AfyAsilia
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyAsilia, Health/Beauty, Ilala, Dar es Salaam.
11/09/2023
JE WEWE NI MWANAMKE AMBAYE UNASUMBUKA NA UTI SUGU,PID,FANGASI SUGU,UCHAFU SEHEMU ZA SIRI UNAOTOA HARUFU,MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA ,NA CHANGAMOTO ZINGINE ZA MFUMO WA UZAZI BASI SULUHISHO LIMEPATOKANA PIGA SIMU +255768759982
KWA TIBA NA USHAURI
AU TEMBELEA KWENYE TOVUTI YETU
www.afyasilia.ml
PIGA +255768759982
24/10/2022
SABABU KWANINI MWANAMKE HABEBI UJAUZITO (KUKOSA MTOTO)
👉 Tunaendelea tulipoishia tuliishia kwenye sababu ya kwanza ambayo ni
MATATIZO YA HOMONI
👉Hii ndio sababu inayosababisha mwanamke kukosa mtoto au ujauzito ambayo huathiri mfumo wa uzazi .Tatizo la Homoni hapa tunazungumzia mvurugiko wa homoni za uzazi ambazo ni estrogen na progesterone ambazo ndizo huusika katika utengenezaji na ukomavu wa mayai ko kunapokuwa na mvurugiko wa homoni hupelekea mayai kushindwa kuzalishwa.
👉Na kwenye matatizo ya homoni hapa tunazungumzia mambo makuu mawili
Matatizo Ya Hypothalamus:
👉Hypothalamus ni sehemu ya ubongo inayohusika na kutoa ishara kwa tezi ya pituitary (pituitary gland) ambayo nayo huamsha homoni za ovari zinazoruhusu yai kukomaa. Hypothalamus isipofanya kazi yake, mayai hushindwa kufika ukomavu. Asilimia 20 ya dosari za ukomavu wa mayai husababishwa na matatizo ya hypothalamus.Hypothalamus isipofwnya kazi vizuri hupelekea mwanamke kushindwa kubeba ujauzito haya ndio matatizo ya homoni
Asanteni sana karibuni katika Somo linalofata
Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account yetu
page AfyAsilia
YouTube channel AfyAsilia Tz
Like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba+255768759982 kwa tiba na ushauri wa Afya
BORA KWA KILA MWANAMKE
14/10/2022
KWANINI MWANAMKE HAPATI MTOTO AU HABEBI MIMBA
👉 Tatizo la mwanamke kukosa mtoto au kutopata mtoto huitwa UGUMBA
👉 UGUMBA au utasa maana yake ni kuwa mwanamke ameshindwa kupata ujauzito baada ya mwanamme na mwanamke kujamiiana kikawaida bila kinga katika kipindi cha mwaka mmoja au katika kipindi cha miezi sita.
👉 Tatizo hili husababishwa na wote ,inaweza ikawa mwanamke anatatizo hili au mwanaume kushindwa kumpa mwanamke ujauzito. Leo tunaangalia mwanamke kushindwa kubeba ujauzito au kukosa mtoto ,Zipo sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kukosa mtoto au kutokubeba ujauzito
SABABU ZA MWANAMKE KUTOKUBEBA UJAUZITO
1️⃣Kushindwa Kuzalisha Mayai (Anovulation)
👉 Hili ndilo tatizo ambalo linachangia ugumba kwa wanawake kwa asilimia 30 lakini kwa bahati nzuri asilimia 70 ya wanawake wenye tatizo hili hupata tiba na kufanikiwa kupata watoto. Mwanamke mwenye tatizo hili hutoa mayai mara chache au hatoi mayai kabisa. Chanzo cha tatizo huwa ni moja ya yafuatayo:
1. Matatizo Ya Homoni
👉Matatizo ya homoni ndiyo yenye mchango mkubwa zaidi kwenye kumfanya mwanamke ashindwe kuzalisha mayai. Uzalishwaji wa mayai hutegemea mchanganyiko wa homoni utakaofanya kazi kwa kuhusiana bila kuvurugwa katika utendaji wake wa kazi.
Somo litaendeleea
👉Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi kwa wanawake na wanaume
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel AfyAsilia Tz
Like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉Vilevile piga namba+255768759982 kwa tiba na ushauri wa Afya
BORA KWA KILA MWANAMKE
02/10/2022
MCHAKATO WA MWANAMKE KUBEBA UJAUZITO
👉Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:
1️⃣. Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa wakati wa siku za hatari
2️⃣. Yai hii kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
3️⃣. Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
4️⃣. Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
5️⃣. Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua.
