Suluhisho la Magonjwa SUGU
Tunawasidia watu wenye magonjwa sugu kutatua changamoto zao kwa kuwapa ushauri na matibabu
USIENDELE KUTESEKA NA BAWASIRI
USIENDELEE KUTOKWA NA DAMU, MIWASHO, KUPATA MAUMIVU KUTOKANA NA KINYAMA CHA BAWASIRI
TUMEKUANDALIA MATIBABU AMBAYO YATAKUSAIDIA KUTIBU KABISA BAWASIRI NA KUSAHAU SHIDA ZOTE ZITOKANAZO NA UGONJWA HUU HATARI
DOZI HII NI TSHS 85,000
POPOTE ULIPO HUDUMA YETU ITAKUFIKIA EIDHA KWA KUKULETEA K**A UPO DAR ES SALAAM AU KUKUTUMIA KWA BUS, BOTI AU NDEGE KWA WALE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM
CHA KUFANYA WASILIANA NASI
0755162724
LIWAYA HERBAL PRODUCTS
TUPO DAR ES SALAAM, ILALA
11/12/2025
KUNDI LA TATU LA WAGONJWA WA ACID REFLUX
C.๐ WAGONJWA WANAOCHUKUA HATUA ZA KAWAIDA.
Hili ni kundi la wagonjwa ambao wanachukua hatua za kawaida sana yaani hawachukui hatua kubwa katika kupambana na Acid reflux, hawa ndio wale ambao ukiwaambia wasile wali wao wanakula kidogo, ukiwaambia wasinywe soda wao wanakunywa mara moja moja nk.
Kundi hili wagonjwa wake wengi huwa wanaishia kupata naafuu tu ya Acid reflux yaani hawaponi kwa asilimia 100%.
Watu hawa wanatokana na sababu zifuatazo:โคต๏ธโคต๏ธ
1.๐ Wanaamini ukiacha kabisa kula vyakula vya wanga unaweza kufa
2.๐ Uroho wa vyakula walivyovizoea
3.๐ Ushawishi kutoka kwa watu wanaowazunguka
4.๐ Uvivu wa kutumia dawa hivyo wengi huacha kutumia dawa baada ya kupata naafuu.
5.๐ Kuwasiliana na kila mtu ambae anatoa huduma za Acid reflux yaani kila tangazo yeye hubonyeza link matokeo yake anashindwa kupata matibabu kamili
Ushauri wetu kwa kundi hili ni kwamba,waachane na hizo sababu na wafanye juhudi zaidi ili waweze kupona kabisa Acid reflux.
LIWAYAHERBAL PRODUCTS
0755162724
DAR ES SALAAM, ILALA
11/12/2025
KUNDI LA PILI LA WAGONJWA WA ACID REFLUX
B.๐ NI WAGONJWA WALIOKATA TAMAA
Hawa ni wagonjwa wa Acid Reflux waliokata tamaa kabisa k**a wanaweza kupona Acid reflux kutokana na sababu mbalimbali k**a ifuatavyo:โคต๏ธโคต๏ธ
1.๐ Wametumia madawa mengi kwa muda mrefu bila mafanikio.
2.๐ Hawana pesa kwaajili ya kufanya matibabu.
3.๐ Wamekata tamaa kwasababu wanaamini hakuna tiba ya Acid reflux.
4.๐ Wamekata tamaa kwasababu wamepoteza pesa nyingi bila mafanikio.
5.๐ Wamekata tamaa kwasababu hawawezi kubadili mfumo wao wa maisha waliouzoea.
Watu hawa tunawaambia kwamba kukata tamaa hakujawahi kuleta suluhisho la tatizo lolote hapa duniani bali kuthubutu sio siri ya mafanikio.
Lakini pia tunawashauri wajikite zaidi kwenye kulijua tatizo hili la Acid reflux kwa undani zaidi kabla ya kuanza matibabu kwasababu ni ngumu kutatua changamoto wasiyoijua hivyo wawe ni waulizaji zaidi kwa watoa huduma ili waweze kupata elimu ya ndani ya tatzo hili.
Lakini pia tunawashauri wasikate tamaa kwani muda ambao mtu huamua kukata tamaa ni karibu zaidi na mafanikio.
LIWAYA HERBAL PRODUCTS TUNATOA TIBA NA USHAURI KWA UHAKIKA ZAIDI BIIDHNILLAAH, WEKENI IMANI KWETU HAMTOJUTIA IN SHAA ALLAH.
LIWAYAHERBAL PRODUCTS
0755162724
DAR ES SALAAM, ILALA
11/12/2025
KUNDI LA KWANZA LA WAGONJWA WA ACID REFLUX.
A.WAGONJWA WA ACID REFLUX AMBAO HAWACHUKUI HATUA YOYOTE ILI KUPATA SULUHISHO LA ACID REFLUX.
Kundi hili hujumlisha wagonjwa wa Acid Reflux ambao tayari wanafahamu kwamba wao wana Acid reflux lakini hawachukui hatua zozote zile ili kukabiliana na tatizo hili.
Kundi hili halichukuia hatua zozote huenda kwa sababu zifuatazo:
1. ๐ Ujinga wa kutofahamu ukubwa wa tatizo hili
2. ๐ Ujinga wa kutofahamu madhara ya kukaa na tatizo hili bila kufanya matibabu
3. ๐ Dharau za kuona kwamba huu ni ugonjwa wa kawaida sana.
4. ๐ Kutoamini kwamba Acid reflux si ugonjwa wa kurogwa.
5. ๐ Kuhisi kwamba ugonjwa huu unaweza kuondoka wenyewe bila kufanya matibabu.
6. ๐ Kutojua k**a wanaumwa Acid Reflux
Kundi hili tunaliambia kwamba Acid reflux sio ugonjwa mdogo kwasababu unaweza kukuletea madhara makubwa sana k**a vile Saratani ya koo la chakula na Ngiri ya kifua ambapo matibabu ya matatizo hayo ni changamoto kubwa.
Tunawashauri waanze matibabu mapema kabla hawajachelewa kwani kila ugonjwa huwa una hatua yake ya mwisho yaani TERMINAL STAGE ambapo mgonjwa anakuwa hatibiki tena,hata malaria ikifikia hatua ya mwisho pia mgonjwa ni ngumu kutibika.
LIWAYAHERBAL PRODUCTS
0755162724
DAR ES SALAAM, ILALA
DALILI NA VIASHIRIA VYA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZIDI KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
โซZipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:โคต๏ธโคต๏ธ
1.๐ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.๐ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.๐ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.๐ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.๐ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.๐ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.๐ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.๐ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.๐ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.๐ Kupata kikokozi kisichoisha
11.๐ Kuvimba Tonsils/mafidofido mara kwa mara.
12.๐ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.๐ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.๐ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.๐Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.๐ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.๐ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.๐ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.๐ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.๐ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.๐ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.๐Kichefuchefu na kutapika.
23.๐ Sehemu za mwili kuchezacheza mfano chini ya macho
24.๐ Masikio kuunguruma/kupiga kelele/kuwa mazito
25.๐ Mwili kuwasha na ngozi kufifia rangi yake.
26.๐ Kuhisi ganzi hasa kwenye vidole vya miguu na mikono.
27.๐ Kupata kwikwi mara kwa mara.
28.๐ Presha kupanda (temporary hypertension)
29.๐ Kucheua majimJi machachu yenye rangi ya njano au kijani
30.๐ Kuhisi jamii imekutenga na kukata tamaa ya kuishi.
31.๐ Kuhisi vitu vinatembea mwilini.
32.๐ Kuhisi umerogwa hali inayopelekea wengi kukimbilia kwa waganga wa mizimu.
๐ฟ Tumekuletea suluhisho โ tiba asilia iliyothibitishwa kusaidia:
โ Kupunguza asidi tumboni
โ Kuondoa maumivu na kiungulia
โ Kufunika na kuponya vidonda
๐ฆ Pata matokeo ndani ya siku chache za matumizi sahihi.
โ
Tuma ujumbe sasa kupata ofa ya leo!
๐ Bonyeza โwhatsappโ kupata suluhisho.
KWA MSAADA NA USHAURI, WASILIANA NASI:โคต๏ธ
LIWAYA HERBAL PRODUCTS
๐TUNAPATIKANA:โคต๏ธโคต๏ธ
โDAR ES SALAAM
โILALA_PANGANI & MKABALA NA KITUO CHA POLISI ILALA
โNYUMBA NO.1
MAWASILIANO:โคต๏ธ
Cell phone: 0755 162 724
18/11/2025
Unahitaji Dawa Leo? Tunakuletea Leo!
Liwaya Herbal Prodcts inafanya same day delivery kwa wateja wa Dar es Salaam
Nje ya Dar es Salaam? Hakuna Shida!
Tunatuma dawa zako kwa uharaka kupitia basi, unazipokea zikiwa salama.
Cha kufanya tupigie simu au tuma ujumbe WhatsApp kwaajili ya kuweka order yako
Contact: 0755162724
13/11/2025
โ๏ธPOPOTE PALE ULIPO TUNAKUFIKIA ๐ค
Wasiliana nasi: 0755162724
10/11/2025
ACID REFLUX INATIBIKA HUNA HAJA YA KUENDELEA KUTESEKA TENA NA ACID REFLUX
WASILIANA NASI LEO UJIPATIE MATIBABU
LIWAYA HERBAL PRODUCTS
*๐TUNAPATIKANA:
โDAR ES SALAAM
โILALA_PANGANI & MKABALA NA KITUO CHA POLISI ILALA
โNYUMBA NO.1
MAWASILIANO:โคต๏ธ
Cell phone: 0755 162 724
10/11/2025
DALILI ZA MTU MWENYE ESOPHAGITIS
1. ๐ Kuhisi kitu kimekwama kooni na kila unapojitahid kukimeza hakimezeki.
2. ๐ Maumivu makali hasa wakati wa kula au kumeza chakula au kinywaji
3. ๐ Kupata ugumu wa kumeza chakula hasa vyakula visivyokuwa kwenye hali ya kimiminika.
4. ๐ Kuhisi maumivu makali kwenye koo hasa maumivu ya kuwaka moto au kuchoma.
5. ๐ Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika hasa baada au wakati wa kula au kunywa.
6. ๐ Kuhisi uvimbe kwenye koo kutokana na athari ya Esophagitis kwani husababisha inflammation (swelling).
7. ๐ Sauti kukwaruza na wakati mwingine sauti hushindwa kutoka kabisa.
8. ๐ Kutapika damu kutokana kuchubuka kwa koo hali inayoweza kusababisha vidonda kwenye ukuta wa koo.
9. ๐ Kuhisi homa au joto na wakat mwingine huambatana na hali ya baridi.
10. ๐ Kujihisi uchovu na kukosa nguvu/kujihidhi mwili kuwa dhaifu
LIWAYA HERBAL PRODUCTS
๐TUNAPATIKANA:
โDAR ES SALAAM
โILALA_PANGANI & MKABALA NA KITUO CHA POLISI ILALA
โNYUMBA NO.1
MAWASILIANO:โคต๏ธ
Cell phone: 0755 162 724
ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WAGONJWA WENGI WA BAWASIRI KUTUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO
_Kwanza Mgonjwa wa Bawasiri anatakiwa kufahamu ya kwamba,matibabu si dawa pekee.Watu wengi wanaamin kwamba matibabu ni dawa pekee na jambo hili limepelekea wengi kuteseka na matatzo kwa muda mrefu sana bila mafanikio na kupelekea kukata tamaa ya kutafuta tiba na badala yake humuona kila mtoa huduma ni tapeli_
Zifuatazo ni sababu zinazowafanya wagonjwa wengi kuteseka na Bawasiri kwa muda mrefu licha ya kutumia dawa mbali mbali:
1.๐ Kutopata dawa sahihi
-Si kila dawa inayotangazwa kutibu Bawasiri inaweza kutibu Bawasiri bali dawa yenye ufanisi wa kutibu ndio inaweza kutibu Bawasiri.
2.๐ Kutofuata ushaur wa daktari.
-Usipofuata yale ambayo daktari anakuelekeza ili kupata suluhisho la Tatzo lako ni ngumu kupona tatzo lako.
3.๐ Kutoziacha sababu zilizopelekea upate Bawasiri. Katika hili wengi wamefeli kwani haiwezekani ukapona Bawasiri ikiwa sababu zilizopelekea upate Bawasiri hutaki kuziacha mfano;
-Pombe
-Uzito mkubwa
-Ulaji mbovu
-Kuingiliwa kinyume
-Kula sana pilipili
-Kukaa sana chini
-Kunyanyua vitu vizito
-Kutotibu Magonjwa k**a Ngiri na Vidonda vya TUMBO
-Kutokula vyakula vya kulainisha choo k**a vile Mboga za majani & matunda
-Kula udongo(wajawazito)
-Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa.
-Kuharisha mara kwa mara
-Kujisaidia choo Kigumu
Hata utumie dawa zaid ya 100,usipoziacha sababu hizo ni ngumu sana kupona Bawasiri na matokea yake kila mtoa tiba utamuona Tapeli kumbe sababu ni wewe mwenyewe kutofuata miongozo,maelekezo na USHAURI kutoka kwa daktar.
โซ Ukizingatia hayo utapona Bawasiri kwa muda mfupi sana(week 1 mpaka 3) Biidhnillaah ja wapo wanaopona kwa siku 5 licha ya kukaa na Bawasiri kwa miaka kadhaa .
LIWAYA HERBAL PRODUCTS
๐TUNAPATIKANA:
โDAR ES SALAAM
โILALA_PANGANI & MKABALA NA KITUO CHA POLISI ILALA
โNYUMBA NO.1
MAWASILIANO:โคต๏ธ
Cell phone: +255 755 162 724
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam