Bendera_fitness9040

Bendera_fitness9040

Share

Njoo nikuongoze kwanzia siku ya 1..9. Napatikana kwa mitandao k**a fb,instagram,nawhatsapp

_Kupungua uzito sio kazi raisi hatakidogo_

Ila ukipata Program yetu ya siku tisa itakusaidia sana kuondowa sumu mwilini,nyama uzembe, pamoja na Kilo za kutosha.

02/04/2021
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto 13/04/2020

https://www.moh.go.tz/sw/ # Tuendelee kuwasikiliza wataalamu wa afya wanavyo towa maelekezo bofya link kujifunza zaidi

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto MoHCDGEC which is mandated for formulation of health and social welfare policies and monitoring and evaluating their implementation

13/04/2020

Je! Ungependa kujifunza namna nzuri ya kupunguza mwili ki afya .
Kuondoa kitambi na kupunguza uzito ?

Tuwasiliane kupitia namba zifwatazo:
call/text/whatsapp
+255754322645

Follow@bendera_fitness9040...

Photos from Bendera_fitness9040's post 27/01/2020
15/12/2019

*_SOMO LA JUMA TATU SAA MBILI KAMILI USIKU_*

*EPUKA VYAKULA HIVI KILA ASUBUHI K**A UNATAKA KUPUNGUZA UZITO*

*By* *F.I.T. FITNESS*

K**a bado hujajiunga kwenye group bofya link hapo chini tujifunze pamoja bila malipo

*Bila malipo*
-----------------------------------
https://chat.whatsapp.com/HIRYm2kwRHm4TSqGKuvO4N

13/12/2019

KUNYWA MAJI MOTO, BORESHA AFYA YAKO
MAJI ya kunywa ni sehenu muhimu katika kuboresha
afya zetu binadamu, hususan katika kuimarisha mili
dhidi ya magonjwa mengi.
Faida mojawapo katika kuimarisha afya zetu ni
mazoea ya kunywa maji ya uvuguvugu, badala ya maji
baridi k**a ilivyozoeleka kwa watu wengi.
Nchi za Mashariki ya Mbali, ikiwemo China ambayo
watu wake hujiandaa tangu awali katika kudhibiti
magonjwa, maji yao ya kunywa ni yale ya uvuguVugu.
Aidha, maji ya uvuguvugu yanatajwa kuwa na manufaa
zaidi mwilini kuliko maji baridi, na naweza kusema kwa
dhati kuwa k**a utazoea kila mara kila siku kunywa
maji ya uvuguvugu utaagana na magonjwa.
Wataalamu wa afya wanasema kuwa maji ya
uvuguvugu husaidia katika uyeyushaji wa chakula, na
pia huzilinda figo pamoja na viungo mbalimbali
muhimu mwilini.
Jambo muhimu kuzingatia ni kutambua kuwa maji ya
uvuguvugu si yale ya moto, bali ni yale
yaliyochemshwa na kuachwa yapoe hadi kuwa
vuguvugu tayari kwa kunywa.
Maji hayo si ya moto k**a vile chai, kwani yakiwa ya
moto sana huwa na madhara kwa ngozi nyembamba
ya ndani ya mdomo, ikiwemo ulimi. Lengo hapa ni kuku saidia wewe kuweza kutoka kwenye changamoto hii ya uzito uliopitiliza.

Maji ya poe kidogo ili hatak**a ukiweka mdomoni ya sikuunguze hakikisha yamebaki ya vuguvugu kiasi na kunywa maji mengi asubuhi ni muhimu sana kwa afya yako.

*tafadhali k**a unaitaji kupungua kwa haraka ndani ya siku tisa unaweza kutumia program ya C9*

K**a unaitaji kupungua tuma sms naitaji kupungua kwenda whatsapp namba +255754322645

BILA MALIPO

10/12/2019

Karibu ujifunze namna ya kuondoa kitambi,kupunguza uzito, mafunzo yote ni bure kabisa. TUMA SMS NAITAJI KUPUNGUA.

BILA MALIPO

Tuma sms kwenda whatsapp namba +255754322645

_Kupungua uzito sio kazi raisi hatakidogo_

Ila ukipata Program yetu ya siku tisa itakusaidia sana kuondowa sumu mwilini,nyama uzembe, pamoja na Kilo za kutosha. Njoo nikuongoze kwanzia siku ya kwanza hadi ya 9

Follow
Whatsapp\call +255754322645

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Victoria
Dar Es Salaam