Asante Somo litaendeleea
👉Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi
Bofya👇👇https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel Tz,
Like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba+255768759982 kwa tiba na ushauri wa Afya
BORA KWA KILA MWANAMKE
23/09/2022
MADHARA YA PELVIC INFLAMATORY DISEASE(PID)
👉Pelvic inflamatory disease inaposhambulia via vya uzazi wa mwanamke huleta madhara yafuatayo
1️⃣Ugumba kwa mwanamke
2️⃣kupata kansa ya shingo ya uzazi
3️⃣Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
4️⃣Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
5️⃣Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
Asanteni sana karibuni tena katika Somo linalofata
👉 Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi
Bofya👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel AfyAsilia Tz
Like , comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉Vilevile piga namba +255 686 818 996 kwa tiba na ushauri wa Afya
BORA KWA KILA MWANAMKE
22/09/2022
DALILI ZA UGONJWA WA PID
👉Zifuatazo ni dalili za pelvic inflamatory disease kwa wanawake
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
Asanteni sana karibuni tena katika Somo linalofata
👉Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel Tz
Like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉Vilevile piga namba +255686818996 kwa tiba na ushauri ya Afya ya Uzazi
BORA KWA KILA MWANAMKE
21/09/2022
NAMNA PID INAVYOSHAMBURIA VIA VYA UZAZI
👉 Zifuatazo ni hatua ambazo bacteria wasabaishao PID hupita na kusababisha madhara kwenye via vya uzazi wa wanamke
1. KUINGIA KWA BAKTERIA
👉Hii ni hatua ya kwanza kabisa ambapo bacteria wasababishao PID huingia UKENI kwa njia ya kujamiana kupitia shahawa
2. KUPITA KWA BAKTERIA KWENYE CERVIX
👉Baada ya kuingia kwa Bakteria kwenye uke ,
Bakteria hao husafiri na kuingia kwenye cervix ya mwanamke na hupita kwenye uterus mahali ambapo mtoto hutunzwa wakati wa ujauzito
3.KUPITA KWA BAKTERIA KWENYE MRIJA WA FALLOPIO NA OVARI
👉Bakteria hao husafiri kutoka kwenye cervix na kuingia kwenye mrija wa fallopio na baadae huingia kushambulia ovari itoayo mayai ya Uzazi na kuathiri utoaji wa mayai
4.KUENEA KWA MAAMBUKIZI SEHEMU ZINGINE ZA MWILI
👉Baada ya Bakteria kuingia kwenye mrija wa fallopio na baadae kuingia kwenye ovari ,hivo Maambukizi/madhara hayo yaliyosababishwa na hao bakiteria huanza kuenea sehemu zingine za mwili
Asanteni sana karibuni tena katika Somo linalofata
👉Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉 Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel Tz
Like , comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉 Vilevile piga namba +255 686 818 996 kwa tiba na ushauri
BORA KWA KILA MWANAMKE
20/09/2022
CHANZO CHA PELVIC INFLAMATORY DISEASE (PID)
👉Kuna bakteria wa aina nyingi wanaoweza kusababisha PID, lakini maambukizi ya gonorrhea na chlamydia ndiyo yanayoonekana zaidi. Bakteria hao huambukiza wakati tendo la ndoa linapofanyika bila ya kutumia kinga.
👉 Bakteria Hawa husafiri na kwenda kuleta madhara kwenye uterus,mayai na mrija wa Fallopia
👉Bakteria hawa huingia kwenye viungo ya uzazi vya mwanamke pale ulinzi wa kwenye shingo ya kizazi (cervix) unapovurugwa. Hii inaweza kutokea mathalani, wakati wa hedhi na baada ya kuzaa, mimba kuharibika au kutoa mimba.
Asante sana karibuni tena katika Somo linalofata
👉 Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi kwa wanawake na wanaume
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉 Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel Tz
Like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉 Vilevile piga namba +255 686 818 996 kwa tiba na ushauri
BORA KWA KILA MWANAMKE
19/09/2022
PELVIC INFLAMATORY DISEASE (PID)
👉Haya ni Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke yaani kitalamu huitwa pelvic inflamatory disease (PID)
👉PID ni Maambukizi ya bacteria wambaya kwenye shingo ya kizazi, mirija ya fallopio, ovari na tumbo la uzazi (uterus)
👉PID husababishwa kwa Maambukizi yanayosambazwa kwa njia ya kujamiana yaani STI
👉Ugonjwa huu huweza kuwaathiri wanawake wenye umri wowote lakini zaidi Miaka 15 na 24 huwaathiri zaidi
Asante sana karibuni tena katika Somo linalofata
👉 Jiunge na group letu la Whatsapp kupata masomo mbalimbali yahusuyo Afya ya Uzazi kwa wanawake
Bofya 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ctm1oNLQAHg7mDVKJZGgkf
👉 Usiache kutufollow kwenye account zetu za kijamii Instagram account
page AfyAsilia
YouTube channel AfyAsilia Tz
Tik tok
Like , comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
👉Vilevile piga namba+255686818996 kwa tiba na ushauri
AfyAsilia
BORA KWA KILA MWANAMKE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam