Afya channel

Afya channel

Share

page hii nikuhusu mambo ya afya bora na mafunzo kuhusu afya na matibabu

Photos from Afya channel's post 19/05/2022

Kupoteza rangi ya ngozi katika ngozi kutokana na uharibifu wa autoimmune wa seli ambazo hupa ngozi rangi
Mwelekeo mkali: kupoteza rangi ya ngozi katika maeneo machache tu ambayo yanaweza kuunganishwa pamoja
Mfano wa sehemu: kugeuka kwa upande mmoja wa mwili
Kuchimba kabla ya nywele na / au nywele za uso

K**a unateseka na matatizo ya ngozi wasiliana nami WhatsApp au nipigie 0699808523
Kwa ushauri na matiababu

Photos from Afya channel's post 19/05/2022

MAGONJWA YA NGOZI โ€“ AINA, CHANZO, DALILI & TIBA

UTANGULIZI
Matatizo ya ngozi hutofautiana sana katika dalili na ukali. Inaweza kuwa ya muda au ya kudumu, na inaweza kuwa haipatikani au chungu. Baadhi wana sababu za hali, wakati wengine wanaweza kuwa na maumbile. Masharti fulani ya ngozi ni madogo, na wengine wanaweza kuwa vitishio cha maisha.

Wakati shida nyingi za ngozi ni ndogo, wengine wanaweza kuonyesha suala kubwa zaidi. Wasiliana na daktari wako ikiwa unadhani unaweza kuwa na matatizo haya ya kawaida ya ngozi.

Au wasiliana nami kwa njia ya WhatsApp au kwa mawasiliano zaidi
0699808523

06/05/2022

Majimaji yanayotoka ukeni wakati wa ujauzito (Damu na uteute)

Ni kawaida kwa mjamzito kushuhudia kwenye uke wake kutokwa na k**a uteute na huongezeka kila mimba inapoendelea kukomaa. Wakatiflani anaweza kuona nguo zake zina madoa ya damu, ama akashuhudia matone kadhaa ya damu. Wapo pia wanaingia hedhi kwa damu chache. Sasa hebu tuangalie kwa ufupi hali hizi:-

1.Baada ya kutoka hedhi uke wa mwanamke unakuwa mkavu bila ya kuwa na utelezi telezi. Hiki ni kipindi ambacho mwanamke hawezi kubeba ujauzito. Katika kipindi hiki hata akitia kidole hakitoki na utelezitelezi. Kipindi hiki kinaweza kuchukuwa takribani s**i tano hadi 10 inategemea na mzunguruko wa mwanamke. Huu ni kuda mzuri wa kushiriki tendo kwa wale ambao hawahitaji kulea ujauzito.

2.Zitakapoanza kuingia siku hatari mwanamke ataanza kuhisi uwepo wa uteute kwenye uke wake anapotia kidole kwa ndani. Siku hizi pia zinatofautiana kulingana na idadi ya mzunguruko. Ila zinaweza kuazia siku ya 11 hadi 14 inaweza pia kuwa chini ya papo lwa baadhi ya wanawake ama juu ya hapo.

3.Siku moja kabla ya kukomaa kwa yai na kuwa tayari kwenye mirija ya falopian tayari kutungisha mimba, uteute huu huongezeka zaidi. Sifa za uteute huu ni kuwa ni wenye kuteleza sana ila sio mzito na wenye kunatanata ama kuvutikana. Kwa wanaotumia njia za uzazi wa mpango hasa zile za homoni uteute wao upo muda wowote kwa hiyo ni ngumu sana kwao kuiona hali hii.

4.Siku ya hatario zaidi mwanamke atapata mabadiliko ya hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa. Yaani hamu itaongezeka zaidi siku hii kuliko siku iliyotangulia. Hapa kwa wale ambao hawataki ujauzito sio siku salama kwao kushiriki tendo landoa.

5.Uteute huu katika siku hizi kuandaliwa kwa ajili ya kusaidia mbegu za kiume ziweze kusafiri vyema, kuogelea vyema na kulifikia yai. Pia kuhakikisha kuwa mbegu za kiume haziathiriwi na asidi ya tumboni kwa mama kwa kiasi kikubwa. Hivyo uteute huu katika kipindi hiki ni muhimu sana.

6.Kali hii inaweza kudumu kwa masiku kadhaa toka 14 hadi 17 kwa makadirio inaweza kupungua ama kuongezeka kulingana na mzunguruko wa mwanamke. Baada ya hapo k**a mwanamke alibeba ujauzito majimaji haya yanaongezeka uzito saa na kuwa yenye kunata na kufanana na utelezi wa yai pindi unapolibanja. Baada ya mimba majimaji haya yataendelea kutoka na kuongezeka na kuwa mazito zaidi hadi atakapojifungua.

Katika ujauzito majimaji haya yanakazi ya kulinda njia ya kuingilia kwenye mji wa mimba dhidi ya mashambulizi na aambukizi ya bakteria. Yaani kuhakikisha kuwa hakuba bakteria ama fangasi atakayeweza kuingia na kumzuru mtoto tumboni.

7.K**a hakuna ujauzito uliobebwa majimaji yataanza kurudi kutoka hali yake ya kawaida na kuwa safi, yenye harufu kwa mbali ila si harufu ya kukera, pia yanaweza kuwa na rangi ya maziwa hivi.

Majimaji haya pia nayaweza kuashiria shida kwenye afya endapo yatakuwa na sifa hizi:-
A.Yana rangi ya njao, kijani ama buluu
B.Yana harufu kali mbaya
C.Yanakusababishia muwasho kwenye uke na mashavu ya uke
D.Yanakusababishia kuvimba kwa uke na mashavu ya uke

8.Ama kuhusu kutokwa na damu, ikiwa chache ni kawaida. Ikiwa unaambatana na maumivu makali ya tumbo, ama maumivi makali ya kichwa na homa, basi vyema kumuona daktari kwa ushauri zaidi. K**a nilivtotangulia kusema kuna wanawake wanapata hedhi wakiwa wajawazito. Wenyewe wanaita kupunguzia, kwa ufupi hii si hedhi na pia haiashirii k**a kuna tatizo. Ila k**a inatoka nyingi na kuambatana na maumivu yasiyo ya kawaida ni vyema kumuona daktari. Nipigie 0699808523

27/04/2022

UJUMBE MUHIMU SANA KWA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

K**a wewe ni mgonjwa wa vidonda vya tumbo ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika basi naomba unis**ilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako.
Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 100 wa vidonda vya tumbo nimekuja kugundua kuwa chanzo cha tatizo la ugonjwa huo sio kula vyakula vya gasi nyingi k**a madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na tatizo hilo mara moja bila ya kumeza dawa kila siku.

Ndani ya taarifa hii fupi nitazungumzia chanzo cha tatizo lako na mambo 5 ya kuzingatia kuweza kutatua tatizo hilo na jambo gani la kufanya mara moja kuweza kutokomeza tatizo hilo suguโ€ฆ

Kwa msaada wa matibabu na ushauri nipigie 0699808523 au njoo WhatsApp

08/04/2022

Dr Cow

Je una mtoto ambaye:
๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAnasumbua kula?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAna nywele nyepesi k**a mgonjwa?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAna matatizo ya meno kuota?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAna mifupa laini ambayo rahisi kuvunjika?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซMtoto ambaye hakui kwa haraka k**a inavyotakiwa?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAnayeumwa mara kwa mara kikohozi na mafua?

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘ซAna matege?

Jibu ni kwamba mtoto huyo ana upungufu wa madini hasa ya calcium
Sasa kwakua tunajua watoto hawapendi vyakula, ambapo vyakula hivyo vina virutubisho vizuri ikiwemo madini ya calcium ambayo ni muhimu sana katika suala zima la ukuaji wao.

