Afya ya uzito
Karibu ujifunzee mbinu za asili za kupunguza uzito ukiwa nyumbani kwako.
21/11/2020
Hello habari za mdaa huuu niko nahabari njemaa kwao najua wengi tume enjoy sanaaa.
*Sasa challenge yetu itakua special*
Tutakua na washindi wanne. Mwanamke, Mwanaume katika kipengele cha uzito na mwili.
So kila mshindi atapewa 250,000🔥🔥🔥🔥
Sasa basi ili mtu aingie kwenye challenge/group la whatsapp atatoa 10,000 kwa mteja wangu then ili ashiriki kwenye kupata pesa then atahitaji yeye au wewe kumtolea 10,000. Mm nitamtoleaa kila mtejaa wangu yoyote yule atakae chukuwa c9 yake na atawezaa kuwepo kwenye ilo group mm nitaharamiaa iyo elfu 10,000 ili uweze kuwepo
*Challenge ni ya siku 24, itakua na vionjo ambavyo havijawahi kutokea, aisee usiokose*
Promo anze rasmi sasa. Njoo nikupee muongozo mapemaa
Call
Whatsapp
0778749710
Andikaa neno challenge
16/11/2020
02/11/2020
JE KITAMBI, UNENE NA MANYAMA UZEMBE BADO NI CHANGAMOTO KWAKO?
UMEJARIBU KUFANYA MAZOEZI NA KULA BAADHI YA VITU KUVIPUNGUZA AU KUONDOA LAKINI BADO UJAFANIKIWA?
USIKATE TAMAA, tunayo program maalumu itakayo kufanya upunguze uzito, unene, kitambi, na manyama uzembe kwa haraka.
PRODUCT ZETU HAZINA MADHARA JUU YA AFYA YAKO YA SASA NA YA BADAE.
WASILIANA NAMI KWA HARAKA ZAIDI
whatsapp/call/text
+255778749710
TUNATUMA PRODUCT ZETU MIKOANI NA NCHI JIRANI✔️✔️
FREE DELIVERY KWA WAKAZI WA DAR✔️✔️✔️
02/11/2020
LEO NINA OFA KWA AJILI YAKO WEWE UNAETAKA KUPUNGUA UZITO AMA KUONDOA MANYAMA UZEMBE
Watu wengi sana wameanza Kufirahia huduma na elimu wanayoipata kutoka kwangu .loss_c
Na UKIISHAIPATA HUDUMA YANGU MATOKEO YA UHAKIKA LAZMA UYAPATE.
KWANINI UTESEKE NA UZITO MKUBWA AMA UNENE WAKATI KWANGU NDANI YA SIKU 9 TU UNAANZA KUFURAHI KWA UTAKAVYOONA MATOKEO MAZURI.
JARIBU LEO NA WALA HAUTOJUTA HATA KIDOGO KUICHAGUA HUDUMA YANGU.
Kwa mawasiliano ya haraka na upesi zaidi wasiliana nam kwa
WHATSAPP/TEXT/CALL
+255778749710
+255778749710
PIA KUMBUKA KUNIFOLLOW INSTAGRAM loss_closs_c
09/10/2020
C9
09/10/2020
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
09/10/2020
Haya ni matokeo kwa wateja ambao wametumia c9 na wamepata haya matokeo mazur
Je na ww ungependaa kupata haya matokeo ili uwezee kufurahiaa afyaa yako uwezee kujiona mwepensi na mwenye afya njema
Kwa maelezo zaidii kupata muongoz nipigie cm
0778749710
Whatsapp
0778749710
08/10/2020
UGONJWA WA UNENE
✍️DALILI ZA UNENE ULIO PITILIZA (OBESITY)
KUTOKWA NA JASHO MDA MWING,UPWEKE ,KUKOROMA USINGIZINI,KUSHINDWA KUPUMUA VIZUR ,KUCHOKA MARA KWA MARA NA KUSHINDWA KUFANYA BAADHI YA SHUGHULI NDOGO NDOGO ,MAUMIVU SEHEMU MBALI MBALI ZA VIUNGO ,KUTO KUJIHAMINI NA KUISHIA KUKAA NDANI MDA MWING
Tatizo la unene limekuwa liki kithiri miongoni mwa jamii yetu na bila kujua unene ni ugonjwa hatari au sababu ya kupata magonjwa hatarishi
Ugonjwa wa unene , husababishwa na ongezeko la kupita kiasi Cha mafuta ndani ya mwili ikiambatana na uzito uwiano chakula kinaocho ingia na utumikaji wake ndani ya mwili
Ugonjwa wa unene utawala sehem za juu ya mwili hasa tumboni kwa wanaume na hivyo kupata kitambi ,na kuathiri moyo na upumuaji na shughuli zingne za ndani ya mwili
Kwa mwanamke hutawala sehem za chini ya mwili hasa kuathiri miguu , magoti ,nyonga kutokana na uzito mkubwa
✍️SHIDA YA UNENE
Watu wenye unene wapo hatarin kupata matatizo ya fwatayo
1.SHINIKIZO LA DAMU (blood pressure B.P)
2.KISUKARI (hasa type 2)
3.MISHIPA MIKUU YA DAMU KUATHIRIKA
4 . MATATIZO YA VIA ZA UZAZI KWA WANAWAKE (KUSHINDWA KUPATA MIMBA NA HATA KUJIFUNGUA KWA SHIDA)
5 SHIDA YA FIGO NA KONGOSHO
6MATATIZO YA KIFUA (KUSHINDWA KUPUMUA)
7KUCHOKA ,KUKOSA FURAHA , KUSHINDWA KUTULIA ,USINGIZI WA MARA KWA MARA ,KICHWA KUUMA ASUBUH
8 MATATIZO YA MIFUPA /VIUNGO (KUVUNJIKA NYONGA NA KUSHINDWA KUTEMBEA)
9.MATATIZO YA HERNIA
10.KIPINDI CHA MIMBA
kisukari Cha mimba
Kifafa Cha mimba
Kujifungua mtoto mwenye ulemavu wa maumbile
11.KUBEUA MARA KWA MARA
12.KUNA SHIDA SANA WAKATI WA UPASUAJI WA MTU MNENE NA HIVYO KUWA HATARINI NA UMAUTI
13 MSONGO WA MAWAZO AKIFIKILIA MAUMBILE YAKE NA KUMPUNGUZIA UJASIRI
14KUPATA HADHA YA KUTENGWA NA JAMII MAKAZINI NA SHULENI
15 KUWA TEGEMEZI NA KUHITAJI MSAADA SEHEMU MBALIMBALI
16 UNENE PIA NI CHANZO CHA KANSA (CANCER)
17KUSHINDWA KUTIMIZA TENDO LA NDOA KWA UFASAHA
Baadhi ya magonjwa yanaweza pelekea mtu kuwa mnene K**a matatizo ya akili
Pia baadhi ya matumizi ya dawa yanaweza changia K**a dawa za uzazi wa mpango ,corticoids na dawa za matatizo ya akili
✍️SABABU ZA UNENE(OBESITY)
URITHI NDANI YA FAMILIA HUSIKA
KUKOSA USINGIZI WA KUTOSHA
UNENE WA UTOTONI ,UNAWEZA ENDELEA MPAKA UKUBWANI
UMRI , UNENE HUONGEZEKA NA UMRI
MATATIZO YA AKILI K**A STRESS , DEPRESSION
KULA VYAKULA VYENYE CALORIES NYINGI (MFANO VYAKULA VYA MAFUTA NA SUKARI )
KUKOSA MAZOEZI /KUKAA SEHEM MOJA KWA MDA MREFU
✍️NAMNA YA KUZUIA UNENE
Mazoez ya Mara kwa Mara kwa mda mrefu
Chakula kizur kwa mpangilio mzuri kwa mda mrefu kuzingatia calories
Kutibu matatizo ya stress na depression
Kutibu matatizo ambayo yashajitokeza K**a moyo na upumuaji
Kwamaelezo zaidii piga simu
0778749710
23/09/2020
Mm naitwa fahad mustafa ni miliki halali kabisa wa pegi hii ya uzito ya uzito nimeamuwa kujitambulisha vizur ili kuweza kuwatowa was was wateja wangu wote has wa mikoa ya mbali na DAR ES SALAM kwa Tanzania 🇹🇿 pia na walio nje ya njii pia wanapohitaji huduma lakini wanakuwa na hofu ya kutuma pesa zao kwa kuogopa kutapeliwa ,
Historia yangu kwa kiufup nina uzoefu wa miaka miwili (3) sasa nikisaidia watu kupunguza uzito uliopitiliza matumbo (vitambi) na minyama uzembe kwa kiafya kwa kutumia VIRUTUBISHO , VYAKULA NA MAZOEZI bila ya kuathir afya yao kwa maelezo zaidi au k**a kuna mtu yoyote amabe unaona unaewezaa kumsaidia naomba uniunganishe nae kupitia whatsapp Text number ; +255778749710
Asante🙏
09/09/2020
Loose your weight in C9 days
aloeveragel
09/09/2020
Unaona ni kiasi gani UNENE unazeesha Una sababu nyingi za kufanya C9 sio tu kwasababu utapungua Lakini kwasababu C9 inapromote cell regeneration Huondoa cells zilizoharibika na kuallow mpya zitengenezwe ndio maana k**a unafanya C9 mara kwa mara ; utapokea sana comments za Mbona k**a unazidi kuwa kijana Ofcourse unaondoa TAKA MWILI (TOXINS) na unapunguza uzito Kitambi manyama uzembe
Kwa maelezo zaidii
Call/whatsapp
0778749710
09/09/2020
Njoo na lengo lako la kupungua Nitakupatia muongozo na plan ya kutimiza kisha tutaanza kulifanyia kazi Amua kuanza ilikuwezaa kupata matokeomazurikujionamwepesi nakuwana afya njema
Kwa maelezo zaidii
Call/whatsapp
0778749710
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |