Mambo Yote Herbs
Pure Natural Female/Male product
29/05/2026
Pure Himalayan organic Shilajit
Hiki ni kirutubisho asilia kinachotokana na milima ya himalaya.Mara nyingi hutumika kuongeza nguvu mwilini,stamina na kusaidia mwili kufyonza virutubisho vizuri
Kazi zake kubwa;
🌟Husaidia wanaume kupata stamina nzuri wakati wa tendo pamoja na kuongeza libido
🌟Husaidia kuongeza nguvu na kupunguza uchovu mwilini
🌟Inasaidia kuongeza kinga mwilini
🌟Inasaidia mwili kupata madini muhimu
🌟Inasaidia mwili ku recover baada ya mazoezi
🌟Inasaidia kuboresha umakini pamoja na kumbukumbu
Matumizi yake;
👉🏼Chukua kijiko chake na uchote nusu ya kijiko
👉🏼Changanya kwenye maji ya moto,maziwa au chai
Bei elfu:30000
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel
28/05/2026
Bio calcium liquid
Hizi ni supplement za calcium zilizotengenezwa katika mfumo wa softgel ili iwe rahisi kunywa na kufyonzwa haraka mwilini
Watu wanaoweza kutumia;
👉🏼Watoto wanaokua
👉🏼Wajawazito na wanaonyonyesha
👉🏼Wazee
👉🏼Watu wenye upungufu wa calcium
Faida za Bio calcium liquid ni;
🌟Kuimarisha mifupa na meno
🌟Kusaidia ukuaji wa watoto
🌟Kuzuia mifupa kuwa dhaifu au kuvunjika kwa urahisi
🌟Kusaidia misuli kufanya kazi vizuri
🌟Kuimarisha mfumo wa neva pamoja na mapigo ya moyo
🌟Kupunguza hatari ya upungufu wa calcium mwilini
Kopo mona lina supplement 100
Matumizi yake
✅Asubuhi supplement 2 Jioni supplement 2
Bei:35000
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel
Vaginal tightening package
K**a tunavyojua uzazi,umri na infection yanaweza kusababisha muscles za uke kutanuka
Hii package inasaidia sana ku tight vjay ni nzuri sana na haina madhara yoyote kwa sababu imetengenezwa na pure natural ingredient naomba u scroll uone ingredient zilizotumika kutengeneza hii gel
Kwa matokeo mazuri inabidi utumie atleast gel tatu
Gel 3:15000
Yoni oil:15000
Total:30000
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
Location:sinza kumekucha near fine travellers
Foot patch imetengenezwa na mimea ya asili kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini
Ingredients za foot patch ni bamboo vinegar liquid,vitamin c,negative ion,carapace element na nk
Faida za kutumia foot patch
🔷Kuondoa sumu zote mwilini
🔷Kusaidia mzunguko mzuri wa damu
🔷Kuongeza mmeng’enyo wa chakula
🔷Kusaidia mwili kupata usingizi mzuri
🔷Kusaidia kuondoa mafuta mwilini
🔷Inaongeza kinga ya mwili
🔷Kuondoa maumivu ya miguu
🔷Inaongeza ufanyaji kazi mzuri wa vital organ (k**a moyo,ini na figo)
🔷Kusaidia mwili kupata nguvu
🔷Kusafisha mwili
Bei yake ni sh elfu 15000 tu
Call/whatsapp:0761581573/071129315
Tupo sinza kumekucha karibu na hotel ya fine travellers
Moja ya dawa nzuri sana ya visunzua inapatikana dukani
Ni dawa ambayo imetumiwa na watu wengi na ina feedback nzuri sana
Matumizi yake
👉Unaanza kupaka dawa ya kwenye kichupa cheusi unakaa dakika 15-20 unaosha
👉🏼Then unapaka kichupa cheupe unakaa dakika 15 unaosha
👉🏼Ndani ya siku 7-14 vinatoka
Bei:15000
Note:Ukitumia visunzua vikatoka uwa inabakiza alama ambazo huwa
zinaisha baada ya muda mfupi
Call/whatsapp:0761581573/0711291315
Location:sinza kumekucha near fine travelers hotel
Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke
Inasaidia kutibu
👉Uvimbe fabroid/ovarian cyst chini ya cm 5
👉Pid sugu
👉Fangasi
👉Bacteria vaginosis
👉Kuzibua mirija
👉Kuondoa ukavu ukeni
👉Kukupa hamu ya tendo
👉Ku balance hormone
👉Kusaidia ku conceive
👉Kuondoa harufu mbaya ukeni
👉Ku balance ph ya uke
Bei:10000 zinakuwa pearls tatu
Unatakiwa kutumia dose kulingana na tatizo lako
Tumepost feedback nyingi sana za watu waliotumia yoni pearls na zikawasaidia pitia page yetu kwa chini uweze kujionea
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
11/05/2026
Propolis soft capsule
Propolis inatengenezwa na nyuki kutoka kwenye utomvu wa miti.Nyuki hutumia propolis kulinda mzinga dhidi ya bacteria na fangasi
Kazi za propolis capsule;
🌟Kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maambukizi
🌟Kupambana na bacteria,virusi na fangasi
🌟Kupunguza uvimbe na maumivu mwilini
🌟Kusaidia kuponya vidonda na majeraha haraka
🌟Kusaidia afya ya koo na kupunguza maumivu ya koo
🌟Inasaidia kwa watu wenye changamoto ya sukari
🌟Inasaidia kuondoa uvimbe kwenye tumbo la uzazi
🌟Inasaidia kuondoa uvimbe kwenye mfumo wa hewa
🌟Inasaidia kwa watu wenye changamoto ya homa ya ini
Kopo moja lina supplement 100
Matumizi yake
✅Unatumia supplement 2 asubuhi,2 jioni
Bei:35000
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel
11/05/2026
Grape seed oil capsule
Hizi ni supplement ambazo zimetengenezwa kutokana na mbegu za zabibu.Zina virutubisho muhimu k**a antioxidants,vitamin E, na mafuta yenye afya ambayo husaidia kulinda mwili dhidi ya uharibifu wa seli
Faida za grape seed oil capsule;
🌟Inasaidia kuimarisha afya ya moyo na kusaidia mzunguko mzuri wa damu
🌟Inasaidia kushusha madhara ya cholesterol mbaya mwilini
🌟Kusaidia afya ya ngozi na kufanya ngozi ionekane yenye afya
🌟Kupunguza uvimbe na maumivu mwilini
🌟Ni anti aging inasaidia ngozi hisizeeke haraka
🌟Kusaidia kuimarisha mishipa ya damu
🌟Inasaidia kutibu magonjwa ya mishipa ya fahamu kwenye ubongo
🌟Inasaidia kukinga mwili na magonjwa ya moyo
Kopo moja lina supplement 100
Matumizi yake
✅Unatumia supplement 2 asubuhi,2 jioni
Bei:35000
Call/whatsapp:0711291315/0761581573
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Sinza Kumekucha Near Fine Travellers Hotel
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 19:00 |
| Tuesday | 09:00 - 19:00 |
| Wednesday | 09:00 - 19:00 |
| Thursday | 09:00 - 19:00 |
| Friday | 09:00 - 19:00 |
| Saturday | 09:00 - 19:00 |