Alphaxsad na afya

Alphaxsad na afya

Share

Tunatoa tibalishe asilia zinazotibu magonjwa mbalimbali ya binadamu

Photos from Alphaxsad na afya's post 12/09/2022

Soma maelezo yote kwa makini na kisha ufanye maamuzi

Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.

Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

UKUAJI WA TEZI DUME.

Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.
Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume, mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; Na 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.
Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13.

II. VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya bora na Virutubisho.

tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini
- Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo (Stress )
- Magonjwa ya zinaa
- Umri mkubwa
- Upasuaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile ya Korodani
- Historia ya Familia (Kurithi)
- Mazingira (Ethnicity)n.k

III. DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME

Tatizo la Tezi Dume si tatizo la kutokea tuu siku moja na mara moja tuu na ndo maana tunasisitiza sana matumizi ya Suppliments (Virutubisho) kwa mwanaume yeyote anaejari Afya yake. Mpaka mtu apate saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer), atambue alianza kupata tatizo hilo kwa muda mrefu sana, Wengi wao hueleza dalili za tatizo hili huanza kuziona si chini ya miaka 3.
Hii hutokana na mrundikano wa mkojo unaobaki kwenye kibofu na kwenye mrija wa mkojo (Urethra) wakati unakojoa, ukiendelea kujirundika kwenye kibofu na mrija; baada ya muda unazalisha “Uric Acid” na ndio inatengeneza saratani (cancer).

.
Ya kwanza na ya pili ukiwahi unaweza kupona; lakini ikishafika stage ya 3 na 4, hazitibiki. Unasaidiwa kupunguza makali kwa mionzi ukijitayarisha kupoteza maisha muda wowote.

Hivyo ukiona dalili mojawapo kati ya hizi chukua tahadhari na hatua mapema kabla hujaharibu mfumo wako
mzima wa uzazi wa mwanaume.

a)

- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b)

- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo , pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa
(kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kujaa gesi mara kwa mara

IV.

Katika hatua za awali, tezi inapotanuka hugunduliwa kwa kupimwa kwa njia ya kidole.
[26/05/2022, 17:08:03] Rajabu Bz Muddy: Hii ni njia ambayo daktari huingiza kidole kwenye njia ya haja kubwa ili kuweza kubaini k**a tezi imetanuka. Kipimo hiki ndicho rahisi kinacho kubalika duniani kote na kisicho na gharama. Lakini kimekuwa kikipata upinzani kutoka kwa wanaume kutokana na imani potofu ya wahusika wa tatizo hili kuona ni udhalilishaji.
Kipimo kingine ni kipimo cha damu. Damu huchunguzwa aina ya protein inayozailishwa na seli za tezi dume, kiitwacho Prostate Antigen (PSA). PSA huonesha kuwapo kwa tatizo kwenye Tezi Dume, lakini kipimo hiki hakina uwezo wa kutofautisha endapo tatizo hilo linamaanisha saratani.

:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo

V. SULUHISHO KWA TEZI ILIYOTANUKA

) wengi pindi wanapopatwa na madhara ya Tezi dume ni Dawa na kujikuta wakipewa tiba ambazo huficha tatizo hilo kwa muda mfupi kisha tatizo hujirudia kwa kasi kubwa.
au mitishamba, lakini madawa au upasuaji hupunguza maumivu ya dalili na kuzifanya zisizidi sana.

3 za
1. Kusubiri na kufuatilia kwa ukaribu na Daktari:
Inashauriwa kwamba kwa tatizo hili ni bora kuendelea kulichunguza bila kukimbilia tiba kali k**a madawa, upasuaji na Tiba kemikali, mpaka pale mtu atakapoona hakuna njia mbadala.
2. Madawa
“Baadhi ya madawa wanayopewa wagonjwa wa saratani ya tezi Dume yaligunduliwa miaka 30 iliyopita, yanasababisha athari kwenye Ini, Moyo na kuvimbisha magoti. Yamepigwa marufuku katika Nchi haswa za Ulaya.”
– Johnathon Waxman , Cancer Specialist, Hammer Smith Hospital, London
3. Upasuaji
Njia hii ambayo madaktari hutumia inapelekea “70% ya wagonjwa kuwa mahanithi baada ya upasuaji, na 40% wanashindwa kuzuia mkojo kutoka wanapo banwa na haja ndogo.”
– Johnathon Waxman
Inasikitisha kuona wanaume wanapasuliwa bila uhakika wowote kwamba huo upasuaji utakuwa na manufaa.

b) (Bora)

JE NINI WAWEZA KUFANYA KUJIKINGA NA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA TEZI DUME??.

:
Miili yetu huhitaji virutubisho muhimu ili kuimarisha Kinga na Kuulisha mwili wetu.

Vitu gani vya kuzingatia kuilinda tezi dume?

1. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi kulingana na kundi lako la damu yako.
2. Punguza au acha kuvuta sigara
3. Punguza au acha utumiaji wa pombe kali.
4. Punguza kukaa kwa mda mrefu sehemu moja kwa siku.
Fanya mazoezi kwa wingi.(Sitting is a new smoking)
5. Kutovaa nguo za kubana
6. Vaa chupi za cotton na sio material yeyote.
7. Kuhakikisha Uume uwe una erect mara kwa mara
8 . Utumiaji wa virutubisho (Supplements) hasa vinavyohusika na Tezi dume, Uzazi kwa mwanaume(Nguvu za kiume) pamoja na ogani zote za uzazi.

Tezi Dume inatanuka kwasababu ya upungufu wa madini na virutubisho mwili unavyohitaji.
Kwa watu wenye uhitaji wa kujikinga na pia wenye changamoto hii ya kutanuka kwa Tezi Dume, na mfumo wa uzazi mwanaume ,na
Kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu . Supplements hizi ni vyakula, siyo madawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza mfumo bora wa mwili na uzazi wenye afya bora na nadhifu.

Supplements hizi (Virutubisho) vina mchanganyiko wa Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals .
Pia Program zetu za lishe zimethibitishwa na mashirika ya kuthibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani. Na kwa hapa Tanzania, zimethibitshwa na mamlaka ya chakula na madawa (TFDA).

Wasiliana nasi kupitia:
+255 767 426 727

!
kwa wale watakaoweza kununua tiba hizi ndani ya mwezi Septemba tu ndio watakaonufaika na ofa hii maalum.

Yaani bei ya kawaida ya tibalishe hizi kwa kopo moja la siku 10 ni Tsh 80,000/=. Kwa wale watakaochukua tibalishe hizi wakati huu wa wa ofa wataipata kwa Tsh 65,000/= ikiwa unachukua kopo moja na Tsh 60,000/= kwa watakaochukua kopo 3 kwa pamoja. Piga simu sasa uhudumiwe.

Photos from Alphaxsad na afya's post 16/07/2022

Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokana na umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🥬 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🥬 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k

1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.

1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍇 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍇 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)

1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k

Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1️⃣ Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2️⃣ Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watu kwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.

👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. . Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.

.
faidika na punguzo la 15% ikiwa utanunua bidhaa hizi kabla ya Ijumaa ya tarehe 22/07/2022 saa kumi kamili jioni. Hii ni fursa ambayo hupaswi kuikosa kwani baada ya hapo hutaipata ofa hii kwa urahisi.
Karibu.

Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili tafadhali tupigie simu kupitia namba :0767426727

Photos from Alphaxsad na afya's post 03/07/2022

Lifahamu_tatizo_la_Osteoarthriitis
Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k
KUMBUKA
1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. osteoarthritis hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.

1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k

Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
Tafadhali wasiliana nasi ili kujua njia mbili ambazo kwazo utaondoa kabisa tatizo hili kwa call /whatsapp 0767426727 au 0624059800.

.

Pata ofa kwa punguzo la 10% kuanzia leo Jumapili tarehe 3-7-2022 hadi ijumaa tarehe 8-7-2022, wahi sasa usije ukapitwa na hii ofa.

Photos from Alphaxsad na afya's post 27/06/2022

Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k

1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.

1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k

Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.

👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. . Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.


Pata tiba hizi kwa punguzo la bei kuanzia Alhamisi ya wiki hii mpaka Jumatatu. Hii sio fursa ya kukosa. Itumie sasa kurejesha furaha katika maisha yako.

Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili tafadhali tupigie simu kupitia namba :0767426727

Photos from Alphaxsad na afya's post 16/06/2022

Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k

1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.

1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k

Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.

👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. . Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.

.
faidika na punguzo la 10% ikiwa utanunua bidhaa hizi kabla ya Ijumaa ya tarehe 24/6/2022 saa kumi kamili jioni. Hii ni fursa ambayo hupaswi kuikosa kwani baada ya hapo hutaipata ofa hii kwa urahisi.
Karibu.

Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili tafadhali tupigie simu kupitia namba :0767426727

Kujiunga kwenye whatsapp group la masomo mbalimbali jiunge kwa kutumia link hii: https://chat.whatsapp.com/DgrH6bVUIVxIiKqB3sqe6n

Photos from Alphaxsad na afya's post 16/06/2022

Habari ndugu wapendwa. Natumaini hamjambo.

Alphaxsad na afya inahusika na utoaji wa elimu juu ya magonjwa mbalimbali ambayo yanatibiwa kwa virutubisho lishe (SUPPLIMENTS)

Ukiwa k**a mtu wangu wa karibu nimeona ni vyema nikushirikishe ili ikiwa unasumbuliwa na mojawapo ya changamoto ambazo tibalishe zake zipo basi tuweze kukuhudumia kwani afya ndio mtaji na msingi wa kila kitu. Yawezakuwa wewe hausumbuliwi na hata mojawapo ya matatizo hayo lakini unae ndugu, rafiki au jirani ambaye anasumbuliwa, itakuwa vyema ikiwa utampatia taarifa juu ya uwepo wa tibalishe hizi nzuri ambazo zinatibu kwa uhakika na kuleta matokeo mazuri.

TIBALISHE ZA MAGONJWA YAFUATAYO ZINAZOPATIKANA
1. Tatizo la Hedhi kwa wanawake (Hormone imbalance)
2. Uvimbe kwenye kizazi/Tatizo la kizazi
3. Tatizo la macho
4. Miguu kuwaka moto na viungo kufa ganzi
5. Moyo kutanuka
6.Tezi dume
7. P. I. D
8. Bawasiri
9. Mifupa na viungo
10. Vidonda vya tumbo
11. Mgonjwa wa ini
12. Gauti
13. Thyroid (Goita)
14. Watoto hamu ya kula
15. Uzito
16. Saratani
17. Matatizo ya kusikia
18. Masundo sundo kwa upande wa wanawake (Uchafu / mapele)
19. Kinywa kutoa harufu mbaya.
20. Kuongeza kinga ya mwili
21. Kiharusi (Stroke) kupooza mwili / kiungo
22. Tonsis
23. Tumbo kujaa Gesi
24. Kisukari
25. Pressure ya kupanda na kushuka
26. Kisukari cha kupanda
27. Sukari ya kushuka
28. Sicle Cell
29. Ngozi kukosa uzuri (makunyanzi, mapele, chunusi n.k)
30. Mimba kuharibika/ kukosa uzazi mwanamke
31. Uchovu/ stress
32. Punyeto kwa wanaume
33. Punyeto kwa mwanamke
34. Ukosefu wa nguvu za kiume
35. Moyo mpana au shambulio la moyo
36. Figo kufeli
37. Ganzi au viungo kuwaka moto
38. Uke mkavu
39. Kupunguza uzito, mafuta na nyama uzembe mwilini.

Tiba za uhakika kwa magonjwa hayo yote zinapatikana. Karibu ili tujenge afya maana MAISHA NI AFYA NA AFYA NI MAISHA
asante.

Mawasiliano: 0767426727

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwenge Dar Es Salaam
Dar Es Salaam