATANI YA TEZI DUME
Aina za tiba hizo ni pamoja na;
Upasuaji ( Surgey)
• Mionzi (Radiotherapy)
• Vichochezi (Homonal therapy)
• Kemikali (Chemotherapy)-
•Ubaridi (Cryotherapy)
NOTE: Tumia tiba lishe [food supplements]. Watafiti wamebaini kuna supplements zinaondoa kabisa na kuzuia tatizo la saratani ya tezi dume. unaweza ukatumia kwa kujikinga na kutibu tatizo.
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0734134813
JIKINGE NA SARATANI YA TEZI DUME
Wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0718227072
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume. Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani. Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo kwa wanaume duniani. Pia tatizo hili huwapata zaidi wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
~Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
~Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
~Saratani ya tezi dume.
VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
1] Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
2] Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
3]Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
4] Kuwa na uzito uliokithiri.
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
1] Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
2] Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
3] Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
4] Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
5] Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu.
6] Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
7] Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.
KINGA
1] Fanya mazoezi ya mwili na uwe na uzito unaostahili ukilinganisha na urefu wako.
2] Kula vyakula vyenye mafuta kiasi na hasa ya mimea, vyakula vyenye asili/ vyenye soya, vyakula vyenye “Lycopene” – inapatikana kwenye nyanya, tikiti maji, na matunda mengine, mboga za majani kwa wingi na samaki.
TIBA YA SARATANI YA TEZI DUME
Aina za tiba hizo ni pamoja na;
Upasuaji ( Surgey)
• Mionzi (Radiotherapy)
• Vichochezi (Homonal therapy)
• Kemikali (Chemotherapy)-
•Ubaridi (Cryotherapy)
NOTE: Tumia tiba lishe [food supplements]. Watafiti wamebaini kuna supplements zinaondoa kabisa na kuzuia tatizo la saratani ya tezi dume. unaweza ukatumia kwa kujikinga na kutibu tatizo.
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0718227072
SARATANI YA TEZI DUME
Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani. Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
~Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
~Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
~Saratani ya tezi dume.
VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
1] Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
2] Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
3]Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
4] Kuwa na uzito uliokithiri.
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
1] Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
2] Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
3] Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
4] Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
5] Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu.
6] Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
7] Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.
KINGA
1] Fanya mazoezi ya mwili na uwe na uzito unaostahili ukilinganisha na urefu wako.
2] Kula vyakula vyenye mafuta kiasi na hasa ya mimea, vyakula vyenye asili/ vyenye soya, vyakula vyenye “Lycopene” – inapatikana kwenye nyanya, tikiti maji, na matunda mengine, mboga za majani kwa wingi na samaki.
TIBA YA SARATANI YA TEZI DUME
Aina za tiba hizo ni pamoja na;
Upasuaji ( Surgey)
• Mionzi (Radiotherapy)
• Vichochezi (Homonal therapy)
• Kemikali (Chemotherapy)-
•Ubaridi (Cryotherapy)
NOTE: Tumia tiba lishe [food supplements]. Watafiti wamebaini kuna supplements zinaondoa kabisa na kuzuia tatizo la saratani ya tezi dume. unaweza ukatumia kwa kujikinga na kutibu tatizo.
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi kwa 0768438203 au 0734134813
MSH*TUKO WA MOYO [HEART ATTACK]
Wasiliana nasi kwa msaada zaidi 0768438203 au 0718227072
Shtuko la moyo (kwa Kiingereza acute myocardial infarction au heart attack) linatokea pale ambapo ghafla mshipa wa damu ndani ya moyo unaziba. Mishipa ya namna hiyo inasafirisha damu na oksijeni. Mshipa mmojawapo moyoni ukiziba, damu haiwezi tena kufikia sehemu ya moyo, na hivyo sehemu hiyo inakuja kukosa oksijeni. Tukio hilo linaitwa iskemia (kwa Kiingereza: ischaemia), nalo mara nyingi linasababisha maumivu kifuani (angina pectoris). Ikiwa iskemia itadumu kwa mda mrefu, msuli wa moyo unakufa kwa kukosa oksijeni (infarction).
Shtuko la moyo ni hatari kubwa k**a zinavyodai tafiti za madaktari, lakini dakika za kwanza ndizo muhimu zaidi kwa kuokoa uhai wa mgonjwa wa namna hiyo.
Baadhi ya madhara yanayotokana na shtuko hilo yanaweza kurekebishwa ikiwa mhusika atatibiwa mapema.
11/03/2020
HAPPY WOMEN DAY ALL OVER THE WORLD.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
ILALA
Dar Es Salaam
0005
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |