Mambo Yote Herbs

Mambo Yote Herbs

Share

Pure Natural Female/Male product

29/05/2026

Pure Himalayan organic Shilajit

Hiki ni kirutubisho asilia kinachotokana na milima ya himalaya.Mara nyingi hutumika kuongeza nguvu mwilini,stamina na kusaidia mwili kufyonza virutubisho vizuri

Kazi zake kubwa;

🌟Husaidia wanaume kupata stamina nzuri wakati wa tendo pamoja na kuongeza libido

🌟Husaidia kuongeza nguvu na kupunguza uchovu mwilini

🌟Inasaidia kuongeza kinga mwilini

🌟Inasaidia mwili kupata madini muhimu

🌟Inasaidia mwili ku recover baada ya mazoezi

🌟Inasaidia kuboresha umakini pamoja na kumbukumbu

Matumizi yake;
👉🏼Chukua kijiko chake na uchote nusu ya kijiko
👉🏼Changanya kwenye maji ya moto,maziwa au chai

Bei elfu:30000

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel

28/05/2026

Bio calcium liquid

Hizi ni supplement za calcium zilizotengenezwa katika mfumo wa softgel ili iwe rahisi kunywa na kufyonzwa haraka mwilini

Watu wanaoweza kutumia;
👉🏼Watoto wanaokua
👉🏼Wajawazito na wanaonyonyesha
👉🏼Wazee
👉🏼Watu wenye upungufu wa calcium

Faida za Bio calcium liquid ni;

🌟Kuimarisha mifupa na meno

🌟Kusaidia ukuaji wa watoto

🌟Kuzuia mifupa kuwa dhaifu au kuvunjika kwa urahisi

🌟Kusaidia misuli kufanya kazi vizuri

🌟Kuimarisha mfumo wa neva pamoja na mapigo ya moyo

🌟Kupunguza hatari ya upungufu wa calcium mwilini

Kopo mona lina supplement 100

Matumizi yake
✅Asubuhi supplement 2 Jioni supplement 2

Bei:35000

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel

14/05/2026

Vaginal tightening package

K**a tunavyojua uzazi,umri na infection yanaweza kusababisha muscles za uke kutanuka

Hii package inasaidia sana ku tight vjay ni nzuri sana na haina madhara yoyote kwa sababu imetengenezwa na pure natural ingredient naomba u scroll uone ingredient zilizotumika kutengeneza hii gel

Kwa matokeo mazuri inabidi utumie atleast gel tatu

Gel 3:15000
Yoni oil:15000
Total:30000

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

Location:sinza kumekucha near fine travellers

13/05/2026

Foot patch imetengenezwa na mimea ya asili kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini

Ingredients za foot patch ni bamboo vinegar liquid,vitamin c,negative ion,carapace element na nk

Faida za kutumia foot patch
🔷Kuondoa sumu zote mwilini
🔷Kusaidia mzunguko mzuri wa damu
🔷Kuongeza mmeng’enyo wa chakula
🔷Kusaidia mwili kupata usingizi mzuri
🔷Kusaidia kuondoa mafuta mwilini
🔷Inaongeza kinga ya mwili
🔷Kuondoa maumivu ya miguu
🔷Inaongeza ufanyaji kazi mzuri wa vital organ (k**a moyo,ini na figo)
🔷Kusaidia mwili kupata nguvu
🔷Kusafisha mwili

Bei yake ni sh elfu 15000 tu

Call/whatsapp:0761581573/071129315

Tupo sinza kumekucha karibu na hotel ya fine travellers

13/05/2026

Moja ya dawa nzuri sana ya visunzua inapatikana dukani

Ni dawa ambayo imetumiwa na watu wengi na ina feedback nzuri sana

Matumizi yake
👉Unaanza kupaka dawa ya kwenye kichupa cheusi unakaa dakika 15-20 unaosha
👉🏼Then unapaka kichupa cheupe unakaa dakika 15 unaosha
👉🏼Ndani ya siku 7-14 vinatoka

Bei:15000

Note:Ukitumia visunzua vikatoka uwa inabakiza alama ambazo huwa
zinaisha baada ya muda mfupi

Call/whatsapp:0761581573/0711291315

Location:sinza kumekucha near fine travelers hotel

12/05/2026
11/05/2026

Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

Inasaidia kutibu
👉Uvimbe fabroid/ovarian cyst chini ya cm 5
👉Pid sugu
👉Fangasi
👉Bacteria vaginosis
👉Kuzibua mirija
👉Kuondoa ukavu ukeni
👉Kukupa hamu ya tendo
👉Ku balance hormone
👉Kusaidia ku conceive
👉Kuondoa harufu mbaya ukeni
👉Ku balance ph ya uke

Bei:10000 zinakuwa pearls tatu

Unatakiwa kutumia dose kulingana na tatizo lako

Tumepost feedback nyingi sana za watu waliotumia yoni pearls na zikawasaidia pitia page yetu kwa chini uweze kujionea

Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

11/05/2026

Propolis soft capsule

Propolis inatengenezwa na nyuki kutoka kwenye utomvu wa miti.Nyuki hutumia propolis kulinda mzinga dhidi ya bacteria na fangasi

Kazi za propolis capsule;

🌟Kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maambukizi

🌟Kupambana na bacteria,virusi na fangasi

🌟Kupunguza uvimbe na maumivu mwilini

🌟Kusaidia kuponya vidonda na majeraha haraka

🌟Kusaidia afya ya koo na kupunguza maumivu ya koo

🌟Inasaidia kwa watu wenye changamoto ya sukari

🌟Inasaidia kuondoa uvimbe kwenye tumbo la uzazi

🌟Inasaidia kuondoa uvimbe kwenye mfumo wa hewa

🌟Inasaidia kwa watu wenye changamoto ya homa ya ini

Kopo moja lina supplement 100

Matumizi yake
✅Unatumia supplement 2 asubuhi,2 jioni

Bei:35000

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel

11/05/2026

Grape seed oil capsule

Hizi ni supplement ambazo zimetengenezwa kutokana na mbegu za zabibu.Zina virutubisho muhimu k**a antioxidants,vitamin E, na mafuta yenye afya ambayo husaidia kulinda mwili dhidi ya uharibifu wa seli

Faida za grape seed oil capsule;

🌟Inasaidia kuimarisha afya ya moyo na kusaidia mzunguko mzuri wa damu

🌟Inasaidia kushusha madhara ya cholesterol mbaya mwilini

🌟Kusaidia afya ya ngozi na kufanya ngozi ionekane yenye afya

🌟Kupunguza uvimbe na maumivu mwilini

🌟Ni anti aging inasaidia ngozi hisizeeke haraka

🌟Kusaidia kuimarisha mishipa ya damu

🌟Inasaidia kutibu magonjwa ya mishipa ya fahamu kwenye ubongo

🌟Inasaidia kukinga mwili na magonjwa ya moyo

Kopo moja lina supplement 100

Matumizi yake
✅Unatumia supplement 2 asubuhi,2 jioni

Bei:35000

Call/whatsapp:0711291315/0761581573

Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Sinza Kumekucha Near Fine Travellers Hotel
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 19:00
Tuesday 09:00 - 19:00
Wednesday 09:00 - 19:00
Thursday 09:00 - 19:00
Friday 09:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 19:00