Bf suma kwa kujua hilo inakiletea bidhaa inayoitwa DR COW maalum kwa watoto na wamama wanaonyonyesha kwa ajili ya kuongeza calcium mwilini mwake.

Dr cow ipo kwenye mfumo wa candmjamzitoy ambao watoto wengi sana wanapenda na ilivyo k**a p**i, mtoto akionja tu anaweza kula vingi sana. Mtoto anatakiwa ale 4 tu ambapo kula hivyo vinne ni sawa sawa na mtoto aliyekunywa maziwa ml 200. Mtoto akianza kutumia hii bidhaa hata magonjwa yatamkalia mbali.

Dr cow inasaidia sana watoto na wajawazito.

Wasiliana nasi 0699808523

08/04/2022

FAHAMU KUHUSU U.T.I NA FANGASI SUGU.

U.T.I na fangasi ni tatizo kubwa ambalo huwapata wanawake wengi duniani mara kwa mara. Husababishwa na bakteria anaitwa E. coli ambaye huwa wanaishi kwenye utumbo mnene sehemu za tundu la haja kubwa, mwanamke anaambukizwa kirahisi sababu anapokuwa anachuchumaa kwenye haja kubwa au ndogo.
Madhara yake kwenye kibofu cha mkojo baada ya kuwa wengi wanahamia mwenye figo, ndio maana leo hii wanawake wengi wanaumwa figo. Figo zao zimeharibika sababu ya U.T.I. na kufa kifo cha ghafla.

MIWASHO.
Kawaida mwanamke ana ulinzi ukeni kwake, yaani bakteria wazuri wanaishi kule kwa ajili ya kulinda uke, japo pia bakteria wabaya wanaishi kule lakini kwa uwiano, ya kwamba wale wazuri wanakuwa wengi ,kuliko wabaya . Sasa ikitokea kwamba wale bacteria wabaya wakawa wengi, hapo ndio utaona miwasho kwa mwanawake haishi kujikuna mara kwa mara.

FANGASI.
Inasababishwa na jamii ya fungi anaitwa CANDIDA. Seli za fangasi na bacteria wazuri huishi ukeni bila tatizo lolote.Tatizo linakuja endapo ukuaji wa fangasi hawa ukeni watakuwa wengi kushinda wazuri. Basi hapo ndio inapotokea ugonjwa wa fangas na miwasho mingi.

DALILI ZA U.T.I
1. Kukojoa mara kwa mara.
2. Mkojo kuwa na harufu kali.
3. Kus**ia kichefu chefu na kupatika.
4. Maumivu ya misuli na tumbo hasa chini ya kitovu.
5. Kus**ia maumivu wakati wa kukojoa.
6. Maumivu ya kiuno.
7. Kuwashwa sehemu za siri.
8. Kuhisi maumivu wakati wa kujamiiana.
9. Kupata vidonda vya ukeni.
10. Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa inje wa uke.
11. Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri baada ya tendo la ndoa.
12. Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mwepesi au mzito au majimaji.

VISABABISHI VYA FANGASI.
1. Mabadiliko ya homoni katika kipindi cha upevushwaji wa mayai kwa mwanamke kipindi cha ujauzito, utumiwaji wa uzazi, wa mpango na kukoma kwa hedhi.

2. Upungifu wa kinga mwilini: Mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini k**a vile mwenye kuugua kansa, ukimwi, magonjwa mbalimbali yenye kupunguza kinga ya mwili.

3. Kukosa usingizi stress, vidonda sehemu za siri,matumizi ya antibiotics, kuweka marashi sehemu za siri.

4. Watu wanaougua kisukari ambao hawawezi kudhibiti kwa kutumia dawa za kisukari, inakuwa kwenye damu na hicho kisukari ndiyo chakula kikuu cha hao fangasi.
Hata wanawake ambao wanapenda kula vyakula vya sukari nyingi k**a vile chocolates, soda, na vingine vyenye sukari nyingi ambavyo ni chakula cha fangasi.

5. Mazingira ya joto hii inamaanisha nguo ambazo tunatakiwa kuvaa k**a vile chupi za cotton hasa kwa wanawake, hazihitaji joto sababu bacteria wabaya wanakuwa wengi sana na kusababisha miwasho na FANGAS

6. Kondomu na mbegu za kiume huharibu hali ya asidi iliyopo ukeni ambayo ni ya muhimu sana maana inasaidia kukinga uke usiingiliwe na bacteria wabaya.

MADHARA MAKUBWA YA FANGASI NA U.T.I.
Kupatwa kwa ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) maambukizi katika via za uzazi na kupelekea kuwa ngumba, ndio maana wanawake wengi ni wagumba.
โžกKupata maambukizi ya mara kwa mara
โžกKupata uharibifu wa figo wa kudumu na kuhitaji huduma maalumu ya kutibu figo (dialysis).
โžกKutokea uwezekano wa kuzaa watoto wenye uzito mdogo au wanaozaliwa kabla ya wakati.
โžกWanaume wanaougua UTI mara kwa mara wanakuwa kwenye hatari ya kupata madhara kwenye tezi dume (prostatitis).
โžกUvimbe huweza kutokea kwenye tezi dume na kusababisha maumivu wakati wa haja ndogo au kutoa shahawa.
โžกSumu katika damu. Mara chache huweza ikatokea kuwa bakteria wakasambaa kutoka ndani ya figo na kuingia kwenye mfumo wa damu (sepsis) na baadaye kusambaa hadi kwenye viungo vingine muhimu vya mwili. Hali hii ikitokea, itabidi mgonjwa awekwe chini ya uangalizi mkali wakati akipewa tiba ya kuwaua bakteria hao.
โžกKuharibika kwa mimba (Miscarriage)
โžกMaumivu ya misuli na tumbo

SULUHISHO LA WENGI.
Watu wengi wanapokuwa na U.T.I huenda kupewa antibiotics ambazo huenda kuua bakteria wazuri na matokeo yake baada ya muda U.T.I inarudi kwa kasi sana.

USISUBILI HADI MADHALA YAWE MAKUBWA FUNGUS NA U.T.I INATIBIKA

Kwa mawasiliano kupata ushauri,maswali na matibabu nitafute kwa whatsapp 0699808523 txt na calls
Pia unaweza kujoin group la whatsapp ili kupata elimu ya uzazi kwa ujumla

0699808523 njoo WhatsApp au nipigie au nitumie sms WhatsApp kwa ushauri na matibabu au Elimu kuhusu afya ya uzazi na matibabu kutumia lishe au tiba mbadala.bonyeza link ifwatayo kuja moja kwa moja kwenye mafunzo https://bit.ly/3wboyNf

07/04/2022

Dalili za hatari za PID piga simu
#0699808523 au .bonyeza link ifwatayo kuja moja kwa moja kwenye group la elimu kuhusu afya ya uzazi https://bit.ly/3wboyNf

06/04/2022

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
๐Ÿ‘‰- Ukavu ukeni
๐Ÿ‘‰- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ‘‰- Kutoa jasho usiku
๐Ÿ‘‰- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
๐Ÿ‘‰- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
๐Ÿ‘‰- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
๐Ÿ‘‰- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
๐Ÿ‘‰- Uchovu wa mara kwa mara
๐Ÿ‘‰- Hasira za mara kwa mara
๐Ÿ‘‰- Kukosa usingizi

๐Ÿ‘‰- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
๐Ÿ‘‰- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
๐Ÿ‘‰- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
๐Ÿ‘‰- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
๐Ÿ‘‰- Maumivu ya viungo
๐Ÿ‘‰- Upungufu wa nywele kichwani.
๐Ÿ‘‰- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
๐Ÿ‘‰- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya wa ndani.
๐Ÿ‘‰- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
๐Ÿ‘‰- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
๐Ÿ‘‰- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
๐Ÿ‘‰- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini

๐Ÿ‘‰- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
๐Ÿ‘‰- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
๐Ÿ‘‰- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
๐Ÿ‘‰- Kutokupata choo kwa wakati
๐Ÿ‘‰- Misuli hudondoka

Karibuni kwa huduma na usahuri
0699808523

04/04/2022

Cancer ya kizazi je unasumbuliwa na tatizo la cancer ya kizazi elimika na matibabu bonyeza link njoo WhatsApp kwa matibabu

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI?

Ni mabadiliko hasi (yasiyo ya kawaida) ya chembechembe hai zilizopo kwenye shingo ya kizazi. Mara nyingi saratani hii ikiwa inaanza haionyeshi dalili yoyote hivyo mgonjwa hawezi kuchukua hatua yoyote kukabiliana na tatizo hili kwa wakati huu.

Kwa kiasi kikubwa saratani hii husababishwa na maambukizi ya mda mrefu (persistence infection) ya virusi viitwavyo Human papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana. Kawaida mwili una uwezo wa hudhibiti maambukizi haya yaingiapo mwilini, lakini yasipodhibitiwa kikamilifu na kuwepo mwilini kwa mda mrefu husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi.

MAMBO MENGINE YANAYOCHANGIA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Kufanya ngono zembeKuwa na wapenzi wengiKukoma siku katika umri mkubwaUtumiaji mafuta mengi katika chakula.Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.Unene kupita kiasiUvutaji sigara.Utumiaji wa pombe kupita kiasi.Historia ya saratani ya matiti katika familia.

DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Dalili za ugonjwa huu huanza kujitokeza baada ya tatizo kuanza kukomaa, zifuatazo ni baadhi ya dalili

Kutokwa na maji maji yenye harufu ukeniKutokwa damu baada ya kujamiianaKutokwa damu kusiko kwa kawaida (siyo damu ya hedhi)Kuumwa mgongo na kiunoKuumwa miguuKizunguzungu na kuishiwa nguvu

NINI KIFANYIKE?

Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika au kutibika kabisa endapo itagundulika ikiwa kwenye hatua za awali.

Piga simu 0699808523

04/04/2022

Suluhisho la wanaume wenye matatizo ya uzazi, wanao tafuta mtoto, k**a umetumia dawa nyingi bila ya matibabu bonyeza link kuja kwenye elimu na matibabu au nipigie 0699808523

B.Vitamini C
Hivi unaweza kuvipata kwenye machungwa, viaz mbatatai, nyanya, apinach na kwenye matunda yenye uchachu na mapapai na mananasi. Vitamini C pia ni muhumu kwa afya ya mfumo wa kinga

C.Kula vyakula jamii ya korosho na karanga

D.Kula vyakula vyenye lycopene. Vyakula hivi kuwa na rangi nyekundu k**a tikiti na nyanya

E.Kula vyakula vyenye madini ya zinc kwa wingi. Unaweza kupata madini haya kwenye nyama, samaki wa baharini kwenye magobeta jamii ya kaa, mimea jamii ya kunde, kula mbegu k**a mbegu za maboga na nyingine, maziwa, mayai, jamii ya korosho, baadhi ya mboga za majani k**a maharagwe ya kijani na nafaka nzima.

2.Fanya mazoezi ya mara kwa mara.
Mazoezi si kwa ajuli ya hili tu bali pia ni kwa ajili ya kuboresha afya kwa ujumla. Si lazima ufanye mazoezi mareefu, hapana kwa uchache pia inatosha.

3.Punguza kuvaa nguo za ndani zenye joto.
Afya ya mbegu za kiume inategemea pia joto la mwili wako. Hakikisha korodani unazipa hewa ya kutosha. Usivae nguo za kubana nyingi k**a chupi, si salama kwa wanaume. Boxa k**a haibani sana inatosha.

4.Punguza unywaji wa pombe, na soda k**a unakunywa kwa kiasi kikubwa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Mbez Beach
Dar Es Salaam